Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

Wewe una akili nyingi ujue!!!
Hujajipata tu kisawasawa ungeongoza duniani!!
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ bichwa limenivimba hapa mkuu halafu kuna mtu nilikua naongea nae ishu fulani muda sio mrefu akanambia ningekua mwanaume ningekua namiliki ndege sasa hivi ๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Anywayz,tuzidi kuombeana mkuu๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Hao wafanyakazi wako ni VILAZA tu yaan mtu na akili zangu niamini huo upuuzi mliokuwa mnaongea na shoga yako?[emoji23][emoji23]...ungetumia mbinu nyingne sio hyo aisee ni swala la mda tu watakuibia...ungesema unafanya biashara ya aina gani tukushauri jf wasiweze kukuibia tena
 
Hellow.

Kuibiwa na wafanyakazi ni moja ya changamoto tulizo nazo wafanyabiashara.

Nimefunga CCTV camera ila mfumo nilioweka mimi umeme ukikatika camera hazifanyi kazi.Moja ya ofisi ina standby generetor ila nyingine zinategemea umeme wa tanesco tu.

Nishawatisha sana hadi kulaza wengine selo ili iwe mfano kwa wengine,nishakata sana mishahara,nishafukuza sana ila bado hawa watu wanaiba tu.

Kilichoniokoa nisiibiwe ni kitu cha kijinga sana aisee. "USHIRIKINA' ndo ulioniokoa.

Mimi siamini katika uchawi wala majini.Sijawahi kwenda wala sitawahi kwenda kufanyiwa ndumba na kimtu nilichokizidi elimu.Uchawi na ushirikina ni sehemu ya ujinga wetu waafrika.Ni hadithi za kufikirika havifanyi kazi ila wafanyakazi wangu wanaamini sana katika uchawi.Wenyewe wanaamini kuwa wananilogaga nisiwafukuze kazi no mara what zey do๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ ila nafukuzaga siku yeyote nionapo mtu huyu hana maslahi yeyote kwangu.Wananichota hadi nyayo ila siku nikiamua unaondoka ni unaondoka.

Baada ya kuona ushirikina ni kitu wanachokiamini sana nikapata idea, nikakutana na shoga yangu mmoja nikamueleza wazo langu akacheka sana halafu akasema hii inaweza kufanya kazi.

Tuka rehersal pale halafu tukaachana then baadae akaja moja ya ofisi yangu akijifanya alikua anapita zake tu akaona aingie anipe hi.

Basi tukajifanya hatujaonana siku nyingi then akajifanya kuniuliza vipi biashara inaendaje.
Mimi nikamjibu biashara inaenda vizuri ila tatizo wafanyakazi wananiibia sana.Akasema kwani si una camera hapa nikamwambia umeme ukikatika hazifanyi kazi.

Kumbuka tulichagua kukaa karibu ya alipokua amekaa mmoja wa staffs ili asikie tunachoongea akawahadithie wenzie ila tulikua tunajifanya hatutaki asikie tukawa kama tunaongea kwa kunong'ona hivi.

.Alipoona tunanong'ona akatega masikio vizuri ila akawa anajifanya yuko busy na simu yake.

Sasa tulipohakikisha anasikia shoga angu akaanza kusema"Ujue kama wanakuibia ndio vizuri?Nitakupeleka kwa mtaalamu fulani hivi wafanyabiashara wengi wanaenda kwake kuwageuza wafanyakaz wao chuma ulete ila sharti huyo mfanyakazi awe anakuibia ndo dawa itafanya kazi.

Mimi nikajifanya kushangaa pale then shoga yangu akasema, yaani ukifanyiwa hiyo dawa mtu yeyote akikuibia anakua kama kala kiapo cha kukuuzia nyota yake so kila anachopata kinakuja kwako.Hata ukimlipa mshahara utarudi kwako kimazingara hivyo atashangaa anapata mshahara plus kukuibia ila miaka itaenda hana cha maana anachofanya na hata akiacha kazi huko anakoenda bado atakua chuma ulete wako tu.

Nikajifanya, shogaangu kwa nilivyochoka kuibiwa,kesho naomba unipeleke kwa huyo mtu.

Hiyo ilikua Nov. last year.Tokea siku hiyo, mapato yangu yameongezeka.

Good evening.
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Sawa mkuu.

Sijui kwanini ngozi nyeusi hatuoni aibu kuwa vijizi jizi.
Pia kwenye kuajiri msiwe mnaangalia kigezo kimoja tu cha taaluma.

Emotional intelligent ni muhimu pia, mtu mwenye EI kubwa ni vigumu kidogo kukuibia kwani atakuwa anatake ownership kwenye hiyo kazi, ataichukulia kama yake ili mradi nawe unamtendea kama binadamu.

Wenzetu huwa hawaangalii vyeti vya taaluma tu.
 
