DOKEZO Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

DOKEZO Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
unaangalia cost au afya bora ? na hii ndo asili ya mtu mweusi hataki kusimama na kitu kimoja , wenzetu ukiwahudumia hadi raha , twende zahanati za gov km hatujiamini kipesa
Mkuu Huu Ni.mwaka wangu wa 26 nikiwa nafanya kazi idara ya Afya kutoka Daktari wa kawaida mpaka sasa Ni Specialist..

Ninamiliki kituo cha afya Pia..
Najua kila kitu ila Nimezuia kufanya polypharmacy na hata kuandika dawa yenye Bei kubwa na wakati dawa za bei ndogo zipo..
Ukishindwa kuwa Cost effectivesness hiyo inadhihisha Jinsi gani Ulivyo unethical na pia hata Mtu lazma uwe unproffesional kufanya hicho kitu..

Unazungumzia kuhusu Wazungu wa wapi?
Nimefanya kazi kwenye Hospitali za Nje nyingi sana na hakuna huo upuuzi unaoutetea Tena wao wako Very strict kwenye Bei za Dawa na hazitofautiani
 
Our 3rd born ni daktari.
Kuna mahali alienda kufanyiwa usaili, usaili wenyewe aliambiwa akae chumba cha daktari afanye consultation. Basi bwana, mwenye zahanati naye ni daktari mzee, akawa anakagua prescriptions na vipimo dogo anavyoandika.

Mzee akaanza kumsema vibaya, sasa kwa style hii tutapata pesa kweli? Ikabidi nesi mmoja akamsanue dogo kimya kimya, mzee haridhiki na unachofanya huku. Wakija watu andika vipimo vingi/vya pesa nyingi na dawa unamtwanga dawa nyingi au za bei mbaya.

Ndipo pale una UTI ya kawaida unagongwa pawasef kwa siku 5🤣

Bongo nyoso!!!!!
Duhhhhhh.... Hatarizzzzz
 
unasubir mpk watangaze ITV ndo ujue ipo ? mtu mweusi mvivu kufanya utafit , China mpk leo bado wanapambana na Malaria ww ni nan uiondoe kwa 99%
Wewe ngedere tuanzie hapo kwenye familia yako, mara ya mwisho kukutwa na malaria ni lini?
 
kwann usijipime na kujitibu ? umeenda kwa daktaru ukampangie matibabu ?
Daktari sio Mungu Mtu wala sio kwamba hakosei..
Tena Kizazi cha Sasa hivi cha madaktari cha shule za kata hiki..

Wana very Poor Pt Managements..
Unakuta Mtu kuanzia Dx anafanya Misdiagnosis kibao na wrong dx nyingi..

Wrong au Investigation Chaka.. Hata dawa ni Fikra zake tu ,offbook yaani Tafarani..

Wengi wanaishia Kwenye Magonjwa ambayo huwa nayaita mwisho wa kufikiri kama PID,UTI,URTI..
Magonjwa ya watambuzi wasiofikiri na kufanya uchunguzi wa kina..

Nimewahi kufanya Supervision Hospitali kadhaa za mikoa Ni shida kwakweli na ni AIBU mambo mengine hata kuyasema mbele za layman
 
Ujumbe huu ufike Serikalini hasa kwa Wizara ya Afya, sasa hivi baadhi ya vituo vya maabara vinafanya kitu kimoja, ukienda kupima hata kama huna Typhod majibu yao ni una-typhod, unajikuta unatumia dawa huponi.

Ukienda kupima tena bado majibu ni unatyphod, sasa hii ni hatari sana, watu wanakunywa dawa za typhod kumbe hawana changamoto hiyo.

Mimi ilinikuta mpaka nikaenda Mount Meru kupima ndio wakanambia sina typhode nina ‘uric acid’ nyingi sana kwenye mwili.

Nilipofuatilia kwa ndugu na watu wangu wa karibu nimegundua kuwa changamoto za aina hiyo zipo nyingi, zahanati zinafanya vipimo kama biashara ili wahusika waweze kuuza dawa, tena wagonjwa wengi wanauziwa anti biotic ili mradi tu biashara ifanyike, Serikali iangalie hicho kinachoendelea.
Haya mambo ni ya kitaalamu..Unatakiwa uanze kwa Daktari, yeye ndo akuandikie ukape hiki na hiki na hiki. Sasa wewe unanyanyuka kwenda moja kwa moja Maabara halafu unafika unawaambia nipime taifodi, nipime malaria. Jilaumu mwenyewe kwanza kabla ya kurudha tuhuma kwa watu.
 
