Yaani na huko wanadai wamejaa wabobevu wa sheria. Ilani watu WAOGA HATARI.
[emoji38][emoji38][emoji38]TOKA MAKTABA :
7 May 2021
Dodoma, Tanzania
Serikali imekanusha kuwa na wafungwa wa kisasa na kwamba Rais Samia Suluhu hajaamuru wafungwa wowote watolewe magerezani kama ilivyotangazwa na kituo cha televisheni cha Citizen cha Kenya. Msemaji wa serikali Gerson Msigwa amesisitiza kuwa Tanzania haina wafungwa wa kisiasa na wala hakuna wafungwa wa kisiasa Tanzania bali zipo kesi za makosa ya kijinai yanayoendelea kusikilizwa mahakamani ili haki ipatikane .
Tanzania yakanusha, yasema hakuna wafungwa wa kisiasa
Source : Zanzibar Kamili TV
Hali ilikuwa ngumu sana ngazi zote wapinzani walizogombea kuanzia udiwani, ubunge na uRais hali ilikuwa mbaya.
Nchi ilikuwa na watu wenye uvumilivu mkubwa sana 2020.
Sio uvumilivu mkuu, ni uoga. Na watawala wameshajua kuwa wananchi ni waoga, hivyo wanafanya lolote watakalo
Nakubaliana nawe asilimia 110, masuala muhimu kama haki katika mfumo haki jinai, hali ngumu ya kiuchumi ya kila raia, katiba mpya au iliyoboreshwa, demokrasia, haki ya elimu bora na huduma za afya haya ni mambo msingi kwa binadamu lakini waTanzania wanasita kujiunga na wana harakati au vyama vya upinzani wapate hicho kitu muhimu.
Mfano mwingine mpya Ongezeko la Mishahara kiduchu waTanzania wanaishutumu CHADEMA kwa kuonekana ipo kimya lakini wakiambiwa wasimamie kidete kura zao wapate wakilishi wao halali wanaowataka ngazi ya udiwani, ubunge n.k wanaruka kimanga na kudai wahataki kujibainisha na wanasiasa waroho wa madaraka waliopo upinzani.
Yaani waTanzania magumu yakiwafika kama nyongeza ndogo za mshahara, huduma mbovu za afya, matumizi ya anasa na ufahari ya viongozi wateuliwa wa CCM ndiyo huanza kuikumbuka CHADEMA, CUF, NCCR-MAGEUZI n.k
Hapana.Katiba ya kukaa mezani na CCM bila kutokea machafuko, usitegemee kuheshimiwa.
Katiba bora hupatikana baada ya machafuko, au nchi kupinduliwa.
Hilo ni angalizo nakupa ndugu yangu.
Hapana.
Siyo lazima ya kuwepo machafuko ili kupata Katiba iliyo bora.
Suluhisho ni kukataa CCM kuendesha shughuli za hiyo katiba mpya, basi!
Labda useme machafuko kutokea wakati CCM waking'ang'ania kuendesha shughuli hiyo. Hapo machafuko watakuwa wameyaleta CCM wenyewe.
Sijui unataka niseme mara ngapi kabla ya machafuko kuwepo.CCM wang'ang'anie kuendesha shughuli hiyo mara ngapi?
Sijui unataka niseme mara ngapi kabla ya machafuko kuwepo.
Ninachosema hapa, ni leo na kesho, sitazami ya huko nyuma.
Mengi sana yamebadilika.Kipi kimebadilika sasa?
Hapa umegusa jambo muhimu sana ambalo linahitaji uchambuzi makini sana ili kufahamu sababu zinazopelekea iwe hivyo.Yaani waTanzania magumu yakiwafika kama nyongeza ndogo za mshahara, huduma mbovu za afya, matumizi ya anasa na ufahari ya viongozi wateuliwa wa CCM ndiyo huanza kuikumbuka CHADEMA, CUF, NCCR-MAGEUZI n.k
Ila magufuli hapana aisee he was tyrant28 July 2022
Ukerewe, Mwanza
MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA KTK KESI No. 171 OF 2021, YAWAACHIA HURU WANACHAMA WA CHADEMA
Waliokuwa wagombea udiwani kupitia chama cha CHADEMA washinda rufaa yao na kuachiwa huru. Mzizi wa Hii kesi ilitokea wakati wa kurudisha fomu za udiwani, walipigwa risasi mwilini na walibabikiwa kesi.
Makamanda hao ni Mateso Mgeta na Alfred Mabagala ambao mbali ya kushinda kesi hiyo walikuwa tayari wametumikia miaka 2 katika ya mitano kabla ya kushinda rufaa yao.
Makamanda hao wa CHADEMA sasa wataenda kukaguliwa afya zao kwani walipata majeraha na vipigo vilivyopelekea kutembelea magongo na walipokuwa jela, mazingira yale yalikuwa magumu kuweza kupata huduma kamilifu za kutibu majeraha yao.
