Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #41
Ndio inawaharibu afya ya akili, wakitoka wanakuwa kama vichaa, wanyimwe vyote ila hii wapewe.Ukifungwa maana yake Kuna Baadhi ya huduma muhimu unazikosa... Ile hamu inavyokupanda na ukakosa huduma ndio maana ya kifungo.