Wafanyakazi wa Tanzania hulipwa mishahara mikubwa zaidi Africa Mashariki


Tatizo la Watz ni uwoga mwingi, hawajui kujitetea.
 
Unachokisema hapo ni kitu tofauti kabisa hakihusiani na Mada, Hapa tunazungumzia Ajira Rasmi,
Eti 40,00”/- yaani hata Vibarua wangu wa shamba nawalipa 5$ ped day plus meal, wewe hiyo umeitoa wapi?
Mmmm!! Jomba naona siku hz umetoa mpka ajira baada ya kuja msa na kushindwa kukomboa hoteli ya maana hku ukibakia kula vibandani na mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli watanzania wanapata tabu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio kw mishahara hiyo[emoji122][emoji122][emoji122]
Yani mbwembwe zote hzo kumbe mnalipwa kisenge hvyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nimekwambia watanzania wanapata tabu sana...
Sidhani kenya km kuna Housegirl ambae anaweza kubali chini ya elfu kumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kwa mwaka mnaongeza shilingi ngapi, kila mwaka mnaongeza kama 10,000 na kuna mwaka mnakaushwa. Kwanza kwa awamu hii ya tano ndio kilio huwa naona mkilia sana hamjaongezwa, sio kwa serikali au sekta binafsi.
Ila wewe jamaa ninakusifu sana kwa uzalendo ulio nao kwa nchi yako..khaa!
Kenya ikitajwa hata kama ni kwa jambo la kawaida.... huwa unakuja mbio kama ngiri.
 
Nilitaka nishangae maana hata thamani ya hela yetu tu inaonesha kuwa hela ya Kenya ipo juu zaidi yetu sasa ikawa sielewi hapo tunapowapita mishahara wenye pesa ya juu zaidi yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
On average a house girl kenya hua wanalipwa sio chini ya 300,000tsh. Wala sio uongo wengine wanaenda zaidi ya hapa, and most of them hua wanakuaga from tz ama uganda: wala siwateti Kenya ni ukweli kabisa, ila mpaka upate huo mshahara ndugu yangu utakayopitia ni story ingine, bila kusahau hio 300,000 tsh hata ukipewa kila kitu kama food and other services haifiki 2 weeks hio hela
 
Haifiki 2 weeks ukimaanisha nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo elfu 40 umeitoa wapi,hiyo salary market survey imefanywa na nani na report ni ya mwaka gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…