Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #101
Passport hata wahuni wanazo š¤£Kuna mtu ana passport mpaka inaisha muda wake kasafiri kwenda Zambia mara moja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passport hata wahuni wanazo š¤£Kuna mtu ana passport mpaka inaisha muda wake kasafiri kwenda Zambia mara moja tu.
Haya bwana unasema washamba lakini hio club ukifika sio ya kitoto.Watabaki kuwa washamba wala hakuna la kujifunza kwa hao na je kama nisafiri gulf kwenda kuwa beki tatu
Wanataka stamps nzito nzito za France / Italy USA šKuna mtu ana passport mpaka inaisha muda wake kasafiri kwenda Zambia mara moja tu.
The Capitalist world has its own standards Ticha!Hayo mambo hatuyataki, hii Tanzania ni yetu sio wazungu. Basi waweke wazi kuwa waafrika hatutakiwi hata hivyo wateja asilimia tisini na tisa wa element ni watanzania. Wale wahudumu hawatakiw kujaji kwa kiwango cha pesa za mteja, wao watoe huduma hata mteja akiagiza Fanta orange mpaka asubuhi apewe huduma yake kwani kosa lipo wapi?
Mkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.Wanataka stamps nzito nzito za France / Italy USA š
Kalito Hana ujinga, ukipeleka malalamiko tu meneja anafukuza muhudumu kazi na ww unaona pale pale hataki kuleta ujinga š¤£š¤£š¤£š¤£Ndo mana hapo nmekwambia sisi pia hatukukuta hio Reserved ..
SAmaki Samaki sijuagi ubaya wao mana nakaaga na watu wanaojiweza kwahiyo sionagi tofauti...
SEhemu pekee nnazoona hudumua ziko poa ni Restaurants
Wewe ndio umeongea point maana watu wanataka huduma lakini hawataki kutumia fedha. Kuna siku nilikuwa triple B pale Goba. Nilikuwa na kikao cha kazi na maboss wangu. Kuna watu walikuwa wanapiga kelele meza ya pembeni. Mzee Mushi akamwita muhudumu akamwambia'' kawape wale vijana bia kumi kumi waambie tuna kikao watpunguze kelele''. Aisee sikuamini palikuwa kimya ghafla vijana wakawa wapo kimya wanaongea kistaarabu š š š š . Pesa achana nayo aisee.Capitalist world has its own standards Ticha!
Kwanza mwalimu ataenda element kufanya niniMkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.
Kikubwa unaachana nao maana hapa Dar hasa masaki kuna mabar/Restaurants/ beach bars/cafe/Club za kutosha unachagua tu uende wapiMkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.
Mi sijuagi naonaga tu wako poaKalito Hana ujinga, ukipeleka malalamiko tu meneja anafukuza muhudumu kazi na ww unaona pale pale hataki kuleta ujinga š¤£š¤£š¤£š¤£
Kama unasafiri kwenda Uswisi, Ufaransa na Uingereza kwa kulipiwa ukizibana hizo per diem ukirudi nazo huku zinakuwa kibunda.Mkuu bado inaweza isiwe kigezo kizuri. Kuna watumishi wa umma wana mihuri mizito mizito na safari zote wanalipiwa tu. Kuna mtu yeye anasafiri sana safari za kwenye makongamano, short courses n.k. na uchumi wake ni kawaida sana.
That's the capitalist world brother! Jamaa analeta Ujamaa eti kila mtu sawa? Aende Korea Kaskazini! Ahahahahaha!!!Wewe ndio umeongea point maana watu wanaaka huduma lakini hawataki kutumia fedha. Kuna siku nilikuwa triple B pale Goba. Nilikuwa na kikao cha kazi na maboss wangu ,kuna watu walikuwa wanapiga kelele meze ya pembeni. Mzee Mushi akamwita muhudumu akamwambia'' kawape wale vijana bia kumi kumi waambie tuna kikao watpunguze kelele''. Aisee sikuamini palikuwa kimya ghafla vijana wakawa wapo kimya wanaongea kistaarabu š š š š . Pesa achana nayo aisee.
ššššKikubwa unaachana nao maana hapa Dar hasa masaki kuna mabar/Restaurants/ beach bars/cafe/Club za kutosha unachagua tu uende wapi
Unaweza enda zako Slow leopard ukamsikiliza Grace Matata huku unakunywa zako hizo bia sijui safii kabisa
Yataje mkuuIv machimbo yalivyo mengi iv bado mtu unakomaa sehemu isiyokuwa na customer care nzuri nawakati kuna machimbo ukitaka kwenda toilet unapewa na muhuduma akusindikize mtoto mkali
Tutaivana mi na wewe Mkuu Ati naingia dukani unahangaika na simu.....wewe..nitafute Kwa shida na kutumia pia shida weeeee hakuna hiyo...pesa naitoa Kwa wanaoheshimu kazi zao.Mkuu, mimi sehemu yote ya biashara Iliyopo Bongo nikienda nikiona kuna dalili hata ndogo namna gani ya kunyanyapaliwa basi naondoka na sirudi tena pale kamwe.
Tatizo inaonekana huna nyash.., kama unavyoonekana kwa video!Biashara huwa Kuna kupanda na kushuka, club element wasipofanya mapema reform ya wafanyakazi basi Ile club haishuki inaenda kudondoka na kufa kabisa
Nimeamua niandikie leo japo ni tukio lililonitokea mwezi Jana. Sio mara yao ya kwanza kunitreat unfairly imekuwa ni tabia yao.. Tulienda pale na rafiki angu saa tano usiku tukalipa buku ten ya kiingirio tukaenda moja kwa moja kukaa meza moja ilikuwa empty
Muhudumu akaja akasema hii meza reserved, tukamwambia tuonyeshe pa kukaa, akaja baunsa kututoa kwa nguvu mpaka nje, kuulizia nn shida wakasema sisi wasumbufu. Tukasema watusamehe hatukujua but walikataa
Ivi kuulizia tu tukae wapi tayari ni kosa? Yani wana viburi, huduma mbovu wanathamini mastaa na matajiri tu mana hata ukienda na Gari ya IST au Vitz hupew parking, walahi yule mmasai hakupi pa kupaki. Ila wakiona LC 300 hapo wanakupokea na magoti
Mbaya zaidi ukionekana umeenda na bodaboda au bajaji umekwisha, hatihati wasikuruhusu. Lile baunsa lenye upara why lisitoleweee mbona jeuri saana afu Lina miaka mingi kweli pale sijui wanalibembeleza la nini
View attachment 3067133
Jamaa anadhani ukitoa passport tu,haikaguliwi badala yake unaingia hatakama route zako ni za Goma,hapo DRC.Sasa wanakagua wanaangalia umesafiri Kongo ndio utaingia ? Watu wamesafiri nchi mbali mbali wanaangalia umesafiri wapi ? Aisee ukikaa Nairobi wiki utajifunza mengi sana.
Duuuh! nyashi si zegembe?Tatizo inaonekana huna nyash.., kama unavyoonekana kwa video!