Wafanyakazi wameandaa mabango na T-shirts zao lakini wanapita mbele ya Rais Samia kwa kukimbizwa kama mbwa mwizi

Wafanyakazi wameandaa mabango na T-shirts zao lakini wanapita mbele ya Rais Samia kwa kukimbizwa kama mbwa mwizi

Kwa nini wafanyakazi wamejichokea sana?tatizo nini?au mishahara yenu haiwatoshi?Ninawaangalia hapa kwenye tv,nawaona wamechoka sana na kibaya zaidi mabango yao ni ya kumsifia rais tu.
Rais ndio mwajiri mkuu, lazima wampongeze.
 
Kama Rais hana muda wa kupokea waandamanaji wote basi waratibu wa sherehe hizi za Mei Mosi walipaswa kupunguza makundi ya waandamanaji.

Watu wamepoteza muda wao kujiandaa, wakatafuta na t-shirts halafu wanapita mbele ya mhe rais wakikimbizwa kama kuku wa mgeni ama mbwa mwizi.

Watu wazima wanakimbizwa kama watoto wa shule za msingi. Inachefua hata kuangalia kupitia runinga.

Aibu naona mimi.
Hii nalo la kusema,? Bungeni mambo muhimu wanaweka hati ya dharura na mambo yanaendelea. Viongozi wa MACCM yanatuona wajinga toka muda
 
Mei mosi imedoda aisee.

Huko unakutana na viewers 77 daaah.
Screenshot_20230501-105845.png
 
Kama Rais hana muda wa kupokea waandamanaji wote basi waratibu wa sherehe hizi za Mei Mosi walipaswa kupunguza makundi ya waandamanaji.

Watu wamepoteza muda wao kujiandaa, wakatafuta na t-shirts halafu wanapita mbele ya mhe rais wakikimbizwa kama kuku wa mgeni ama mbwa mwizi.

Watu wazima wanakimbizwa kama watoto wa shule za msingi. Inachefua hata kuangalia kupitia runinga.

Aibu naona mimi.
Rais alishasema hataki mabango kipindi anaingia! Kero zote ziende chini huko! Kuna mdada mmoja alipanda mpaka juu mnara kule moshi akitaka kujirusha kisa tu asikilizwe na Rais! Alisikilizwa ata? Walipelekwa askari wakaenda kumshusha na kipigo! Alafu utasikia Rais msikivu sijui nini! Sasa komaeni
 
Kama Rais hana muda wa kupokea waandamanaji wote basi waratibu wa sherehe hizi za Mei Mosi walipaswa kupunguza makundi ya waandamanaji.

Watu wamepoteza muda wao kujiandaa, wakatafuta na t-shirts halafu wanapita mbele ya mhe rais wakikimbizwa kama kuku wa mgeni ama mbwa mwizi.

Watu wazima wanakimbizwa kama watoto wa shule za msingi. Inachefua hata kuangalia kupitia runinga.

Aibu naona mimi.
hayo ni yako mawazo we usiye na jinsia maalum. umejaa chuki na serikali ya mama ila utakufa na chuki zako bila kufanikiwa maombi ya kishetani. utaishia kuwa na sonona we ngedere
 
Wanawahi muda ili wasicheleweshe ratiba nyingine, ajabu hata kama tukio linawahusu wao!.

Watu walioshikwa akili namna hiyo ndio waweze kuitisha migomo ya kudai haki zao?!

Never.

Hao ni kondoo wa serikali, ndio maana wako hapo kwa bosi wao kumlilia awaongezee mshahara.
we si ni mbuzi wa hao mafala wako,
 
ali
Alisema siku nyingi hataki mabango, Hadi akamtumnua mkuu wa mkoa, bado mnayabeba, mna akili kweli, ye anataka watu wakae apige hotuba, asepe!
sema mabango yenye jumbe zenye malalamiko, aliwaambia wasaidizi wake wasolve matatizo ya watu kabla ya ujio wake. Km huna akili ya kuelewa yanahutubiwa bora ukae mkimya we poyoyo
 
Back
Top Bottom