Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Yaaa ndivyo ripoti inavyosema sikumzika mpendwa wangu zaidi ya kukabidhiwa kaburi tu! Idadi ya waliozikwa usiku ule juzi ni 11 wengine wapendwa wetu walikufa kwa njaa kiu maana amana hawapewi huduma yeyote madaktari wamejawa hofu hawatoi huduma yeyote ni wamawafungia wanaenda kuokota tu maiti za ndugu zetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini
Sent using Jamii Forums mobile app