Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wewe ni Demu, lakini si huwa mnajichokonoa au huko hamnywi fanta, wala hamli matunda kama ndizi na tango? Ni material nzur zile zitumieni.Wanawake siku za hatari tunakuwa na wakati mgumu sana, tafadhali tuwaonee huruma wafungwa wa kike, wanaume huwa mnajichua .
Hapo mfungwa hana jeuri ya kugomea ofa ya afande kwanza atapata facoir ya majukum atapewa mahitaj madogo madogo na mwisho kabisa atakatwa Upwiru na afande kama apendavyo.Kunà kazi nyingine zina marupurupu ya kustajabisha🤣
Wewe ni KE au ME?Nipo tayari kutoa haki ya faragha kwa hao wafungwa.
Haya maneno hayana staha jukwaani.Kumbe wewe ni Demu, lakini si huwa mnajichokonoa au huko hamnywi fanta, wala hamli matunda kama ndizi na tango? Ni material nzur zile zitumieni.
We unajua mimi ni nani kati ya hao? Ndo tuko hivyo hivyo ebu acha kutuabudu na sisi ni binadamu tu tuko funny.Haya maneno hayana staha jukwaani.
Jiheshimu uheshimiwe.
Hili jukwaa lina wasomi, mashehe, wachungaji, manabii na mitume kwa uchache bila kusahau mapadre.
wewe ni "bangi na pombe" Weed-Liquorz sasa unataka kujisafisha jukwaani?We unajua mimi ni nani kati ya hao? Ndo tuko hivyo hivyo ebu acha kutuabudu na sisi ni binadamu tu tuko funny.
Akili huna kumbe, kojoa ulale.wewe ni "bangi na pombe" Weed-Liquorz sasa unataka kujisafisha jukwaani?
Umejiunga 2022 baadaya kumaliza VETA hapo Mlele Katavi na hujui ustaarabu wa hapa jf.
Kipaumbele chako si chao!Kuna vingi vya kuomba ila wao walichoomba🙌🏻🤣
Una majungu jirani 😜😜😜Betina kanenepa kimtindo kweli pesa kitu kingne
Anadhan ukishafungwa utawaza nini tena zaid ya kula, kulala na ngono/nyeto? Tena ndo ukite ni zaid ya 30years future yote unapangua unaanza kuish maisha ya leo leo kama ndege.Kipaumbele chako si chao!
Kama Ile connection ya Askari magereza wa kike akiliwa na mfungwa wa kiume...Kama kuna maaskari wa kiume itakua wanawakula sana
Lakini kweli🤔😊Kipaumbele chako si chao!
Unao uzoefu wa hizo hali zote mkuu?Me naona wanaume ndo muhim kupewa haki ya kunyanduana kuliko wanawake mana upwiru wa mwanaume n hatar zaid ya mwanamke
Ndio mkuu betina kaatika yupo bungeni saivaloo, Betina na Zena si walikuwaga kwenye Gazeti la Sani.
Jifunze kuukubali ukweli.Hakuna mfungwa anayepata mimba aliyekaa zaidi ya miezi tisa.
Hao wanaozaa ni wale wanaingia na mimba zao.
Elewa tu dada zenu wana uhitaji mkubwa wa tendo.