Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Mawazo Yako yanaheshimiwa,

Ingawa tangu Nchi kupata uhuru, hajawahi kufanikiwa PM yeyote kukikalia KITI hicho!!
kwa sababu katiba inamshurutisha afuate muongozo wa rais, huko pia kuna agenda hewa ijulikanayo kama dira ya uchaguzi
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Maji yamezidi unga
 
Huyo uliyemuwekea tick, naye hafai isipokuwa anao unafuu ukilinganisha na waliotajwa au waliopo ndani ya chama chake.

Kuna wengi walionesha uwezo wa kitendaji chini ya usimamizi wa MWAMBA, Kassim akiwa mmoja wao!

Ili nchi ya kiafrika itoke kwenye dimbi la umasikini, ni lazima UKATILI WA KIMAENDELEO uanzie kwenye serikali kwenda kwa wananchi.

Watake watafanya, wasitake watafanya...kila anayepumua ndani ya nchi atainamishwa!
  • Sio kuna wenye kulipa kodi na wenye kusamehewa kodi
  • Sio kuna wenye kupita barabara za kurudi na wenye kutembelea LC 300
  • Sio kuna wenye kuazibiwa kwa wizi wa kuku, miaka 100 jela na wenye kurudisha mzigo au kuhamisha idara/kituo cha kazi kama adhabu ya ubadhirifu

Magu hakuwa mwana-ccm aliyeivishwa na chama, alikuwa mwananchi aliyelelewa kitaa, akasimamia imani yake ya KIUME bila kujali usasa wa wanaharakati.

Wanaume wavaa vimodo, vinjunga, dont touch, cheni, hereni; wanaojadiliana na -ke jinsi ya kuleta usawa wa kijinsia.

MAGU ni ishara wazi tuliyopewa ili tujue ni muelekeo gani utatutoa tulipo, kwenda mbele!
Upo sahihi kabisa mkuu, naunga mkono hoja yako.
 
Nyerere kabla ya uraisi alikua nani?
Yeye ndo aliweka mwiko huo wa PM kutofikia KITI hicho,

Kuanzia, Sokoine, Sumaye,Lowwassa, Malecela, Pinda nk nk

Ukiiniuliza why, pia Sina majibu.
 
Hiyo nafasi tungempa Husen Mwinyi amalizie awamu ya mzanzibar mwenzake mama akapumzike zake kizimkazi... Nisiwe mnafki siafikiani na SSH kuendelea kuwa raisi wetu baada ya 2025 na kumtoa SSH tukaweka mtu wa bara tukubaliane kuuvunja huu Muungano usiokua na maana yoyte kwa bara zaidi ya kuongeza idadi ya sikukuu za kitaifa tuuu
 
Ni Kweli kabisa.

CCM Si mamaetu. Ndomana Lissu akawapo Kwa list.

Tanzania utabaki kuwa no 1, vyama baadae!!
Kwa sasa CCM ndo no. 1 kisha Tanzania inafuata.

Yamewezeshwa kwa hisani ya vyombo vya dola
 
Kwa sasa CCM ndo no. 1 kisha Tanzania inafuata.

Yamewezeshwa kwa hisani ya vyombo vya dola
Wamepewa nafasi kutubu,

Wasipotubu, ataletwa Daudi achukue nafasi ya Sauli.
 
Hiyo nafasi tungempa Husen Mwinyi amalizie awamu ya mzanzibar mwenzake mama akapumzike zake kizimkazi... Nisiwe mnafki siafikiani na SSH kuendelea kuwa raisi wetu baada ya 2025 na kumtoa SSH tukaweka mtu wa bara tukubaliane kuuvunja huu Muungano usiokua na maana yoyte kwa bara zaidi ya kuongeza idadi ya sikukuu za kitaifa tuuu
Kama ambavyo Magu alikuwa 1 term presidaa, ni sawa pia aliyepo kuwa 1 term presidaa.

Kisha 2025 tuendelee na Utaratibu wa 2 terms.

Huyo uliyemtaja na babake, wanakosa sifa ya UZALENDO,

Visiwa kadhaa huko ameshavigawa na wazenj wanalalama.
 
Yaan Gwajima huyu huyu mbunge wa kawe[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wanaamini Mwenge wa Uhuru ndo zindiko lao la milele
TOBA pekee ndo itawaokoa,

Tofauti na hapo, atakosekana mshindi na kusababisha tuingie matuta, Kisha mtoto wa kambo anapewa URITHI.
 
Back
Top Bottom