Haya mambo ni ya kitaalamu..Unatakiwa uanze kwa Daktari, yeye ndo akuandikie ukape hiki na hiki na hiki. Sasa wewe unanyanyuka kwenda moja kwa moja Maabara halafu unafika unawaambia nipime taifodi, nipime malaria. Jilaumu mwenyewe kwanza kabla ya kurudha tuhuma kwa watu.
Usinikumbushe kaka!
😀😀
Miaka kadhaa nyuma alikuja Jamaa fulani sjui alikuwa Ni mwalimu wa sayansi shuleni kwake?

Kafika Namuuliza ili anielezee anachoumwa analeta ujuaji mwingi mara ooh nachoumwa nakujua..

We niandikie nikapime Mkojo, Choo,Malaria na Typhod nikajaribu kumuelewesha aniambie shida yake kakazia..
Sasa kipindi hicho nilikuwa kijana wa makamo yeye alikuwa kidogo umri umesonga ikabidi nimkubalie..

Sasa majibu yanakuja Kila kitu hana..
Akaniuliza "Sasa Doctor tunafanyaje.."
Nikamwambia "Kwakweli Sjui labda uniambie nini niandike tena.."
Akaniambia "sasa nitakuwa naumwa nini"
Nikamwambia kwakwli Mimi Sifahamu unachoumwa labda nikuulize wewe?
Yule mzee akaniangalia akaniambia Dr samahani sana..
Nikamwambie enhee sasa kwakuwa umelijua kosa lako.nieleze unasumbuliwa na nini..😀😀
 
kuna kitu hamjaelezana vzr , hv unajuwa dalili moja inaeza beba magonjwa hata 5 je daktari atajuaje kama ni ugonjwa x km atafanya kipimo cha damu tu ? muda mwingine umaskini wetu ndo unatufanya tulalamike ila ni vzr kuchek through out mf huyo anasema aliambiwa ana MARALIA inaeza kuwa kwel alikuwa na MARALIA na URIC ACID NYINGI pind anapima lkn alipopewa dawa MARALIA ikapona ila ishu ya URIC ACID haikupona sabab haikugundulika sabab alifanya kipimo kimoja tu , TUSIPENDE KULALAMIKA SANA , MUDA MWINGINE TUJIFUNZE KUTUMIA AKILI ZETU , UKITUMIA DAWA BILA KUWA NA SHIDA HUSIKA BAS KUNA SIDE EFFECTS UTAZIPATA TU
Wrong quote bro. Mbona mimi sijazungumzia malaria wala uric acid?
 
kuna siku umeenda kupima ukiwa mzima ? tusipende tu kulalamika wazee , tamaduni zetu tunapima tukiona hatupo vzr kiafya Je unategemea uambiwe mzm
Ndio kuna dispensary ukienda huko si UTI au mkojo mchafu
 
kuna siku umeenda kupima ukiwa mzima ? tusipende tu kulalamika wazee , tamaduni zetu tunapima tukiona hatupo vzr kiafya Je unategemea uambiwe mzm
Unacoment kinegative sana mkuu, nakupongeza kama wewe huwa unafuata utaratibu kuhudumia wagonjwa na hubambikii ili wanunue ni jambo jema ,

Sasa na wewe usione hilo tatizo la wahudumu kufanya hayo halipo jaribu kwenda vituo viwili au tatu vidogo(dispensary) binafsi uone ni kweli au watu wanasingizia
 
Usinikumbushe kaka!
😀😀
Miaka kadhaa nyuma alikuja Jamaa fulani sjui alikuwa Ni mwalimu wa sayansi shuleni kwake?

Kafika Namuuliza ili anielezee anachoumwa analeta ujuaji mwingi mara ooh nachoumwa nakujua..

We niandikie nikapime Mkojo, Choo,Malaria na Typhod nikajaribu kumuelewesha aniambie shida yake kakazia..
Sasa kipindi hicho nilikuwa kijana wa makamo yeye alikuwa kidogo umri umesonga ikabidi nimkubalie..

