prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Vp wanatuma hela ya nauli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu za kufika zipojeNdio unapigishwa depo
Uanaume gani mnao nyie kobazi? Labda wa kula ubwabwa.Yaani wanaume wakiwa wanajadili mada lazima shoga afanye chochote ajulikane na yupo hili apate bwana
Inatamanisha ila moto kweri kweri unaweza kuzamia kuisaka ukarudishwa uko ndani ya boxi la mbaoPesa ndefu ila ni ya moto
The best in hell bonge la movieLikizo zitakuwepo ndugu yangu. Kwa sababu mtakuwa mnaenda kwa mzunguko.
Ila kukichafua ni lazima "The best in hell".
Mercenaries = Askari Mamluki = askari Wauaji kwa kulipwa =Mwajiriwa kuua kwa malipo.Unasema hivyo kwakuwa una uhakika wa kula na kunywa,kuna wakati unasema bora ufe ukipambana kuliko kufa kibudu.
Si ni bora ukaingia mashambani au kujianzishia shughuli Halali nyingine?Ukirudishwa bahati yako. Wengi hubakia humohumo kwenye mass graves au amepotea. (Lost in combat zone)Inatamanisha ila moto kweri kweri unaweza kuzamia kuisaka ukarudishwa uko ndani ya boxi la mbao
Recruited, wengine walikufa baada ya kwenda front, wengine wako frontline,ukishawnds front si rahis ku broadcastHivi wale wamama,ma sistaduu na mabrazameni waliokuwa wanasema watailinda Ukraine kwa nguvu yeyote ile kipindi cha mwanzo kbs vita ikiwa bado haijashamiri waliishiaga wapi
Na the best and popular positions huwa ni kule Frontline esp .Ikigundulika kwamba wewe umekuja kwa kimuhe-muhe cha kujizolea hela ndefuHakuna kurudi usipofia unapopelekwa, unapelekwa kwingine mpaka ufe tu
Wanatafuta wa kuwaweka Frontline ndio maana wameweka mpunga mrefu, hawana wasiwasi wanajua hakuna watakaorudi kwenye kudai malipoUkirudishwa bahati yako. Wengi hubakia humohumo kwenye mass graves au amepotea. (Lost in combat zone)
Naam naam safi mkuu umenena vizuri sana safi kabisa.Unasema hivyo kwakuwa una uhakika wa kula na kunywa,kuna wakati unasema bora ufe ukipambana kuliko kufa kibudu.
OK, Sawa. Lakini je, utaishi kufikia hatua hiyo ya kupokea malipo uliyoahidiwa auNaam naam safi mkuu umenena vizuri sana safi kabisa.