Wewe jidanganye tuu, mwizi ni mwizi tuu wizi ni roho chafu, ikishamwingia mtu hata useme una mloga atakuibia tuuu, mbona wezi wanachomwa mpaka moto asipokufa anarudi Tena kuiba, mpaka siku atakayouwawa ndo mwisho wa wizi wake.
 
Hao wafanyakazi wako ni VILAZA tu yaan mtu na akili zangu niamini huo upuuzi mliokuwa mnaongea na shoga yako?[emoji23][emoji23]...ungetumia mbinu nyingne sio hyo aisee ni swala la mda tu watakuibia...ungesema unafanya biashara ya aina gani tukushauri jf wasiweze kukuibia tena
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Ni upuuzi kweli mkuu ila umenifaa so far.
Hapa najipanga tu niwe na standby generator kote sababu wanaiba wakati hamna umeme
 
Pia kwenye kuajiri msiwe mnaangalia kigezo kimoja tu cha taaluma.

Emotional intelligent ni muhimu pia, mtu mwenye EI kubwa ni vigumu kidogo kukuibia kwani atakuwa anatake ownership kwenye hiyo kazi, ataichukulia kama yake ili mradi nawe unamtendea kama binadamu.

Wenzetu huwa hawaangalii vyeti vya taaluma tu.
Nimechukua point mkuu.
Asante๐Ÿ™
 
Katika eneo lolote lile la kazi 50% hao tayari sio watumishi waaminufu.

25 % wana uaminifu kulingana na sheria na taratibu za ajira.

25% ndio waaminufu.

Kwahiyo muajiri anapaswa kupambana na asilimia 75 ya watumishi wake kulinda pato.
 
Wewe jidanganye tuu, mwizi ni mwizi tuu wizi ni roho chafu, ikishamwingia mtu hata useme una mloga atakuibia tuuu, mbona wezi wanachomwa mpaka moto asipokufa anarudi Tena kuiba, mpaka siku atakayouwawa ndo mwisho wa wizi wake.
Ni kweli mkuu ila kwa hawa kwa sasa wametulia.
Hata hivyo najipanga niwe na umeme muda wote coz wanaiba umeme ukikatika
 
Katika eneo lolote lile la kazi 50% hao tayari sio watumishi waaminufu.

25 % wana uaminifu kulingana na sheria na taratibu za ajira.

25% ndio waaminufu.

Kwahiyo muajiri anapaswa kupambana na asilimia 75 ya watumishi wake kulinda pato.
Inaumiza sana mkuu .
 
Hellow.

Kuibiwa na wafanyakazi ni moja ya changamoto tulizo nazo wafanyabiashara.

Nimefunga CCTV camera ila mfumo nilioweka mimi umeme ukikatika camera hazifanyi kazi.Moja ya ofisi ina standby generetor ila nyingine zinategemea umeme wa tanesco tu.

Nishawatisha sana hadi kulaza wengine selo ili iwe mfano kwa wengine,nishakata sana mishahara,nishafukuza sana ila bado hawa watu wanaiba tu.

Kilichoniokoa nisiibiwe ni kitu cha kijinga sana aisee. "USHIRIKINA' ndo ulioniokoa.

Mimi siamini katika uchawi wala majini.Sijawahi kwenda wala sitawahi kwenda kufanyiwa ndumba na kimtu nilichokizidi elimu.Uchawi na ushirikina ni sehemu ya ujinga wetu waafrika.Ni hadithi za kufikirika havifanyi kazi ila wafanyakazi wangu wanaamini sana katika uchawi.Wenyewe wanaamini kuwa wananilogaga nisiwafukuze kazi no mara what zey do๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ ila nafukuzaga siku yeyote nionapo mtu huyu hana maslahi yeyote kwangu.Wananichota hadi nyayo ila siku nikiamua unaondoka ni unaondoka.

Baada ya kuona ushirikina ni kitu wanachokiamini sana nikapata idea, nikakutana na shoga yangu mmoja nikamueleza wazo langu akacheka sana halafu akasema hii inaweza kufanya kazi.

Tuka rehersal pale halafu tukaachana then baadae akaja moja ya ofisi yangu akijifanya alikua anapita zake tu akaona aingie anipe hi.

Basi tukajifanya hatujaonana siku nyingi then akajifanya kuniuliza vipi biashara inaendaje.
Mimi nikamjibu biashara inaenda vizuri ila tatizo wafanyakazi wananiibia sana.Akasema kwani si una camera hapa nikamwambia umeme ukikatika hazifanyi kazi.

Kumbuka tulichagua kukaa karibu ya alipokua amekaa mmoja wa staffs ili asikie tunachoongea akawahadithie wenzie ila tulikua tunajifanya hatutaki asikie tukawa kama tunaongea kwa kunong'ona hivi.

