EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Wameuawa au wamefariki? na kama wanaushahidi si utakuwa ndani ya taarifa ya CAGSPIKA wa Bunge kwa heshima na unyenyekevu mkubwa watanzania tunakuomba ruhusu ripoti ya CAG ijadiliwe bungeni huku mtaani hali ni mbaya sana, habari zinazoendelea kusambaa kuhusu vifo vya watumishi wa CAG ni mbaya saana.
Ombi la watanzania ruhusu ripoti ijadiliwe kwa dharura ili kuwaweka huru watanzania wanaohoji juu ya vifo vya watumishi wa CAG..
Hofu kubwa ya watanzania kufikia Novemba ushahidi wa maafisa wa CAG utakuwa umepotea kwa sababu huwezi kujua hao waliofariki walikagua maeneo gani na ushahidi na vielelezo wanavyo wao.
wajukuu watakuta taifa limebaki mifupa mitupu kama wazee wetu kina Nyerere na Karume wangeruhusu nchi kuliwa hivi tusingekuta chochote.Stuka ndugu yangu, hii nchi ni kama kichuguu, inaliwa ikimwagiwa maji, jikite kuwatafutia wajukuu zangu riziki (wanao).
Hii nchi kuongozwa na Wanawake bado sana,sisi wanawake wetu wamezoea majungu na umbea basi.Hiyo mihimili inapaswa ishikwe na wanaume,labda miaka 50 mbele tukiondoka kwenye Hybrid Democracy(Autocracy & Democratic state) ya sasa kwenda kwenye Democracy ya kweli ndiyo tufikirie kuongozwa na Wanawake, assuming kuwa tutakuwa na jamii iliyo elimika na kustaarabika.SPIKA wa Bunge kwa heshima na unyenyekevu mkubwa watanzania tunakuomba ruhusu ripoti ya CAG ijadiliwe bungeni huku mtaani hali ni mbaya sana, habari zinazoendelea kusambaa kuhusu vifo vya watumishi wa CAG ni mbaya saana.
Ombi la watanzania ruhusu ripoti ijadiliwe kwa dharura ili kuwaweka huru watanzania wanaohoji juu ya vifo vya watumishi wa CAG..
Hofu kubwa ya watanzania kufikia Novemba ushahidi wa maafisa wa CAG utakuwa umepotea kwa sababu huwezi kujua hao waliofariki walikagua maeneo gani na ushahidi na vielelezo wanavyo wao.
Kubadilisha ratiba sio rahic hawa.Tuombe Spika wa BUNGE, aruhusu ripoti ya CAG ijadiliwe kwa dharura kipindi hiki bungeni ili jambo hili liishe...vinginevyo ni kweli vielelezo muhimu vitapotea alafu mtaakuja kuambiwa waliokuwa navyo walishafariki...inahuzunisha sana wazalendo wetu kufariki huku taarifa zao zikiwa zimejaa utata na yanayosemwa mitandaoni...
Labda mwendazake amefufuka , kingekuwa kipindi chake ungesikia kelele kila kunaWananchi tunataka tujulishwe vyanzo vya vifo vya hao watumishi wa NAO,
Hili sio la kuliacha lipite kimya kimya hapana aisee!
Watuambie kulikoni?
wacha uzushi wewe hiyo democracy ya kweli umeiona wapi? Unakariri vitu ambavyo huna uhakika navyo.Hii nchi kuongozwa na Wanawake bado sana,sisi wanawake wetu wamezoea majungu na umbea basi.Hiyo mihimili inapaswa ishikwe na wanaume,labda miaka 50 mbele tukiondoka kwenye Hybrid Democracy(Autocracy & Democratic state) ya sasa kwenda kwenye Democracy ya kweli ndiyo tufikirie kuongozwa na Wanawake, assuming kuwa tutakuwa na jamii iliyo elimika na kustaarabika.
Mafisadi sio watu wa kuwachekea na sasa wameingia jikoni, kazi tunayo!! Mpaka uchunguzi wa waliotajwa na CAG unamalizika na hatua kuchukuliwa dhidi yao, makaburi mengi yatajaa mizoga!!
hatari kweliNi hatari sana