Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 377
- 502
Ukituliza kichwa utaelewa ni nini amemainisha hapo.OK, Sawa. Lakini je, utaishi kufikia hatua hiyo ya kupokea malipo uliyoahidiwa au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukituliza kichwa utaelewa ni nini amemainisha hapo.OK, Sawa. Lakini je, utaishi kufikia hatua hiyo ya kupokea malipo uliyoahidiwa au
Naam; Aisee hebu Waambie labda watakusikia na kuzingatia ushauri wako. Hawa vijana hawajui kwamba hawajui. Juzi kati hapo tuu panya rodi wamehangaisha sana na wao kama vijana walikuwepo na hawakuweza kufanya lolote. Kwa Wagner ni tofauti - Usipofanya kitu tangible, ukafanya uzembe au ukajaribu(Kuthubutu)kukimbia, unakamatwa kwa nguvu na wanakata nyeti zako chap' na kukuacha hapo ukibleed hadi umauti ukukute- wao wanasonga mbele. (Rejea Wagner walivyokuwa wanatenda vita ya Ukraine vs Russia) Bahati mbaya zaidi ni hakuna atakayerudi home kusimulia yaliyomo.Potelea pote hii hela ngumu kijana mwenzangu usiende huko watakunyonya kamasi
Sawa. Kwamba kwa hali ngumu iliyopo hana uhakika wa kula (chakula) au kunywa bora mtu akajilipue huko auUkituliza kichwa utaelewa ni nini amemainisha hapo.
Hahahaa. Wagner uteuzi wao ni ww kwenda Front ukaote moto wa AK 47.Wamchukue yule kada wa CCM Suphian Juma... angalau apate teuzi ndani ya Wagner
Ukiombwa pesa au ukibiwa jisafirishe jua utapeliVp wanatuma hela ya nauli
Suphian atawafaaHahahaa. Wagner uteuzi wao ni ww kwenda Front ukaote moto wa AK 47.
Mbuzi wa kafara haoNa the best and popular positions huwa ni kule Frontline esp .Ikigundulika kwamba wewe umekuja kwa kimuhe-muhe cha kujizolea hela ndefu
Kweli mkuu. Shauri lao ngoja wajipelekee.Mbuzi wa kafara hao
