Wafanyakazi wa Tanzania hulipwa mishahara mikubwa zaidi Africa Mashariki

Wakenya kwenye suala la mshahara kati ya Tanzania na Kenya Kenya ndio mnyamaze kabisa

Kuna kisa kimoja kilitokea juzi kati kwenye company kubwa ya Kimataifa yenye project kwenye baadhi ya mikoa Bongo, ule mradi ni almost 600B so you can imagine na ni mradi ya miaka mi4

Basi kukatokea chances nyingi za foremen na specialisations tofauti, sa sijui hizo taarifa zilifikaje Kenya mpaka kujikusanya na kuapply kazi kwa watu kama 15 hivi, of course hiyo company imeshaajiri watu zaidi ya 3.6k so far

Sasa wale wakenya sijui walipata vipi vitambulisho vya kura na HR akawapokea na kuwapa ajira, since unemployment Tanzania sio tatizo kubwa kama Kenya, wale wakenya wakaajiriwa wote kwenye ile company

Mshahara ulikua 15k per day
Overtime 17% ya day earning per hour
Na overtime hapo minimum ni 2 hours
NSSF 14% ya basic salary
4 NHIF beneficiaries

Wakenya bwana kama muwajuavyo, wana viherehere, much know sana, vinajifanya visomi kumbe washamba tu, hawakujua kwamba mkenya hawezi kupretend mtanzania hata kama akikaa Tanzania miaka 15 bado mother tongue itareveal tu kwamba wewe sio mtanzania (thanks to Nyerere's swahili language legacy)

Unajua mbongo kama unataka umuweze usimdharau, usimpelekeshe kama gari bovu na usijifanye much know sana ukizingatia hivyo vitu you will win millions of Tanzanians souls na hizi ndio tabia hakuna mkenya anaziweza

Unaambiwa week ilikua refu wale wakenya walitaitishwa kwenye kona na wafanyakazi wa kawaida tu na kuulizwa maswali ya kijasusi kwamba wawape majibu yanayojitosheleza la sivyo wataishia jela kwa kufake identities, maskini wakenya wa watu na kiswahili chao kilivyo kibovu walijitutumua kichizi kwa kujipachika makabila ya mipakani ili kuukwa U Tanzania lakini wapi!

Na mtanzania kumtofautisha na wengine ukiondoa lugha basi simple trick ni chanjo ya ndui na ndio hiyo iliwaondoa wale wakenya wote kazini fasta, walionewa huruma tu wakanyang'anywa vile vitambulisho badala ya kupelekwa mahakamani kwa kufake zile ids.

Sasa kwenye makampuni mengi ya ujenzi Tanzania kima cha chini ni 13k ambayo ukiipiga kwa mwezi roughly pamoja na allowances ni kama 480k - 540k (take home) huyu ni semi-skilled labour.

Nimetolea mfano wa hizi construction companies sababu ndio zinazoajiri maelfu ya Watanzania kwa sasa kutokana na sasa kuwa na miradi mingi mikubwa karibu kwenye kila Wilaya Tanzania nzima.
 
Porojo tu hizo! Kumi kwa mmoja huko Kenya mwenye ubavu wa kumlipa house girl KSH 10K! Danganyaneni wenyewe! Hizo TSH 100K na KSH 13,500 vyote ni viwango vya kisiasa tu!

Eti hawawezi wakakubali mshahara chini ya KSH 10K! Yaani nyie watu mtu akiwasoma bila kuwa na uelewa anaweza kudhani Kenya ni matajiri kweli kweli!!! Hivi una habari hicho kima cha KSH 13,500 ni kwa Nairobi ambako na kwenyewe not everybody can afford that amount! Ikiwa hata Artisan Grade I mshahara wa "kwenye makaratasi" ambao proved to be impractical analipwa KSH 31K (BASIC SALARY)! Yaani unaamini kabisa mtu kama huyo anaweza kutoa zaidi ya 1/3 ya basic salary yake kumlipa house girl?! P1 Teachers kwa wastani (mshahara wa kwenye makaratasi) wanalipwa around KSH 24K! Yaani unaamini kabisa huyo anaweza kumlipa House Girl mshahara wa KSH 10K let alone 13.5K?! Au hata wale wa Grade C1 ambao kwa wastani (mshahara wa kwenye makaratasi) wanalipwa KSH 30K! Unaamini wanaweza kutumia 1/3 (or more as per KCC) ya mshahara wao just kumlipa house girl?!

NOTE: Taasisi pekee inayoweza kulipa mshahara wa kwenye makaratasi ni serikali peke yake!! Ni kutokana na ukweli huo, ndo maana hata Tanzania baada ya 2010 kufanyika marekebisho ya viwango vya mishahara, watu walikuwa wanakimbia taasisi binafsi na kukimbilia serikalini! Tena baada ya kampuni kubwa kama za simu kuanzisha upuuzi wa Labor Agents, ikawa ndo ushenzi mtupu!!!
 
myplusbee, naona umekomalia kwenye mishahara ya mahousemaid. Hadi unajaribu kunielimisha kuhusu kinachoendelea Kenya. Hebu tuingie kwenye mishahara ya watumishi wa umma, kwa mfano walimu, manesi, madaktari n.k.
 
Takwimu za uongo,takwimu fake kabisa,takwimu za kuhonga.
 