Sasa majibu yanakuja Kila kitu hana..
Akaniuliza "Sasa Doctor tunafanyaje.."
Nikamwambia "Kwakweli Sjui labda uniambie nini niandike tena.."
Akaniambia "sasa nitakuwa naumwa nini"
Nikamwambia kwakwli Mimi Sifahamu unachoumwa labda nikuulize wewe?
Yule mzee akaniangalia akaniambia Dr samahani sana..
Nikamwambie enhee sasa kwakuwa umelijua kosa lako.nieleze unasumbuliwa na nini..😀😀
Mimi kitu ambacho sina taaluma nacho mfano afya huwa sina pingamizi , namsikiliza mtoa huduma otherwise labda anioneshe. Signs ambazo si sahihi . Ujuaji sehemu ambayo hujui kitu unaweza Kutana na mtu anakisirani 🤣 upewe dawa hazieleweki
 
Ujumbe huu ufike Serikalini hasa kwa Wizara ya Afya, sasa hivi baadhi ya vituo vya maabara vinafanya kitu kimoja, ukienda kupima hata kama huna Typhod majibu yao ni una-typhod, unajikuta unatumia dawa huponi.

Ukienda kupima tena bado majibu ni unatyphod, sasa hii ni hatari sana, watu wanakunywa dawa za typhod kumbe hawana changamoto hiyo.

Mimi ilinikuta mpaka nikaenda Mount Meru kupima ndio wakanambia sina typhode nina ‘uric acid’ nyingi sana kwenye mwili.

Nilipofuatilia kwa ndugu na watu wangu wa karibu nimegundua kuwa changamoto za aina hiyo zipo nyingi, zahanati zinafanya vipimo kama biashara ili wahusika waweze kuuza dawa, tena wagonjwa wengi wanauziwa anti biotic ili mradi tu biashara ifanyike, Serikali iangalie hicho kinachoendelea.
Typhoid na UTI ni magonjwa ambayo most of health laboratory attendant wanayakuza sana kuonesha ukubwa wa tatizo wakati ukweli ni kwamba wanakuwa wameelekeza nguvu kwenye uuzaji wa dawa
 
Haya mambo ya Kila nikienda hospital Nina U.T.I ndo yalifanyaga nisiende kwenye "hospital za mama" mpaka pale watakapobadilika....
 
💯 True huu Ni ukweli Mchungu
Shida kubwa kwenye kipimo kilichozoeleka cha urine dipstick ni mpimaji mwenyewe huenda ni colour blind hivyo anashindwa ku compare colours anaishia kusema mtu ana UTI.

Shida ya pili huenda mgonjwa kipindi analeta sample alikuwa hajala muda mrefu hivyo ukipima unakuta ketones zimepanda japo leucocyte zipo normal anaandikiwa madawa.


Kingine sample imekaa muda mrefu kwa hiyo rangi kwenye zile strips zinachange mwisho wa siku anaambiwa ana UTI.

Kwa hiyo hapa shida sio kwa daktari shida ipo kwa lab technician kutokuwa competent anapelekea daktari kupata wrong ddx.
 
Shida kubwa kwenye kipimo kilichozoeleka cha urine dipstick ni mpimaji mwenyewe huenda ni colour blind hivyo anashindwa ku compare colours anaishia kusema mtu ana UTI.

Shida ya pili huenda mgonjwa kipindi analeta sample alikuwa hajala muda mrefu hivyo ukipima unakuta ketones zimepanda japo leucocyte zipo normal anaandikiwa madawa.


Kingine sample imekaa muda mrefu kwa hiyo rangi kwenye zile strips zinachange mwisho wa siku anaambiwa ana UTI.

Kwa hiyo hapa shida sio kwa daktari shida ipo kwa lab technician kutokuwa competent anapelekea daktari kupata wrong ddx.
Safi Sana mkuu kusema ukweli, ambao wengi tunauficha!

Kuongezea hata wanaotumia machine za urine analyser machine hazioshwi kwa kila sample na mda mwingi inapelekea majibu kufanana..
Na hata kwa microspy Vile vile kwa wanaopima sediments....

Japo ukiniuliza Mimi kati ya kipimo cha mkojo nachokubali Accuracy kati ya dipstics na Urine sediments nitakujibu Bora sediments..

Handling ya Dipsticks Iko poor Hata upimaji wake poor wengi wanaopima Ni Untrained Personell..

Utunzaji wa Dipsticks hata sample zinavyokuwa collected mpaka Kupimwa Obvious lazma ukute Leococytes na makorokoro mengine..

Kimbembe kipo kwenye utambuzi wa Majibu (Interpretation) hapa ndo unaweza kucheka..
Madaktari wa sasa sijui wanasoma wapi au wanajifunza wapi?

Unakuwa Urobirinojen zimesoma nyingi ila vipimo vingine viko normal Mtu anaambiwa ana UTI anaandikiwa Dawa..
Ketones Ziko nyingi anapigwa antibiotics..

