Wafariki wakimgombania mwanamke

Polisi bana
Kwa hiyo Hadija alikuwa mwamuzi wa mpambano?
 
Ngojeni na nyie polisi muamze kupigana na kuuana.
 
Mwanamke ashitakiwe kwa kupunguza nguvu kazi ya taifa ni kosa la uhujumu uchumi hilo.
 
Sasa kama wamepigana na kuuana wenyewe dada wa watu wanamtafutia nini!!!
 
Wamekwenda zao wameiacha mbususu waliyokuwa wanaigombania. Pambav sana.
Atafaidi mwamba mwingine sasa.
 
Sasa huyo bint anatafutwa na polisi kwa kosa gani?

Polisi buana wanashangaza sana ,watu wamepigana kwa magongo wameuana kwa kumgombania khadija then polisi wanamtafuta binti khadija sijui wanataka wamuone anafananaje labda.

Kama kuchukua maelezo kwa khadija sio kusema kwamba wanamtafuta as if kama yeye ndio aliyewaua.
 
Nimewahi kushuhudia knock out katika ngumi kwa maboxer wote wawili, lakini hii ni kali zaidi.

Yaani mtu kapigwa gongo la kichwa akaanguka, halafu akainuka na yeye katoa kipigo cha gongo la kichwa, wote wakaanguka na kufa!
Inasikitisha sana najiuliza tu hiyo mibanzi walivyokuwawanashushiana mpaka wakafa pamoja dah jamaa wavumilivu sana huku mbunye Iko pembeni inaangalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…