Sikumaanisha nyieHuyu ana gubu,,sie vipofu kivipi?🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikumaanisha nyieHuyu ana gubu,,sie vipofu kivipi?🤣🤣🤣
Fqnya nilichokuambia kwanzaBasi futa vitu umeandika hapa kwanza
Bob uzi bado?? Tunataka kulala mbona unachelewa sasa?? 🤣Sikumaanisha nyie
Nimepika, nimefua nguo za Mr zimekauka nimenyoosha…….naingia na karanga zangu za mayai nisome uzi mpya siuoni??? Bff hebu njoo umwambie afungue basi kabla mida ya kwenda kuhudumia ndoa bado haijafika 😂😂😂😂Haina shida hata nikiukutia uzi katikati nakustua tuanzie hapo hapo
mmh asante sana mdogo wanguNimepika, nimefua nguo za Mr zimekauka nimenyoosha…….naingia na karanga zangu za mayai nisome uzi mpya siuoni??? Bff hebu njoo umwambie afungue basi kabla mida ya kwenda kuhudumia ndoa bado haijafika 😂😂😂😂
Kwani da Pridah mna ugomvi gani na Bob?? 😜mmh asante sana mdogo wangu
Basi dada usilie na mi ntalia 🥹🥹Kuna nyakati ni vigumu sana kuwa mwanamke.Its so hard😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimefuta Kila kitu lkn sitaki kukuona tena humu na ukipotea humu na Mimi sitakaa nionekane tena humu hlf pasikuche unajua Cha kufanya.Kuna nyakati ni vigumu sana kuwa mwanamke.Its so hard😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ndo unidhalilishe hivi?😭😭Ona Sasa unajifunza na ujeuri zile heshima na unyenyekevu umetupia wapi?Sasa umeziba Kila sehemu unadhan ningefanyaje kupata attention Yako?Iam sorry.Najua unajiheshimu sana na huwezi kuruhusu wahuni wakuchezee sikua na pakuongelea mama angu
Nisamehe mama yangu Fanya mpango tuhamie zetu zapNdo unidhalilishe hivi?😭😭
Pia waambie watu wako unaowaambie kuwa nachagua nyoka naacha samaki ni sbb nilikuomba unipe muda niwe na uhakika kama nimemove on na mpenzi wangu wa nyuma na nikaogopa kukukubalia sbb najua akirudi anytime nitakuacha.Nilitaka tuwe marafiki kwanza ukawa unafosi mambo ndo mana nikakublock nikarudisha na vitu vyako vyote.Na kwa hili ulilofanya leo mmmh acha tu niendelee kumsubiri nyoka wangu na huo uzi wewe rusha tu ingekua umewahi ona utupu wangu ndo ningeogopa🙏Nisamehe mama yangu Fanya mpango tuhamie zetu zap
Hebu FUTA hii bana.Pia waambie watu wako unaowaambie kuwa nachagua nyoka naacha samaki ni sbb nilikuomba unipe muda niwe na uhakika kama nimemove on na mpenzi wangu wa nyuma na nikaogopa kukukubalia sbb najua akirudi anytime nitakuacha.Nilitaka tuwe marafiki kwanza ukawa unafosi mambo ndo mana nikakublock nikarudisha na vitu vyako vyote.Na kwa hili ulilofanya leo mmmh acha tu niendelee kumsubiri nyoka wangu na huo uzi wewe rusha tu ingekua umewahi ona utupu wangu ndo ningeogopa🙏
Siamini Mimi ndo sbab ya wewe kusema hivi daa☹️Kuna nyakati ni vigumu sana kuwa mwanamke.Its so hard😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
She is a good woman siwezi kumfanyia hivyo,sorry shemu kamhudumie ndugu yangu sasaNimepika, nimefua nguo za Mr zimekauka nimenyoosha…….naingia na karanga zangu za mayai nisome uzi mpya siuoni??? Bff hebu njoo umwambie afungue basi kabla mida ya kwenda kuhudumia ndoa bado haijafika 😂😂😂😂
Halafu Shemegi yangu mzuri mzuri naomba ufute sehemu zote ulizonikwoti basi na ukitaka ya usumbufu ipo daa nahisi walinichanganyia kitu kwenye kinywaji changu Mimi sio. Wa hiviBob uzi bado?? Tunataka kulala mbona unachelewa sasa?? 🤣
Mpaka sahivi bila bilaNimepika, nimefua nguo za Mr zimekauka nimenyoosha…….naingia na karanga zangu za mayai nisome uzi mpya siuoni??? Bff hebu njoo umwambie afungue basi kabla mida ya kwenda kuhudumia ndoa bado haijafika 😂😂😂😂