Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

Wafungwa Wanawake wapatiwe tendo la ndoa?

Ukifungwa maana yake Kuna Baadhi ya huduma muhimu unazikosa... Ile hamu inavyokupanda na ukakosa huduma ndio maana ya kifungo.
Ndio inawaharibu afya ya akili, wakitoka wanakuwa kama vichaa, wanyimwe vyote ila hii wapewe.
 
View attachment 2958789



View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8
Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani?
Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye

Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.

Yani unataka kusema kuna wanawake wanawake hawawezi kufikisha mwezi bila ku sex?
 
View attachment 2958789



View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8
Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani?
Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye

Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.

Wanaume je?
 
Hapana, kule huwezi maana wanafungiwa na huwa tukiwatembelea wanalalamika sana kuwa zinawapanda.
Vyakula vyote magereza yote, vinachanganywa na mafuta ya taa!..... Unaelewa kazi ya mafuta ya taa kwenye mwili!? Ama lengo la magereza yote duniani kuchanganya kerosene kwenye chakula!?
=Kupunguza hamu ya tendo!!

Think!
 
Si wote waliopo ndani wana makosa.
CAG ripoti inataja kila siku majizi ya ma-trilioni na hayaguswi , yana maghorofa na makampuni makubwa, yanaishia kusonywa tu na kuhamishwa wizara na mashirika ya umma.
Wasio na hatia ndio wapo ndani.
Hizo ni speculation, kamahawana makosa itafutwe namna ya ku prove hilo, na hiyo ni mada nyingine
 
Back
Top Bottom