Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahahah unafiki ndio siwezagiMkuu huwaga hupindishi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah unafiki ndio siwezagiMkuu huwaga hupindishi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Mtu asiyepindisha ni mzuriMkuu huwaga hupindishi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Asante mkuu😍.Pridah kupitia hii thread yako nimegundua una roho nzuri na utu ndani yake, ila wafanyakazi wako wanakuangusha,
Kitu pekee nnacho amini kwenye biashara bila kusimama mwenyewe 100% kuibiwa hakuepukiki
Kuna namna nyingi sana za kuibiwa, mfano kuna wafanyakazi ambao hawaibi hela kabisa ila wanakuja na product zao wanauza kupitia frame yako,
Mfano una liquor store ,mfanyakazi anakuja na na konyagi zake 5, vant 5, mteja akija anaanza kuuza za kwake, hapo unategemea nini
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Ushatoboa siri na huu uzi wataoneshana ofisini..Mr Vijay alikufundishaje kuridhika mkuu?
[emoji23]Ahahah..nilikuwa na mradi wa kufuga kuku Baadhi ya majirani walikuwa wananiibia lakini jirani msukuma hawamwibii kisa? Wakiamini atawaroga.
Kafanyaje hebu tupe habari kamiliMissy Gf To yeye ,Lamomy Joannah Tayana-wog Saint Anne mwambieni huyu mfundeni huyu mwenzenu aache dharau za kijijini matokeo yake anaangukia Kwa wahuni wanaishia kumdhalilisha
Sawa mkuu,ngoja atuambie piaMissy Gf To yeye ,Lamomy Joannah Tayana-wog Saint Anne mwambieni huyu mfundeni huyu mwenzenu aache dharau za kijijini matokeo yake anaangukia Kwa wahuni wanaishia kumdhalilisha
Halafu wewe na shobo zako KY itakuhusu NAKUAPIANjooo 😍
Nipe samaree mbona sielewiMissy Gf To yeye ,Lamomy Joannah Tayana-wog Saint Anne mwambieni huyu mfundeni huyu mwenzenu aache dharau za kijijini matokeo yake anaangukia Kwa wahuni wanaishia kumdhalilisha
😂😂😂😂 Kwema bff??Kafanyaje hebu tupe habari kamili
Tukiwa tunamfunda tuwe na details au sio wandewa Lamomy Tayana-wog Joannah
Utaelewa tu usiwe na haraka
Mimi mwenyewe mgeni hapa naona Kuna sintofahamu hapa tusubiri uzi 🤣😂😂😂😂 Kwema bff??
Wamemfanya nini kwani??
Sawa mkuu tunasubiri uzi ili tujue makungwi tunaanzia kufunda wapi..kama vya kitandani au vya jikoniNimemaanisha huyu mwenzenu ndo kipofu.
MmhYa kunipiga sasa😃 au vipi!
😂😂😂😂 hatareeMimi mwenyewe mgeni hapa naona Kuna sintofahamu hapa tusubiri uzi 🤣