Kwani wafanyakazi wa majumbani sio wafanyakazi? Sio waajiriwa?Hii mintandao inawadanganya sana, kima cha chini cha mshahara Tanzania sio 40 elfu labda kwa wafanyakazi Wa majumbani .
Ingia website ya Tanzania Revenue Authority ujithibitishie.
Kuishi kwa kutegemea mshahara ndio umaskini wenyewe sasa!!Wewe mshahara wako kiasi gani
Kumbe ndiyo maana Magufuli hataki kuongeza mishahara? Tusije tukawazidi LibyaππTanzania tops the East Africa on The list of Countries with highest paying Jobs.
1. Libya-1713$
2.Zambia-1482$
3.South Africa-1188$
4.Namibia-753$
5.Mauritius-666$
6.Tanzania-422$
7.Morocco-402$
8.Zimbabwe-352$
9.Ghana-313$
10.Algeria-295$
Business Insider Africa
Read the latest news across entertainment, sports, business and morewww.pulse.com.gh
Unajua maana ya source ya kueleweka wewe?! Yaani pamoja na kwamba dunia ina uchu sana taarifa, lakini ukiangalia Alexa Ranking ya source yako ni:-
View attachment 1295848
Halafu kwenye About Us wanajigamba:-One of the world largest info source wakati hata visitors hawana!!!
Hii umeokota wapi, maana kwa data zilizopo ni kwamba Tanzania kima cha chini cha mishahara ni mateso mtupu, Tshs 40,000 jameni mtu unaishi vipi hiyo Bongo, umaskini wa kutupwa kabisa huo.
Tanzania namba 43 Afrika kwenye orodha ya mataifa ya Afrika kulingana na kima cha chini cha mshahara huku Kenya ikiwa namba 20.
Mkenya wa chini kabisa anapata Kshs 6,415.55 (Tshs 153,973.2)
List of Minimum Wage in African Countries, All countries A-Z
Here is the list of minimum wage in African countries. This post covers every detail about all the Minimum Wage in African Countries. We have alphabetic....worldbestinfo.com
Hakuna kima cha chini cha TZS 40,000 katika sekta rasmi......Labda unaongelea nini cijui.Sekta isiyorasmi yenyewe kwa Tanzania wanalipwa wastani wa kati ya TZS 6000-10000 kwa siku pamoja na marupurupu mengine Mfano.Mfanyakazi wa Bar ndogo,hausemaid na wengine Barmaids wanalipwa kati ya TZS 90,000 na 200,000 na bado wanapewa mahali pa kukaa na boss wao,chakula wanapewa na Boss wao na bado wanakula vichwa vya kutosha kabisa nje ya muda wa kazi.Hii umeokota wapi, maana kwa data zilizopo ni kwamba Tanzania kima cha chini cha mishahara ni mateso mtupu, Tshs 40,000 jameni mtu unaishi vipi hiyo Bongo, umaskini wa kutupwa kabisa huo.
Tanzania namba 43 Afrika kwenye orodha ya mataifa ya Afrika kulingana na kima cha chini cha mshahara huku Kenya ikiwa namba 20.
Mkenya wa chini kabisa anapata Kshs 6,415.55 (Tshs 153,973.2)
List of Minimum Wage in African Countries, All countries A-Z
Here is the list of minimum wage in African countries. This post covers every detail about all the Minimum Wage in African Countries. We have alphabetic....worldbestinfo.com
Ni waajiriwa ambao mfumo wao Wa ajira hauwaweki hata kwenye category ya kulipia kodi na mambo mengine ya kiserikali, hawa wengi wao huajiriwa kwa ajira za makubaliano yasiyo na kiwango maalumu japo serikali iliwahi jadili mfumo wao.
Kwanza kabisa kwenye suala la wafanyakazi wa nyumbani wako wa aina nyingi,kuna hawa ambao huwa ni under age-wenye umri mdogo ambao kiuhalisia huwezi sema ni wafanyakazi bali ni kutokana tu na umaskini wa wazazi wao ndio maana wanaenda kuishi kwa mwajiri ambapo pesa wanayopewa sio mshahara na kama allowance huku wakilelewa kama watoto wa nyumbani na kufanya shughuli za kawaida za nyumbani kama vile kupika,kufua na kuangalia watoto ambao ni kama wadogo zao.Mfanyakazi wa nyumbani proper halipwi chini ya 100,000 na mara nyingine zaidi kutegemea na uwezo wa mwajiri na aina ya kazi.Ni waajiriwa ambao mfumo wao Wa ajira hauwaweki hata kwenye category ya kulipia kodi na mambo mengine ya kiserikali, hawa wengi wao huajiriwa kwa ajira za makubaliano yasiyo na kiwango maalumu japo serikali iliwahi jadili mfumo wao.
Anaishi kwa mwajiri akihudumiwa kama sehemu ya familia.
Wapo wanaolipwa mpaka elfu 10.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba nije nifanye kibarua shambani kwakoUnachokisema hapo ni kitu tofauti kabisa hakihusiani na Mada, Hapa tunazungumzia Ajira Rasmi,
Eti 40,00β/- yaani hata Vibarua wangu wa shamba nawalipa 5$ ped day plus meal, wewe hiyo umeitoa wapi?
Amezoea sana kujikuta mjuaji anayejua kila kitu kumbe ni bonge la kilaza πππ leo kapokea sindano kweli kweli, alijua atapata wajinga wenzake wa kumuunga mkono.[emoji3][emoji3][emoji3]
Nimecheka kwa Sauti,
Amezoea sana kujikuta mjuaji anayejua kila kitu kumbe ni bonge la kilaza [emoji23][emoji23][emoji23] leo kapokea sindano kweli kweli, alijua atapata wajinga wenzake wa kumuunga mkono.
Alafu nyuzi zake anazofungua siku hizi anakula za uso tu πππJuzi alikuja na Ujinga wa Internet akala za uso, Leo tena amejichanganya, Hawezi kurudi humu tena leo.
Hiyo 40 ya kwako kima cha chini si hiyoHii umeokota wapi, maana kwa data zilizopo ni kwamba Tanzania kima cha chini cha mishahara ni mateso mtupu, Tshs 40,000 jameni mtu unaishi vipi hiyo Bongo, umaskini wa kutupwa kabisa huo.
Tanzania namba 43 Afrika kwenye orodha ya mataifa ya Afrika kulingana na kima cha chini cha mshahara huku Kenya ikiwa namba 20.
Mkenya wa chini kabisa anapata Kshs 6,415.55 (Tshs 153,973.2)
List of Minimum Wage in African Countries, All countries A-Z
Here is the list of minimum wage in African countries. This post covers every detail about all the Minimum Wage in African Countries. We have alphabetic....worldbestinfo.com