Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

Bila shaka mtoa mada ana miliki supermarket...

Hua wanalipa wafanyakazi 120,000/= hadi 150,000/= huwezi kukwepa kuibiwa kwa mshahara huo...

Maana wafanyakazi wanaona pesa wanayokuingizia kwa siku ni nyingi sana then mwisho wa mwezi unawalipa 120 na wengine wana familia.
Kwa kweli tunacholipa sisi sio kikubwa cha kujivunia ila pia sio kidogo kiasi hicho ulichotaja mkuu
 
Ahaa kumbe yule shoga yako ni muongo siyo!

Mshahara unalipa kiduchu halafu tukichukua hela za kula unasema tunaakuibia?

Mikazi yote ile kweli boss huna huruma na sisi!
😃😃🤣🤣
Jichanganye shauri yako sio uongo we iba uone utakavyokua msukule wangu🤣🤣
 
Back
Top Bottom