Did he mention anywhere about national economies?! Why sounding like you're the one having a serious English problem; the very same language you guys been feeling very proud of, though it's not even your native language!!!!
He is even better off than you. Don't let emotions cloud your judgement.
 

you reminded me of one documentary wakenya wanavyofanyishwa kazi uarabuni, daaah hadi huruma: there was one ya juzi ya india, its really sad kwamba wanaounganisha wakenya uarabuni ni wakenya wenzao
 

Yap, Hizo Ni average Salaries,
Tukisema Mshahara tunamaanisha Mshahara, kwani wewe unaelewaje? Hiyo ni Kabla ya Makato.
 
myplusbee, naona umekomalia kwenye mishahara ya mahousemaid. Hadi unajaribu kunielimisha kuhusu kinachoendelea Kenya. Hebu tuingie kwenye mishahara ya watumishi wa umma, kwa mfano walimu, manesi, madaktari n.k.
Ungesoma mada na mwanzo posts zangu ungeona hakuna nilichokomalia! Mleta mada yeye kaleta viwango vya mishahara kwa nchi mbalimbali! Akaja mwingine, akasema hivyo viwango sio vya kweli, na kudai kwamba KCC kwa Tanzania ni TZS 40K. Ndipo watu wakaanza kumuelimisha kwamba hiyo 40K ni kwa ajili ya ma-house girl wakati mada inazungumzia ajira rasmi!!!

Tukirudi kwenye sekta zingine, hapo juu nimeshasema wazi kwamba taasisi pekee inayozingatia ulipaji wa KCC ni serikali peke yake lakini sekta binafsi ni zile well established tu ndizo labda zinaweza kuzingatia viwango vya KCC lakini wengi wao wanalipa below KCC! Na nikasema wazi kwamba, baada ya introduction ya Labor Agencies, huko sekta binafsi hali ndo ikawa mbaya zaidi! Kwa mfano, back in 2012 nilikuwa pale Tigo. Watu waliokuwa wanaajiriwa directly na Tigo walikuwa wanalipwa vizuri kulinganisha na wale waliokuwa wanaletwa pale na Labor Agency! Nakumbuka in 2012 waliokuwa wameletwa na labor agency as Customer Service Executive walikuwa wanalipwa 646K (entry level).

Ukirudi upande wa Kenya, sekta binafsi wanaolipana mishahara minono ni mabosi wenyewe lakini wale wanaoanza, kwao ni majanga tu! Kwa mfano, according to mtandao wa Fixusjobs.com wanasema:-
Customer care officers at Safaricom earn Ksh 35,000-Ksh65,000 while sales executives earn Ksh 20,000-Ksh35, 000
Sasa sidhani kama mtu anayelipwa hicho kiwango anaweza kutamba kwamba analipwa vizuri hasa ukizingatia mazingira ya Kenya, na hao ni SafariCom; possibly the largest company in East Africa!! What about kampuni zingine?!

And am telling you, Mtanzania anayelipwa TZS 600K ana uwezekano wa kuishi vizuri kuliko Mkenya aliye Kenya na kulipwa equivalency of TZS 1M.
 
He is even better off than you. Don't let emotions cloud your judgement.
He's better off than me?! What were you trying to say, Pal?! Did you mean he can even do well without my presence/my support?! Did you mean he's kinda okay economically than me?! I don't think so, but lemme guess!! You were trying to say he's even better than me! But if that's the case, I don't even remember claiming to be better than anyone here! And look, "...let emotions cloud judgment"?! Who's letting his/her emotions clouding his/her judgment here?! The Thread Author did talk nothing about the national economies but you jumped from nowhere and started with allegations that, the author thinks Tanzanian economy is better than that of Kenya!! Where did you get that if not from your emotions that at last proved to cloud your judgment?
 
Hawa wakenya ni wabishi by nature hawawezi kukuelewa.
 
Kwani kwa mwaka mnaongeza shilingi ngapi, kila mwaka mnaongeza kama 10,000 na kuna mwaka mnakaushwa. Kwanza kwa awamu hii ya tano ndio kilio huwa naona mkilia sana hamjaongezwa, sio kwa serikali au sekta binafsi.
#WAJINGANYINYI
 
Hicho kima chako labda
 
$3 USA dollar Kenya ina nguvu sawa sawa $1 USA dollar iliyopo Tanzania ,ukitaka kujua kuhusu mishahara baina ya nchi Mbili upi ni mkubwa ni LAZIMA UZINGATIE GHARAMA YA MAISHA HII NDIYO KANUNI KUU KIMAHESABU ,sasa gharama ya maisha Kenya ni kubwa ×2 hadi ×3 ya Tanzania huo ndiyo ukweli ndiyo maana watu wanashindwa kuelewa the truth kuhusu uchumi wa Tanzania inakuwaje Tanzania kuweza kufanya project nyingi Kwa Pesa yake hadi majuzi wazungu wanataka kuanza kututoa Kwa nguvu kwenye LCD

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wacha kayamba nyingi, tulinganishe kitu cha msingi kama unga, waandishi wa gazeti la Mwananchi wamepita kitaa na kupata bei ya unga 1kg kuwa 1,200 Tshs

Haya tuje Kenya, hapa sasa hivi unga 1kg ukiagiza online ni 66Kshs about 1,400Tshs, na hiyo ujue ni bei ya kuagiza online uletewe mpaka kwako, kwa kifupi hamna chochote kwenu kinachohusu unafuu wowote, umaskini tu, mnawalipa watu 40,000Tshs jameni maisha gani hayo, hivi unajua Tanzania ipo ndani ya mataifa kumi duniani ambayo watu wake hawana furaha kabisa licha ya kutokua na vita wala ugomvi wowote Maize Flour 1kg
 
Wewe jidanganye tz bei ya chakula imepanda na kuuza kingi nje ya nchi ila ni unga tu mchele ulikuwa bei chini tena kitu usicho jua kuwa wa tz wanao nunua chakula ni wamijini zaidi wavijijini na miji midogo wanalima wenyewe hivyo unajichanganya kimaesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Don't be emotional bro lest you write us another poem.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…