Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Conjugal right, hatuja chelewa, we can, wacha wale masiha ni mafupi sana.Ni vile tu tumechelewa kuendelea, lakini mataifa makubwa yana kitu/haki/sheria ya Conjugation.. sina hakika na spelling
Tukiwa Kifungilo Girls masista walikuwa wantuchanganyia mafuta taa kwenye maharagwe, hamu inakata kabisa.Vyakula vyote magereza yote, vinachanganywa na mafuta ya taa!..... Unaelewa kazi ya mafuta ya taa kwenye mwili!? Ama lengo la magereza yote duniani kuchanganya kerosene kwenye chakula!?
=Kupunguza hamu ya tendo!!
Think!
aloo, Betina na Zena si walikuwaga kwenye Gazeti la Sani.Betina kanenepa kimtindo kweli pesa kitu kingne
Wanawake siku za hatari tunakuwa na wakati mgumu sana, tafadhali tuwaonee huruma wafungwa wa kike, wanaume huwa mnajichua .
View attachment 2958789
View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8
Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani? Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye
Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.
Speculation, maaskari weru wa Magereza ni weledi kuliko ufikirivyo.Mbona wanazalishwa na askari magereza, wengine hutolewa usiku kwenda kula bata kisha hurudishwa alfajiri.
Uko sahihi, tufafanulie hao waliokaa gerezani miaka miwili wanapataje mimba! Au kupitia vyakula wanavyopelekewa na ndugu zao.Speculation, maaskari weru wa Magereza ni weledi kuliko ufikirivyo.
Hakuna mfungwa anayepata mimba aliyekaa zaidi ya miezi tisa.Uko sahihi, tufafanulie hao waliokaa gerezani miaka miwili wanapataje mimba! Au kupitia vyakula wanavyopelekewa na ndugu zao.
Kama kuna maaskari wa kiume itakua wanawakula sana
WAfungwa wa kike wanalind wa na wanawake wenzao.Kama kuna maaskari wa kiume itakua wanawakula sana
kama betina yupo, zena yupo wapi? Zena ni yule mbunge anayefanana na zena halisialoo, Betina na Zena si walikuwaga kwenye Gazeti la Sani.
Watoto wako ukirudi nyumbani wanaimba baba baba huyo 😂😂😂😂katoka kaziniNipo tayari kutoa haki ya faragha kwa hao wafungwa.
ha ha ha ,nyie wajukuu mmenishinda, babu yenu nitampa habari zenu.kama betina yupo, zena yupo wapi? Zena ni yule mbunge anayefanana na zena halisi