Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu 'Tindo', naona una maswali mengi ya udadisi tu huku ukweli ukiujua mwenyewe.
Huko "...kushikamana na vyombo vya dola" kusikutishe hata kidogo.
Leo hii CCM ikifurumishwa utaona vyombo hivyo hivyo ndio vitakuwa mbele kuinanga CCM.
CHADEMA ingeendeleza ilipokuwa imefikia na Magufuli (sina maana ya siasa za uanaharakati); ungeona jinsi nchi hii ilivyobadilika. CHADEMA wanakosea sasa hivi kuwapa CCM nafasi ya kujipanga upya. Kinana akiwa kinara wa kazi hiyo.
CDM wafanyeje labda, au wamzuie Kinana kuzunguka nchi nzima?