Wafariki wakimgombania mwanamke

Wafariki wakimgombania mwanamke

Dada ana kosa gani wakati wahuni wameuana wenyewe wakati Pwechele zipo kibao tena kali zaidi ya hiyo waliojiua nayo...tunaita kisababishi ila hakina hatia kabisaa...
 
Dada ana kosa gani wakati wahuni wameuana wenyewe wakati Pwechele zipo kibao tena kali zaidi ya hiyo waliojiua nayo...tunaita kisababishi ila hakina hatia kabisaa...

JF jamani

Mmeacha papuchi mnaita Pwechele[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ndo hivyo tena hapo roho zao ni motoni moja kwa moja according to maandiko.
 
Mtwara. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamtafuta Hadija Msamati kwa mahojiano akidaiwa kuhusika katika vifo vya wanaume wawili.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, Septemba 30, 2022, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Nicodemus Katembo amesema watu wawili wamefairiki dunia kwenye ugomvi wa kupigana wao kwa wao wakigombea mwanamke wilayani Masasi.

Nimewahi kushuhudia knock out katika ngumi kwa maboxer wote wawili, lakini hii ni kali zaidi.

Yaani mtu kapigwa gongo la kichwa akaanguka, halafu akainuka na yeye katoa kipigo cha gongo la kichwa, wote wakaanguka na kufa!
 
Halafu mwanamke wala hana shida yeye anawakubalia wote na hasemi chochote..
Anaacha mtwangane tu halafu huku anaongeza wengine kwenye list daah

Ukiwa na upendo kwa mwanamke mwenye tamaa hakuna rangi utaacha ona[emoji16]
 
Mtwara. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamtafuta Hadija Msamati kwa mahojiano akidaiwa kuhusika katika vifo vya wanaume wawili.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, Septemba 30, 2022, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Nicodemus Katembo amesema watu wawili wamefairiki dunia kwenye ugomvi wa kupigana wao kwa wao wakigombea mwanamke wilayani Masasi.

Amesema watu hao walitambulika kwa majina ya Ibrahimu Shaban (21) na Mussa Bakari (28) ambao wamefariki dunia baada ya kupigana kwa kutumia magongo ya miti na kupigana wao kwa wao wakigombea mpenzi.

Katembo alisema kuwa Septemba 29, 2022 majira ya saa sita usiku katika kijiji cha Mkangaula kata ya Namalenga wilayani Masasi watu hao waligombana.

"Hili tukio limesababishwa na wivu wa mapenzi ambapo imebainika baada ya ugomvi huo mwanamke huyo amekimbilia kusiko julikana ambapo kwa taarifa ya Daktari baada ya uchunguzi walibaini chanzo ni kuvuja damu kwa wingi mwilini," alisema Katembo
Cc: Mwananchi newspaper
Marehemu wameuana
 
Back
Top Bottom