Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kunipiga sasa😃 au vipi!Manati ya nini sasa??
Karibu 🍺 boss maana na wewe bahiliiHaina haja babu yupo 😃😁
Njooo 😍
Siwezi kutaja hadharaniWapi huko mkuu
Kama unalipa kiduchu tengeneza mfumo walau wa ku support chakula na nauli hapo atleast utakuwa safe. Imagine unamlipa mtu 150,000 halafu unataka kila siku aje kazini kwa nauli yake na ajitegemee kula. Hapo lazma utapigwa, watu hawakatai kazi sababu ya njaa tu ila kimsingi mtu akikubali mkataba wa hivyo lazma akuibie tu.Sawa mkuu.
Sijui kwanini ngozi nyeusi hatuoni aibu kuwa vijizi jizi.
Licha ya uwezo tu waafrika hamna utu, mtu unamlipa kiduchu weka budget ya kula basi. Unataka ale na kila asubuhi awahi biasharani kwako hata kumpa nauli humpi. Tubadilike tutapigwa sana tu.Mara nyingi uwezo wa waajiri wengi wa kizungu ni mkubwa kulinganisha na waajiri wa kiafrika.Kuwaza hivyo ni kutuonea na kurudishana nyuma mkuu
Uko sahihi na imekuelewa vizuri sana mkuu ila sisi hatuwezi kulipa zaidi ya uwezo wa ofisi.Kinachotakiwa ni mtu aridhike na mlichokubaliana,kufosi kupata zaidi ya uwezo wa ofisi ni kukwamishanaKama unalipa kiduchu tengeneza mfumo walau wa ku support chakula na nauli hapo atleast utakuwa safe. Imagine unamlipa mtu 150,000 halafu unataka kila siku aje kazini kwa nauli yake na ajitegemee kula. Hapo lazma utapigwa, watu hawakatai kazi sababu ya njaa tu ila kimsingi mtu akikubali mkataba wa hivyo lazma akuibie tu.
Doh hapo mbona rahisi kuwadhibiti, nilijua wanaiba vitu...Wanaiba hela mkuu.
Ni kweli ila sisi tunajitahidi sana kuwa fair ila ndo hivyo hatuna uwezo wa kulipa zaidi ya tunavyolipa.Licha ya uwezo tu waafrika hamna utu, mtu unamlipa kiduchu weka budget ya kula basi. Unataka ale na kila asubuhi awahi biasharani kwako hata kumpa nauli humpi. Tubadilike tutapigwa sana tu.
Tunakosea padogo sana ndo maana tunapigwa.
Chakula mnawapa?Uko sahihi na imekuelewa vizuri sana mkuu ila sisi hatuwezi kulipa zaidi ya uwezo wa ofisi.Kinachotakiwa ni mtu aridhike na mlichokubaliana,kufosi kupata zaidi ya uwezo wa ofisi ni kukwamishana
Okay sawa basi ni kupambana nao tuMshahara wao unatosha kumudu
Mkuu huwaga hupindishi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Licha ya uwezo tu waafrika hamna utu, mtu unamlipa kiduchu weka budget ya kula basi. Unataka ale na kila asubuhi awahi biasharani kwako hata kumpa nauli humpi. Tubadilike tutapigwa sana tu.
Tunakosea padogo sana ndo maana tunapigwa.
Mkuu huwaga hupindishi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Licha ya uwezo tu waafrika hamna utu, mtu unamlipa kiduchu weka budget ya kula basi. Unataka ale na kila asubuhi awahi biasharani kwako hata kumpa nauli humpi. Tubadilike tutapigwa sana tu.
Tunakosea padogo sana ndo maana tunapigwa.