Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
- #21
Wachanganyiwe kwenye uji wa saa 12 alfajiri kwa wale wanaotaka kufanya mapenzi.Wapewe vidonge vya uzazi wa mpango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachanganyiwe kwenye uji wa saa 12 alfajiri kwa wale wanaotaka kufanya mapenzi.Wapewe vidonge vya uzazi wa mpango
Mtu akipiga kavu anapewa adhabu ya kutopata kwa miezi mitatu.Utawalazimisha watumie condom?
Pole sana mkuu ukifika hizo siku za hatari nicheck PM nitakuondolea huo wakati mgumu uwe mwepesi,Wanawake siku za hatari tunakuwa na wakati mgumu sana
Duuuuh haki ya faragha imevunjwa mpaka HAPO sasa na wale wanaofika mpaka kwa Mpalange itakuaje?Mtu akipiga kavu anapewa adhabu ya kutopata kwa miezi mitatu.
Baada ya tendo wanapimwa clinik kama wamenanii ndani.
Pia, mtu anayekuja anaapimwa HIV na STDs.
UTI.
Utakuwa ni upambavu,Mtu akipiga kavu anapewa adhabu ya kutopata kwa miezi mitatu.
Baada ya tendo wanapimwa clinik kama wamenanii ndani.
Pia, mtu anayekuja anaapimwa HIV na STDs.
UTI.
Ni kosa la jinai, wakimaliza wakati wa kuoga daktari anampima dada, akikuta hivyo , jamaa anakamatwa anafikishwa mahakamani kwa kosa la Ufi****iDuuuuh haki ya faragha imevunjwa mpaka HAPO sasa na wale wanaofika mpaka kwa Mpalange itakuaje?
View attachment 2958789
View: https://www.youtube.com/watch?v=mDH3QEXfcD8
Binafsi naona wafungwa wa kike ambao "siyo bikra" na wamefungwa zaidi ya mwezi mmoja wapewe haki ya kufanya mapenzi walau kwa wiki mara moja.
Hili jambo kama wana kataliwa tujiulize je sisi ambao tupo uraiani tunaweza kuishi bila hili tendo takatifu kwa muda gani?
Wanapo ingia gerezani waandikishe majina ya wapenzi wao na namba zao za simu, wafanye
Serikali ya Tanzania imesema tendo la ndoa kwa wafungwa sio haki ya msingi na kwamba haki wanayostahili kupewa ni chakula na mavazi. Kauli hiyo inakuja siku chache tu baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumtaka mkuu mpya wa jeshi la magereza nchini humo kuhakikisha wafungwa wanapatiwa haki zao za msingi ikiwemo mahali pazuri pa kulala na chakula.
Si wote waliopo ndani wana makosa.Utakuwa ni upambavu,
Kama unataka haki ya kutiwa usitende kosa ubaki uraiani utiwe
Sasa anafungwa nani hapo wakati kataka mwenyewe?Ni kosa la jinai, wakimaliza wakati wa kuoga daktari anampima dada, akikuta hivyo , jamaa anakamatwa anafikishwa mahakamani kwa kosa la Ufi****i
Hapana, kule huwezi maana wanafungiwa na huwa tukiwatembelea wanalalamika sana kuwa zinawapanda.Kwa hiyo kwa akili yako ya haraka haraka... Unafikiri hawafanyi!?.... Nyooo! Thubutu!
Wanapigwa mikito kwelikweli!.... Tulio karibu na hawa watu... Tunayajua mengi
Kutwa mara ngapi?Kwa hiyo kwa akili yako ya haraka haraka... Unafikiri hawafanyi!?.... Nyooo! Thubutu!
Wanapigwa mikito kwelikweli!.... Tulio karibu na hawa watu... Tunayajua mengi
Mwanaume maana ndio mfanyaji.Sasa anafungwa nani hapo wakati kataka mwenyewe?
Kwa hio wanataka kupigwa miti?Hapana, kule huwezi maana wanafungiwa na huwa tukiwatembelea wanalalamika sana kuwa zinawapanda.
Acha zako wewe Si umetaka mwenyewe utamfungaje Mwanaume?Mwanaume maana ndio mfanyaji.
Siyo kidogo, mtu mpaka akili zinamruka, jamani tembeleeni magereza mjue hali za wenzenu.Kwa hio wanataka kupigwa miti?
Kwa hio twende tukawakande hukohuko gerezani?Siyo kidogo, mtu mpaka akili zinamruka, jamani tembeleeni magereza mjue hali za wenzenu.
Mtaomba bunge libadili sheria siku hiyo hiyo.
nyuma Mungu amekataza na sheria pia imekataza.Acha zako wewe Si umetaka mwenyewe utamfungaje Mwanaume?
Si ndio tumeomba hivyo, kuwe na bweni maalum.Kwa hio twende tukawakande hukohuko gerezani?
😂😂 Umeandika kifuska sanaKwa hio wanataka kupigwa miti?