Yaani sijui kama walisoma hata Micro na clinical Lab.. Ni tabu kwaweli ni Aibu ukienda kukagua na kufanya Supervision unaweza ukatamani kumtandika vibao Mtoto wa Mtu lakini ukaona bora umuache tu..

Kamuandikia Mgonjwa Dawa za kutosha Cefotaxine 1g BD kwa siku 7 kisa ketones kupitia Faili la mgonjwa ni DM cases unasema sasa huyu Alipita Hata Internship kweli?

NA alipataje kuwa daktari..

Asiyejua hata Alitakiwa afanye nini baada ya kuona Ketone kwa mtu aliye na DM na akamuacha anaenda nyumbani huu si uuaji kabisa?

VItu vingine kwa Layman huwa ni normal ila kwa mtu unayejua huea vinatia hasira sana kuvitazama
 
Sidhani hii kitu kama Inahusu Hospitali.

Nadhani unazungumzia Maabara Binafsi.

Ambazo hata ukienda na homa ukalengesha Dalili za malaria lazma utaambiwa una wadudu Wa malaria 5..

Tujaribu kuweka Utaratibu wa kwenda kwenye Vituo vya afyaa na Hospitali na sio Kwenda kujipima bila kupewa rufaa kutoka vituo vya afya.

Kumbuka wao wanafanya biashara
Vituo vya afya ubabaishaji mwingi,tumeshuhudia wengi wakipoteza maisha kwa kukosa huduma muda muafaka,madaktari wako bize na miradi yao ya afya,pia unaandikiwa dawa za kwenda kununua duka la dawa tena kwa kulengeshewa duka fulani.
Vituo vya afya unaishia kupewa dawa ambazo ni common ambazo hata majumbani mwetu akiba tunazo. Unamshawishije mgonjwa aende vituo vya matibabu vya serikali hapo?
 
Vituo vya afya ubabaishaji mwingi,tumeshuhudia wengi wakipoteza maisha kwa kukosa huduma muda muafaka,madaktari wako bize na miradi yao ya afya,pia unaandikiwa dawa za kwenda kununua duka la dawa tena kwa kulengeshewa duka fulani.
Vituo vya afya unaishia kupewa dawa ambazo ni common ambazo hata majumbani mwetu akiba tunazo. Unamshawishije mgonjwa aende vituo vya matibabu vya serikali hapo?
Kuhusu Dawa na Level za Dawa nimeshaandika Ufafanuzi soma Comment #18
 
Safi Sana mkuu kusema ukweli, ambao wengi tunauficha!

Kuongezea hata wanaotumia machine za urine analyser machine hazioshwi kwa kila sample na mda mwingi inapelekea majibu kufanana..
Na hata kwa microspy Vile vile kwa wanaopima sediments....

Japo ukiniuliza Mimi kati ya kipimo cha mkojo nachokubali Accuracy kati ya dipstics na Urine sediments nitakujibu Bora sediments..

Handling ya Dipsticks Iko poor Hata upimaji wake poor wengi wanaopima Ni Untrained Personell..

Utunzaji wa Dipsticks hata sample zinavyokuwa collected mpaka Kupimwa Obvious lazma ukute Leococytes na makorokoro mengine..

Kimbembe kipo kwenye utambuzi wa Majibu (Interpretation) hapa ndo unaweza kucheka..
Madaktari wa sasa sijui wanasoma wapi au wanajifunza wapi?

Unakuwa Urobirinojen zimesoma nyingi ila vipimo vingine viko normal Mtu anaambiwa ana UTI anaandikiwa Dawa..
Ketones Ziko nyingi anapigwa antibiotics..

Yaani sijui kama walisoma hata Micro na clinical Lab.. Ni tabu kwaweli ni Aibu ukienda kukagua na kufanya Supervision unaweza ukatamani kumtandika vibao Mtoto wa Mtu lakini ukaona bora umuache tu..

Kamuandikia Mgonjwa Dawa za kutosha Cefotaxine 1g BD kwa siku 7 kisa ketones kupitia Faili la mgonjwa ni DM cases unasema sasa huyu Alipita Hata Internship kweli?

NA alipataje kuwa daktari..

Asiyejua hata Alitakiwa afanye nini baada ya kuona Ketone kwa mtu aliye na DM na akamuacha anaenda nyumbani huu si uuaji kabisa?

VItu vingine kwa Layman huwa ni normal ila kwa mtu unayejua huea vinatia hasira sana kuvitazama
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom