Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Duuuu lisu ndo avae viatu vya magufuri anapwaya sana hawezi hata chembe ya haradali
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Karibuni[emoji120]

Moango na Majaliwa
Natamani mmoja wapo awe Rais

Nchi ingekuwa sawa sana
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Malajiwa ashawah kuwapiga kwenzi walimu wa primary mkoa flan, jamaa yupo serious sana na kazi
 
Mfuatilie JPM akiwa na madaraka ya chini halafu mlinganishe na hao uliowataja. Wana uthubutu aliokuwa nao?
 
Mfuatilie JPM akiwa na madaraka ya chini halafu mlinganishe na hao uliowataja. Wana uthubutu aliokuwa nao?
Angalau Kwa uchache, wanaweza.

Lakini, sa100, apumzike 2025, tupate kiongozi mpya,aturudishe Kwa line.
 
Fomu ni moja mpaka sasa, sijajua umejipangaje kuhakikisha hachukui yeye.
CCM wasipotuletea mgombea mpya, tutahakikisha upinzani unashinda,

Ndio maana umeona Jina la Mpinzani hapo.

Tusubiri kipenga kianze.
 
Tundu Lissu na viatu vya Magufuli? Is this a comedy or joke OR a blatant insult on Lissu?

Mkuu mpe heshima yake Lissu. Hajashuka viwango kiasi hicho. Muondoe kabisa kwenye hiyo list. Weka Makonda au Sabaya. Utaeleweka zaidi.
 
CCM wasipotuletea mgombea mpya, tutahakikisha upinzani unashinda,

Ndio maanda umeona Jina la Mpinzani hapo.

Tusubiri kipenga kianze.
Tuzungumze uhalisia.
 
Tundu Lissu na viatu vya Magufuli? Is this a comedy or joke OR a blatant insult on Lissu?

Mkuu mpe heshima yake Lissu. Hajashuka viwango kiasi hicho. Muondoe kabisa kwenye hiyo list. Weka Makonda au Sabaya. Utaeleweka zaidi.
Sifa za Uthubutu,uchapakazi, Uzalendo na misimamo isoyumba unamaanisha Lissu Hana?

Mbona kama umekurupuka?
 
Back
Top Bottom