ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Ujinga mkubwa zaidi ni wa kukubali na kujivunia kuwa wa shetani na ukandamizaji. Kwa hilo mwendazake alifanikiwa sana huko CCM.wewe sasahivi uko uraiani kwenye keyboard mwenzio mpaka sasahivi keshakula virungu kadhaa huo ni ujinga mkubwa mno anayeweza kufanya ni kama nyie tu
Hahahaahahahahah
Mkuu wewe ni mjanja sana. Yaani umewachuuza wenzio washaswekwa wewe upo huku unaperuzi tu kimya kimya uzi wa kula tunda kimasihara
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeamini wajinga ndio waliwao
😂😂😂😂😂😂😂😂
Vip Dudumizi alishiriki keanu ulijianda kubambikia wengine wangapi ugaidi, kubitia maandamano unayoshikia kidedea.Habari zenu ndugu zangu. Wengi tulisema jana na juzi kuwa hakuna kiongozi hata mmoja atakaekuwa tayari kuweka maisha yake hatarini kwa ajili ya maisha ya mungine, baadhi ya nyumbu wakapinga. Sasa leo ndo mmeamini wenyewe kuwa "kika kila mchuma janga hula na wa kwao". Kama Mbowe amesuswa na vijana wake mwenyewe, sipati picha kwa wale wenzangu na mimi waliopoteza muda wao, na pesa zao kuingia katika mambo au maandamano yasiowahusu. Ni nani atawapigania ili watoke!!!
ndugu katikanchi za kiafrica unaweza kuiongelea vibaya nchi hiikweli? uhru ulionao maendeleo yaliyopo unakunywa maji unapata umeme hakuna matukio mabaya kkama somalia hebu niambie tu wewe ni baya gani ulionalo hapa nchini? nchi za kiafrica zote maskini ingawaje tunajikongoja unategemea chadema wakiingia madarakani ndiyo wataleta maajabugani tuache ushabiki wa kihuni hoUjinga mkubwa zaidi ni wa kukubali na kujivunia kuwa wa shetani na ukandamizaji. Kwa hilo mwendazake alifanikiwa sana huko CCM.
Nchi hii ilipata uhuru 1961, shtuka mkuu utaibiwaaaaaHiyo ni wishful thinking. Komaa hapo hapo. Nchi hii itakombolewa na wenye moyo.
Kwamba tu wachache hiyo inajulikana. Tukishaikomboa ma opportunists kama nyie mnafahamika kuwahi seats za mbele.
Uzuri ni kuwa zama hizi hatusiti kuwafahamisha bayana kuwa ignorant as you are we need no contribution from you.
Ongeza sauti kijoogooD,hujasikika.Magaidi yana umoja mno .
Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
Hoja hizo labda peleka kwa watoto wa chekechea ingawa wakianza kukua watakushtukia.ndugu katikanchi za kiafrica unaweza kuiongelea vibaya nchi hiikweli? uhru ulionao maendeleo yaliyopo unakunywa maji unapata umeme hakuna matukio mabaya kkama somalia hebu niambie tu wewe ni baya gani ulionalo hapa nchini? nchi za kiafrica zote maskini ingawaje tunajikongoja unategemea chadema wakiingia madarakani ndiyo wataleta maajabugani tuache ushabiki wa kihuni ho
Ndiyo maisha alivyo.Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.
Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
Akina Nyerere, Karume, Nkrumah, Jomo Kenyata na mashujaa wazee wetu wengine wangekuwa na roho za ubinafsi kama huo sijui tungekuwa wapi? Eeeh Mungu tuhurumie.Kuingia barabarani kisa mtu mmoja ambae pengine hakujui hata jina wala hamjui hata mama yako NI UFARA WA KIWANGO CHA SGR.
Hivi hamnaga kazi za kufanya???
Asante sana kwa mashujaa wetu mliotuwakisha kisutu!!! ThanksHali si shwari katika viwanja vya mahakama ya kisutu hapa getin wandamanaji wa chadema na mabango yao wamekula SMASH za kutosha ila sikuona maana ya kuwakamata kwa maana ni maandamano yasiyokuwa na fujo hapo wengine wameshakula nduki na wanakimbizwa
View attachment 1880555
View attachment 1880557
View attachment 1880558
View attachment 1880559
View attachment 1880556
View attachment 1880560
Katibu Mkuu, yuko wapi hapo na familia yake? au ndiyo yule mwenye shati la draft front pageNgumu kuchangia wakati umeonesha ushabiki wako wa kufurahia mauaji.
Nchi hii ilipata uhuru 1961, shtuka mkuu utaibiwaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kweli Mbowe Yupo kwenye sofa, Segerea, na wewe haupo kwenye hiyo Demos!Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.
Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
Inaonekana una hofu kubwa sana juu ya mrija ulioutegeshea huko kwa hao wanaokushibisha ambao uwepo wao unatishiwa na hawa unaoonysha dharau kwao hapa.Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.
Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
Labda mabadiliko unayoyaona wewe ni hao walioko Ukonga kubebeshwa Mimba na Wababe wa Rumande. Fanyakazi za Kipato chako kwa bidii iinue familia yako otherwise acha kutumika vibaya wewe nyumbu.Inaonekana una hofu kubwa sana juu ya mrija ulioutegeshea huko kwa hao wanaokushibisha ambao uwepo wao unatishiwa na hawa unaoonysha dharau kwao hapa.
Nikik3usoma naona hawa "vikaragosi wachache" ni bora mara mia kuliko ulivyo wewe.
'Desperation' yako unayoonyesha hapa haitazuia mabadiliko yanayokuja.