Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
GKtEyRPXkAAVO02.png




View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8

Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.

Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani? Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye

Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.
 
Hilo litakuwa sio gereza sasa kama unapewa HAKI zote.

Kuna siku watadai wawe wanalala makwao siku moja Moja.

Lakini pia HAKI zidaiwe Kwa wafungwa Kwa ujumla wao Si Kwa JINSIA zao.
 
Back
Top Bottom