CHADEMA kanda ya Victoria na taifa inaomba wana CHADEMA na waTanzania kwa ujumla kuwaangalia hawa makamanda ili waweze kupata huduma za kiafya baada ya kutoka gerezani na sasa wapo huru.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Mwanza katika uamuzi wake ulio andikwa katika jumla ya kurasa 17 Alfred Mabagala @ Mugeta & Another vs Republic (Criminal Appeal 171 of 2021) [2022] TZHC 10789 (25 July 2022); | Tanzlii na kusomwa mbele ya Mahakama Kuu, alikubaliana na hoja za upande wa utetezi kupiga hukumu ya mahakama ya wilaya ya Ukerewe.
Source : CHADEMA Media TV
Mwanakondoo ameshinda28 July 2022
Ukerewe, Mwanza
MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA KTK KESI No. 171 OF 2021, YAWAACHIA HURU WANACHAMA WA CHADEMA
Waliokuwa wagombea udiwani kupitia chama cha CHADEMA washinda rufaa yao na kuachiwa huru. Mzizi wa Hii kesi ilitokea wakati wa kurudisha fomu za udiwani, walipigwa risasi mwilini na walibabikiwa kesi.
Makamanda hao ni Mateso Mgeta na Alfred Mabagala ambao mbali ya kushinda kesi hiyo walikuwa tayari wametumikia miaka 2 katika ya mitano kabla ya kushinda rufaa yao.
Makamanda hao wa CHADEMA sasa wataenda kukaguliwa afya zao kwani walipata majeraha na vipigo vilivyopelekea kutembelea magongo na walipokuwa jela, mazingira yale yalikuwa magumu kuweza kupata huduma kamilifu za kutibu majeraha yao.
CHADEMA kanda ya Victoria na taifa inaomba wana CHADEMA na waTanzania kwa ujumla kuwaangalia hawa makamanda ili waweze kupata huduma za kiafya baada ya kutoka gerezani na sasa wapo huru.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Mwanza katika uamuzi wake ulio andikwa katika jumla ya kurasa 17 Alfred Mabagala @ Mugeta & Another vs Republic (Criminal Appeal 171 of 2021) [2022] TZHC 10789 (25 July 2022); | Tanzlii na kusomwa mbele ya Mahakama Kuu, alikubaliana na hoja za upande wa utetezi kupiga hukumu ya mahakama ya wilaya ya Ukerewe.
Source : CHADEMA Media TV
Mkuu kushindana na mtu aliyeshikilia bunduki huku ameshaikoki wakati wewe una mikono mitupu ni sawa na kumvimbia Simba dume mwenye hasira kaliHapa umegusa jambo muhimu sana ambalo linahitaji uchambuzi makini sana ili kufahamu sababu zinazopelekea iwe hivyo.
Jibu rahisi ni kualumu wananchi. Hata mimi hulaumu hawa waTanzania kwa nini hawastuki hata mambo yanayorudisha juhudi zao nyuma yanapotokea.
Bila shaka zipo sababu. Kushindwa kwetu kuzielewa hakuwezi kamwe kuhalalisha lawama kwao.
Bila shaka ipo nafasi pia ya kujiangalia sisi tunaolaumu. Je, tumefanya juhudi za kutosha kuondoa mashaka yao juu yetu?
Tanzania hii hii ilisema Mbowe gaidi halafu wakamtoa wenyewe, hivi tokea lini serikali ya ccm ikakubali makosa yake.TOKA MAKTABA :
7 May 2021
Dodoma, Tanzania
Serikali imekanusha kuwa na wafungwa wa kisasa na kwamba Rais Samia Suluhu hajaamuru wafungwa wowote watolewe magerezani kama ilivyotangazwa na kituo cha televisheni cha Citizen cha Kenya. Msemaji wa serikali Gerson Msigwa amesisitiza kuwa Tanzania haina wafungwa wa kisiasa na wala hakuna wafungwa wa kisiasa Tanzania bali zipo kesi za makosa ya kijinai yanayoendelea kusikilizwa mahakamani ili haki ipatikane .
Tanzania yakanusha, yasema hakuna wafungwa wa kisiasa
Source : Zanzibar Kamili TV
Just 5yrs of power lost our lifetime national intergrity, i dont know why.Ila magufuli hapana aisee he was tyrant
Huo uogo umetengenezwa moja ya strategy ni kufunga watu wanyee debe miaka nenda rudi bila losa lolote, extrem ilifika wakaanza kuteka, kuua na kutesa.Sio uvumilivu mkuu, ni uoga. Na watawala wameshajua kuwa wananchi ni waoga, hivyo wanafanya lolote watakalo. Bila uoga kututoka wananchi mambo mabaya zaidi yataendelea kutokea.
Yaan kila jumapili utamuona makamera yanamuonyesha akiwa kanisani lakin hakua na hofu ya Mungu hata chembeJust 5yrs of power lost our lifetime national intergrity, i dont know why.