DOKEZO Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
je EFFICACY zinafanana ?
 
swala la afya ukilichanganya na umaskini wako basi utaona hivyo ila swala la afya haliitaji kutizama pesa
Mimi ninayekuambia nimewahi kufanya kazi kwenye Hospitali za Private si chini ya 5 kwahyo nina uzoefu kwa ninachokisema
 
usilete ujuaji kwa daktari siku nyingine utamuua ndugu yako , yupo mtu x alienda kituo x hapa dar akakutwa na ugonjwa x wa macho akashauriwa operation tena ilikuwa anafanyiwa bure ila analipia kitanda na huduma ya chakula jumla 100k kwa siku 2 akampigia rafiki yake daktari akampoteza akamwambia akanunue dawa x bila kumuona , asee kaamka siku ya 2 jicho limeanza haribika kajifanya kuvimba akaamka next day jicho limeanza ozaa , kaenda mhimbili wanamwambia ni la kutoa tu , jamaa ss hv ni chongo , TUHESHIMU MADAKTARI , UKIPIMA CHUKUA DAWA HAPO HAPO MAANA KUNA SWALA LA QUANTITY NA DURATION VITAKUZINGUA TU
 
Reactions: apk
Ni mtihani sana hasa vituo vya afya vile vya binafsi huwezi kupima ukaambiwa mzima either usingiziwe malaria, UTI au typhoid , hili ni tatizo sana kucheza na afya za watu
kuna siku umeenda kupima ukiwa mzima ? tusipende tu kulalamika wazee , tamaduni zetu tunapima tukiona hatupo vzr kiafya Je unategemea uambiwe mzm
 
ubishi sio ujanja , ipo siku kitaumana , angekuwa mchina hata dawa ya laki 1 utatoa
 
Siyo ngazi za chini tu mkuu hata huko ngazi ya juu kuna mauza uza ya aina yake ambayo yakiandikwa hapa watu watachukia wataalam wetu
tatizo ni wewe umaskin wako umekuwa ttzo ila naamin mganga wa kienyej utamuamin
 
Uende Masana, Rabininsia, Bochi ukoswe na ugonjwa wataka wao waishi vipi?
 
Nyie ni madaktari njaa

Hamumuangalii mtu kama mgonjwa, mnamuangalia kama mteja na opportunity ya kumpiga kwenye bei kubwa za dawa ambazo hazihusiani na magonjwa yake.

Hata kama kuna option ya dawa ambazo ni nafuu hamuwezi kumtajia hizo dawa kwasababu zina maslahi madogo kwenu.

Mna Roho mbaya sana
 
je mnaisha mazingira free from malaria exposure ? muda mwingine mnakuwa wajuaji wa vitu vya kitoto , watz wengine wanalala bila neti na mazingira ya nje ni rafiki kwa malaria vectorborn , sisi ni wachafu hatujui kusafisha mifereji jiran inayounda maji yaliyotuama , hatujui kusafisha vichaka vya jiran yetu , tunapenda kurundisha uchafu ndan ya mazingira jiran yetu na bado tunashangaa ddx za malaria , uti na typhoid kuwa nyingi ,TUPENDE KUFANYA RESEARCH KABLA YA KUHUKUMU
 
Wakati mwingine dispensary uchwara wakiwa na dawa zinakaribia kuisha muda wake kila mgonjwa ataambiwa anaumwa ugonjwa wa dawa hizo ili dawa ziishe.
 
kwann usijipime na kujitibu ? umeenda kwa daktaru ukampangie matibabu ?
 
Mimi ninayekuambia nimewahi kufanya kazi kwenye Hospitali za Private si chini ya 5 kwahyo nina uzoefu kwa ninachokisema
kwenye afya ukianza fikiria ela , utaona unaonewa , ili kituo kiendelee kuhumia wengine lzm daktari atoe huduma bora ila pia kituo kiingize kipato wahudumu walipwe , sasa ni wajibu wako wewe mgonjwa unataka huduma ya bei nafuu isiyo na waranty ya usalama wako au unataka huduma ghali yenye waranty ya usalama wako
 
Mkuu!
Daktari Bora haangalii Only Efficacy ya Dawa..
Lazma uchague dawa Yenye low side effects plus Cost Effecveness..
Unless utakuwa mfanyabiashara tu..
Lazma ujue unatibu kina nani na wana Uwezo kiasi gani kabla ya kuchagua dawa ya kuwapa
unaangalia cost au afya bora ? na hii ndo asili ya mtu mweusi hataki kusimama na kitu kimoja , wenzetu ukiwahudumia hadi raha , twende zahanati za gov km hatujiamini kipesa
 
dawa nafuu nyingi zina side effects nyingi na slow sana kuleta mabadiliko , kwann msigoogle kwann bei zinatofautiana
 
MKuu naomba niseme wazi kuwa watu kama nyinyi huwa mnanipa hasira sana na ndio mnaipaka Matope Taaluma ya Afya na Udaktari..

Niseme wazi tu Udaktari ni kazi ya Wito isiyo Na faida ni Bora muondoke mkatafute kazi zenye Faida na mtupishe...

Ikiwa kuna Dawa mbadala yenye Uwezo sawa na mgonjwa ana uwezo wa kupata Dawa yenye pesa kidogo kwanini usianze na dawa yenye pesa kidogo??

Mlipokuwa mnafundishwa Kuhusu Cost effectvness mlikuwa wapi? Vyuoni..

Kuwa daktari au kuwa kwenye sector ya afya Haikufanyi wewe kuwa Mungu wa kuamua maisha ya watu..
Ila kunakupa nafasi ya kutatua matatizo ya watu kwa kadri uwezavyo na sio kuyongeza
 
Wee unafikiri zinajiendeshaje wasipofanya hivyo..
Tena unaandikiwa na sindano 5 na kila sindano ni 5000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…