green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Unasema hivyo kwakuwa una uhakika wa kula na kunywa,kuna wakati unasema bora ufe ukipambana kuliko kufa kibudu.Mercenaries huwa ni watu wana roho ngumu, huwa najiuliza ni kupenda kazi ama unaamua kwenda kufa sababu ya pesa.
Uzi unafutwaKundi la Kijeshi la Wagner Group limetangaza nafai ya kazi huku likitoa maslahi makubwa kwa waajiriwa ikiwa ni mshahara mnono, nyumba, bonus kubwa ya uhakika, silaha ya kisasa ya kupigania, bima ya afya, malipo ya ulemavu kifo au majeruhi..
Ni maamdalizi ya kazi kubwa
‼️Join Orchestra‼️
Salary from 2500€, high bonuses, payment guarantees , internal awards, health insurance, modern weapons, payments for any injury or death.
Join Wagner now‼️
☎️ +7 (988) 604-32-95
☎️ 19 +7 (988) 322-43-37
📍Krym
Mapumziko leo.tupigie keshoMbonà hawapokei cm
Kila MTU Ni askari kwenye Vita Ila ukipelekwa Wagner mission your signatured to death...Inaonyesha Russia kiuchumi bado yuko vizuri! Unawezaje kuajiri katika kampuni Mamluki kwa marupurupu makubwa kiasi hicho?
Anyway kwa hapa TZ vijana waliopitia mafunzo ya kijeshi na hawakupata ajira jeshini wachangamkie fursa hizo!
7,123,350.00 TshEuro 2500 sawa na shingapi ya bongo
Kama ml 75 Tsh karibuEuro 2500 sawa na shingapi ya bongo
Soldier for hire, kama ni ex qu una skills wanazozitaka unaweza join for money, but elewa risk zinazokuja na hii kaziMercenaries huwa ni watu wana roho ngumu, huwa najiuliza ni kupenda kazi ama unaamua kwenda kufa sababu ya pesa.
1 Euro equal to 2,849.34 tshKama ml 75 Tsh karibu
7,123,350.00 TshHuo mshahara ni kama sh ngapi za tz?