Uchaguzi 2020 Wagombea CCM wakwama kufanya kampeni

Uchaguzi 2020 Wagombea CCM wakwama kufanya kampeni

Kama ndivyo kulikuwa kuna haja gani ya kutumia fedha za umma kuwakodisha Wasani lukuki? Watadai ni fedha za chama lkn si kweli.

Ukweli uko wazi maendeleo ni ya watu siyo ya vitu. CCM imechokwa na hata yenyewe imejichokea kwa sasa ni nguvu ya Dola na Tume ya Uchaguzi ndiyo tegemeo lao kuu.
Duniani wapumbavu wapi wengi sana!
Eti anasema wanainchi hawataki maendeleo vitu,huu ni uzwazwa,ni uzandiki.
Kujenga hospitali,miundo mbinu,kuboresha miundo mbinu ya shule,elimu bila malipo kwa wanafunzi,kuboresha usafiri wa makini kwenye maziwa ili kurahisha usafiri pamoja mizigo kwa wananchi,miladi mikubwa ya kimkakati kama bwawa la nyerere lenye kuzalisha megawatt 2100 n.k halafu chizi kama ww linalopoka ovyoovyo tu.
Unahisi haya yote hayana faida kwa jamii?
Ndgu usifuate mkumbo,fikiria kabla ya kunena...Kuna mengi Sana yaliyofanyika ili kumurahisishia mwananchi.
 
Hata Mimi ningekuwa mgombea ubunge wa CCM nisingehangaika na kampeni Kila siku. Ningesubiri tu jemedari JPM akaja jimboni Kwangu tukakiwasha siku hiyo na kufunga hesabu kabisa.

Maana sijaona upinzani uliojipanga kuchukua Madaraka katika Uchaguzi huu.
Hivi kujipanga kuchukua madaraka ni dhana gani hii?
Ukweli siielewi. Je ni kuiba kura, kupindua serikali, au ni kufanyaje? Labda ninyi wenye dhana hii mtueleze. Uchaguzi ni sanduku la kura basi. Kujipanga ni nini hasa?
 
Ni vilio kila mahali
IMG-20201005-WA0079.jpg
 
Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
Magufuli amefanya nini ? na kama hayo usemayo ni kweli angeunda Tume ya uchaguzi yenye makada wa ccm ili kuogopa nini , mbona ameanza kuwapigia magoti wapiga kura ?

Uchunguzi unaonyesha kwamba wajinga wengi wanapenda kujitambulisha kwamba hawana chama , je wewe ni miongoni mwa hawa ?
 
Hapana kaka,mimi naongea Ukweli tu ukipita mtaani ukimuuliza kijana anasema atapigia Magufuli kura

Huyu Baba amewatendea Watanzania mambo mazuri

Mbona unanitukana lkn
Magufuli amefanya nini ? na kama hayo usemayo ni kweli angeunda Tume ya uchaguzi yenye makada wa ccm ili kuogopa nini , mbona ameanza kuwapigia magoti wapiga kura ?

Uchunguzi unaonyesha kwamba wajinga wengi wanapenda kujitambulisha kwamba hawana chama , je wewe ni miongoni mwa hawa ?
 
Kazi yako kubadilisha ID na kutunga uongo kama mgombea wenu anavyotoa uongo mara kwa mara , fanya kazi kijana kazi ya kushinda mitandaoni itakulaza njaa.
 
Sikuhiz kila mmoja anapambana kivyake.
 
Wagombea Ubunge wengi wa CCM wamekwama kufanya kampeni kwa kuzingatia ratiba ya tume huku sababu zifuatazo zikitajwa

1. Kukosekana kwa fedha na chama, wabunge wengi wanakwama baada ya bajeti kubwa kuelekezwa kwa wasanii waandishi, watangazaji, viongozi wa umma wanaoratibu uchaguzi kwenye majimbo.

2. Baadhi ya wagombea wameelekezwa kutotumia gharama nyingi kwa sababu tayari Wana uhakika watapita hata wasipoomba kura, Hawa Ni wale wanaotoka majimbo ya mkoa wa Tabora, Lindi, Ruvuma na Dodoma ambapo wananchi hawana mwamko wakulinda na kusimamia kura

3. Idadi ya wananchi wanaokwenda kwenye kampeni zao Ni ndogo hivyo wakiendelea na kampeni wakati wagombea wa vyama vingine Wana wafuasi mkubwa kunawakatisha tamaa wapenzi wao kuona wameshindwa.

4. Dharau ya wagombea kwa wananchi.
Chandimu kwa kujifariji hamjambo! Mwaka huu mnaenda kupigwa kwenye sanduku la kura haijawahi kutokea! Yaani mtapata aibu ya miongo kumi!
 
Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
Ni asiye na uelewa wa mambo ataamini maneno yako kwamba huna chama.
 
Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
Magufuli mwenyewe hana uhakika wa kushinda anahaha na NEC na kupiga magoti majukwaani.
 
Mimi sina chama ila nikiangalia Ccm inapendwa sana
Ha ha ha.. ww utakuwa hamnazo. Kama ccm inapendwa kwa nn kinara wao anabembeleza hadi kupiga magoti hadharani? Kwa nn anasaidiwa na jk, majaliwa, pinda, nk? Kwa nn wanapanga mikakati ya wizi wa kura?!
 
Back
Top Bottom