TANZIA Wafanyakazi Wawili wa Ofisi ya CAG wafariki dunia
SPIKA wa Bunge kwa heshima na unyenyekevu mkubwa watanzania tunakuomba ruhusu ripoti ya CAG ijadiliwe bungeni huku mtaani hali ni mbaya sana, habari zinazoendelea kusambaa kuhusu vifo vya watumishi wa CAG ni mbaya saana.

Ombi la watanzania ruhusu ripoti ijadiliwe kwa dharura ili kuwaweka huru watanzania wanaohoji juu ya vifo vya watumishi wa CAG..

Hofu kubwa ya watanzania kufikia Novemba ushahidi wa maafisa wa CAG utakuwa umepotea kwa sababu huwezi kujua hao waliofariki walikagua maeneo gani na ushahidi na vielelezo wanavyo wao.
Wameuawa au wamefariki? na kama wanaushahidi si utakuwa ndani ya taarifa ya CAG
 
Stuka ndugu yangu, hii nchi ni kama kichuguu, inaliwa ikimwagiwa maji, jikite kuwatafutia wajukuu zangu riziki (wanao).
wajukuu watakuta taifa limebaki mifupa mitupu kama wazee wetu kina Nyerere na Karume wangeruhusu nchi kuliwa hivi tusingekuta chochote.
 
Mliweka precedence mbaya sana nyie chawa, kipindi watu wanakufa enzi za JPM mlikua mnabisha mnasema sijui ni mabeberu na wapinzani ndio wanawaua kunichagua serikali so hakukuwahi fanyika uchunguzi serious wowote iwe Filikunjombe, Ben Saanane, Tundu Lissu n.k

Sasa unadhani awamu hii itakua accountable kuchunguza vifo wakati precedence mlishaiweka huko nyuma.

Nadhani iwe funzo kwamba ukiona mwenzio ananyolewa....... Maana enzi zile wapinzani wanamalizwa mkiona kama wanamchafua tu Rais au Makonda au Sabaya ila Leo hii ndio mmeamini Sasa kuwa mafisadi hayana huruma na uhai wa mtu?
 
SPIKA wa Bunge kwa heshima na unyenyekevu mkubwa watanzania tunakuomba ruhusu ripoti ya CAG ijadiliwe bungeni huku mtaani hali ni mbaya sana, habari zinazoendelea kusambaa kuhusu vifo vya watumishi wa CAG ni mbaya saana.

Ombi la watanzania ruhusu ripoti ijadiliwe kwa dharura ili kuwaweka huru watanzania wanaohoji juu ya vifo vya watumishi wa CAG..

Hofu kubwa ya watanzania kufikia Novemba ushahidi wa maafisa wa CAG utakuwa umepotea kwa sababu huwezi kujua hao waliofariki walikagua maeneo gani na ushahidi na vielelezo wanavyo wao.
Hii nchi kuongozwa na Wanawake bado sana,sisi wanawake wetu wamezoea majungu na umbea basi.Hiyo mihimili inapaswa ishikwe na wanaume,labda miaka 50 mbele tukiondoka kwenye Hybrid Democracy(Autocracy & Democratic state) ya sasa kwenda kwenye Democracy ya kweli ndiyo tufikirie kuongozwa na Wanawake, assuming kuwa tutakuwa na jamii iliyo elimika na kustaarabika.
 

Tuombe Spika wa BUNGE, aruhusu ripoti ya CAG ijadiliwe kwa dharura kipindi hiki bungeni ili jambo hili liishe...vinginevyo ni kweli vielelezo muhimu vitapotea alafu mtaakuja kuambiwa waliokuwa navyo walishafariki...inahuzunisha sana wazalendo wetu kufariki huku taarifa zao zikiwa zimejaa utata na yanayosemwa mitandaoni...
Kubadilisha ratiba sio rahic hawa.
 
Hii nchi kuongozwa na Wanawake bado sana,sisi wanawake wetu wamezoea majungu na umbea basi.Hiyo mihimili inapaswa ishikwe na wanaume,labda miaka 50 mbele tukiondoka kwenye Hybrid Democracy(Autocracy & Democratic state) ya sasa kwenda kwenye Democracy ya kweli ndiyo tufikirie kuongozwa na Wanawake, assuming kuwa tutakuwa na jamii iliyo elimika na kustaarabika.
wacha uzushi wewe hiyo democracy ya kweli umeiona wapi? Unakariri vitu ambavyo huna uhakika navyo.

Wanawake wataendelea kuongoza nchi hii ukipenda au usipende. Ikiwa unaona shida endelea mbele mpaka Burundi.
 
Mafisadi sio watu wa kuwachekea na sasa wameingia jikoni, kazi tunayo!! Mpaka uchunguzi wa waliotajwa na CAG unamalizika na hatua kuchukuliwa dhidi yao, makaburi mengi yatajaa mizoga!!

Serikali inalichukulia poa suala hili la mafisadi waliotajwa kwenye report ya CAG, lakini ni vyema kama wale Wote watu muhimu kwenye hiyo taasisi ya ukaguzi akiwemo CAG mwenyewe wakati huu wakapewa ulinzi!!. Msingoje mpaka mkaambiwa ofisi za CAG zimepigwa bomu kuharibu ushahidi ndio muanze kuzinduka.
 
Back
Top Bottom