Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
๐๐๐๐ Kungwi ushajiandaa na nyagoSawa mkuu tunasubiri uzi ili tujue makungwi tunaanzia kufunda wapi..kama vya kitandani au vya jikoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐ Kungwi ushajiandaa na nyagoSawa mkuu tunasubiri uzi ili tujue makungwi tunaanzia kufunda wapi..kama vya kitandani au vya jikoni
Ndo nimeshaongea
Unatafuta umaarufu kupitia mimi siyo!Ndo nimeshaongea
Wish you know who you fvckn withUnatafuta umaarufu kupitia mimi siyo!
Na singo nmeandaaa tukimaliza kufunda tunamsinga mwali wetu tunamtoa na kigoma cha uruguay๐๐๐๐ Kungwi ushajiandaa na nyago
KhaaaaMissy Gf To yeye ,Lamomy Joannah Tayana-wog Saint Anne mwambieni huyu mfundeni huyu mwenzenu aache dharau za kijijini matokeo yake anaangukia Kwa wahuni wanaishia kumdhalilisha
Pole sanaWish you know who you fvckn with
Unistue bff ss hivi sipo sn humu ๐๐๐Tusubiri uzi
Haswaah!! Nakuaminia kungwi ๐๐Na singo nmeandaaa tukimaliza kufunda tunamsinga mwali wetu tunamtoa na kigoma cha uruguay
Haina shida hata nikiukutia uzi katikati nakustua tuanzie hapo hapoUnistue bff ss hivi sipo sn humu ๐๐๐
Hadithi za kihanithi....labda uwadanganye watoto under 15yrsHellow.
Kuibiwa na wafanyakazi ni moja ya changamoto tulizo nazo wafanyabiashara.
Nimefunga CCTV camera ila mfumo nilioweka mimi umeme ukikatika camera hazifanyi kazi.Moja ya ofisi ina standby generetor ila nyingine zinategemea umeme wa tanesco tu.
Nishawatisha sana hadi kulaza wengine selo ili iwe mfano kwa wengine,nishakata sana mishahara,nishafukuza sana ila bado hawa watu wanaiba tu.
Kilichoniokoa nisiibiwe ni kitu cha kijinga sana aisee. "USHIRIKINA' ndo ulioniokoa.
Mimi siamini katika uchawi wala majini.Sijawahi kwenda wala sitawahi kwenda kufanyiwa ndumba na kimtu nilichokizidi elimu.Uchawi na ushirikina ni sehemu ya ujinga wetu waafrika.Ni hadithi za kufikirika havifanyi kazi ila wafanyakazi wangu wanaamini sana katika uchawi.Wenyewe wanaamini kuwa wananilogaga nisiwafukuze kazi no mara what zey do๐๐ ila nafukuzaga siku yeyote nionapo mtu huyu hana maslahi yeyote kwangu.Wananichota hadi nyayo ila siku nikiamua unaondoka ni unaondoka.
Baada ya kuona ushirikina ni kitu wanachokiamini sana nikapata idea, nikakutana na shoga yangu mmoja nikamueleza wazo langu akacheka sana halafu akasema hii inaweza kufanya kazi.
Tuka rehersal pale halafu tukaachana then baadae akaja moja ya ofisi yangu akijifanya alikua anapita zake tu akaona aingie anipe hi.
Basi tukajifanya hatujaonana siku nyingi then akajifanya kuniuliza vipi biashara inaendaje.
Mimi nikamjibu biashara inaenda vizuri ila tatizo wafanyakazi wananiibia sana.Akasema kwani si una camera hapa nikamwambia umeme ukikatika hazifanyi kazi.
Kumbuka tulichagua kukaa karibu ya alipokua amekaa mmoja wa staffs ili asikie tunachoongea akawahadithie wenzie ila tulikua tunajifanya hatutaki asikie tukawa kama tunaongea kwa kunong'ona hivi.
.Alipoona tunanong'ona akatega masikio vizuri ila akawa anajifanya yuko busy na simu yake.
Sasa tulipohakikisha anasikia shoga angu akaanza kusema"Ujue kama wanakuibia ndio vizuri?Nitakupeleka kwa mtaalamu fulani hivi wafanyabiashara wengi wanaenda kwake kuwageuza wafanyakaz wao chuma ulete ila sharti huyo mfanyakazi awe anakuibia ndo dawa itafanya kazi.
Mimi nikajifanya kushangaa pale then shoga yangu akasema, yaani ukifanyiwa hiyo dawa mtu yeyote akikuibia anakua kama kala kiapo cha kukuuzia nyota yake so kila anachopata kinakuja kwako.Hata ukimlipa mshahara utarudi kwako kimazingara hivyo atashangaa anapata mshahara plus kukuibia ila miaka itaenda hana cha maana anachofanya na hata akiacha kazi huko anakoenda bado atakua chuma ulete wako tu.
Nikajifanya, shogaangu kwa nilivyochoka kuibiwa,kesho naomba unipeleke kwa huyo mtu.
Hiyo ilikua Nov. last year.Tokea siku hiyo, mapato yangu yameongezeka.
Good evening.
Zezeta wa wahindi...pole sana wameshakumalizaNamshukuru Bosi Wangu wa Kihindi Vijay Kumar Rao alias Victor Joseph kwa kunifundisha Kuridhika na Mshahara.
Watanzania Wengi hawaridhiki na Mshahara na hivyo hutafuta mbinu ya kumuibia muajiri bila kujua wanajiibia maisha Yao ya baadae.
Watanzania tuache kuwaibia waajiri/wawekezaji. Ukisaini mkataba wa makubaliano, Ridhika na Mshahara. Ukiona Mshahara haukutoshi tafuta Kazi nyingine.
Tunajiaibisha na kusababisha tusiajirike.
Anadharau kivipi mkuu unamjua?? Je anachokisema hana au ??!Hana lolote demu ana dharau chafu sana huyu mkuu niamini
Mungu Mwenye Huruma akurehemu kwa ajili ya mateso makali ya Mwanae Mpenzi Sana Bwana Wangu Yesu Kristo.Zezeta wa wahindi...pole sana wameshakumaliza