kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Kwani wafanyakazi wa majumbani sio wafanyakazi? Sio waajiriwa?Hii mintandao inawadanganya sana, kima cha chini cha mshahara Tanzania sio 40 elfu labda kwa wafanyakazi Wa majumbani .
Ingia website ya Tanzania Revenue Authority ujithibitishie.
Sent using Jamii Forums mobile app