.Alipoona tunanong'ona akatega masikio vizuri ila akawa anajifanya yuko busy na simu yake.

Sasa tulipohakikisha anasikia shoga angu akaanza kusema"Ujue kama wanakuibia ndio vizuri?Nitakupeleka kwa mtaalamu fulani hivi wafanyabiashara wengi wanaenda kwake kuwageuza wafanyakaz wao chuma ulete ila sharti huyo mfanyakazi awe anakuibia ndo dawa itafanya kazi.

Mimi nikajifanya kushangaa pale then shoga yangu akasema, yaani ukifanyiwa hiyo dawa mtu yeyote akikuibia anakua kama kala kiapo cha kukuuzia nyota yake so kila anachopata kinakuja kwako.Hata ukimlipa mshahara utarudi kwako kimazingara hivyo atashangaa anapata mshahara plus kukuibia ila miaka itaenda hana cha maana anachofanya na hata akiacha kazi huko anakoenda bado atakua chuma ulete wako tu.

Nikajifanya, shogaangu kwa nilivyochoka kuibiwa,kesho naomba unipeleke kwa huyo mtu.

Hiyo ilikua Nov. last year.Tokea siku hiyo, mapato yangu yameongezeka.

Good evening.
Mindset games
 
Hellow.

Kuibiwa na wafanyakazi ni moja ya changamoto tulizo nazo wafanyabiashara.

Nimefunga CCTV camera ila mfumo nilioweka mimi umeme ukikatika camera hazifanyi kazi.Moja ya ofisi ina standby generetor ila nyingine zinategemea umeme wa tanesco tu.

Nishawatisha sana hadi kulaza wengine selo ili iwe mfano kwa wengine,nishakata sana mishahara,nishafukuza sana ila bado hawa watu wanaiba tu.

Kilichoniokoa nisiibiwe ni kitu cha kijinga sana aisee. "USHIRIKINA' ndo ulioniokoa.

Mimi siamini katika uchawi wala majini.Sijawahi kwenda wala sitawahi kwenda kufanyiwa ndumba na kimtu nilichokizidi elimu.Uchawi na ushirikina ni sehemu ya ujinga wetu waafrika.Ni hadithi za kufikirika havifanyi kazi ila wafanyakazi wangu wanaamini sana katika uchawi.Wenyewe wanaamini kuwa wananilogaga nisiwafukuze kazi no mara what zey do๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ ila nafukuzaga siku yeyote nionapo mtu huyu hana maslahi yeyote kwangu.Wananichota hadi nyayo ila siku nikiamua unaondoka ni unaondoka.

Baada ya kuona ushirikina ni kitu wanachokiamini sana nikapata idea, nikakutana na shoga yangu mmoja nikamueleza wazo langu akacheka sana halafu akasema hii inaweza kufanya kazi.

Tuka rehersal pale halafu tukaachana then baadae akaja moja ya ofisi yangu akijifanya alikua anapita zake tu akaona aingie anipe hi.

Basi tukajifanya hatujaonana siku nyingi then akajifanya kuniuliza vipi biashara inaendaje.
Mimi nikamjibu biashara inaenda vizuri ila tatizo wafanyakazi wananiibia sana.Akasema kwani si una camera hapa nikamwambia umeme ukikatika hazifanyi kazi.

Kumbuka tulichagua kukaa karibu ya alipokua amekaa mmoja wa staffs ili asikie tunachoongea akawahadithie wenzie ila tulikua tunajifanya hatutaki asikie tukawa kama tunaongea kwa kunong'ona hivi.

.Alipoona tunanong'ona akatega masikio vizuri ila akawa anajifanya yuko busy na simu yake.

Sasa tulipohakikisha anasikia shoga angu akaanza kusema"Ujue kama wanakuibia ndio vizuri?Nitakupeleka kwa mtaalamu fulani hivi wafanyabiashara wengi wanaenda kwake kuwageuza wafanyakaz wao chuma ulete ila sharti huyo mfanyakazi awe anakuibia ndo dawa itafanya kazi.

Mimi nikajifanya kushangaa pale then shoga yangu akasema, yaani ukifanyiwa hiyo dawa mtu yeyote akikuibia anakua kama kala kiapo cha kukuuzia nyota yake so kila anachopata kinakuja kwako.Hata ukimlipa mshahara utarudi kwako kimazingara hivyo atashangaa anapata mshahara plus kukuibia ila miaka itaenda hana cha maana anachofanya na hata akiacha kazi huko anakoenda bado atakua chuma ulete wako tu.

Nikajifanya, shogaangu kwa nilivyochoka kuibiwa,kesho naomba unipeleke kwa huyo mtu.

Hiyo ilikua Nov. last year.Tokea siku hiyo, mapato yangu yameongezeka.

Good evening.
Duuh Kali!
 
Back
Top Bottom