DOKEZO Wagonjwa wanapewa magonjwa ambayo hawana ili Zahanati ziuze dawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hili jambo lipo kweli Watz sijui kwanini hawapo HONEST

Ukitaka kupima hospital binafsi unabidi kutafuta kituo ambacho kina ufanisi Sana .
 
Siku nilipoacha kupima Typhoid ndipo nilipopona na sijaumwa tena mpaka leo, hawa jamaa wakitaka tukosane basi waniletee habari za kupima Typhoid!
 
Kwa nchi yetu ilivyo Hilo mbona swala la kawaida sana.

Yaani hii nchi kila sekta Kuna uhuni na upigaji sana
 
Hosptal ni moja tu muhimbili mloganzila.wanapima vizuri wale.hupewi dawa ovyo.na vipimo vyao viko vizuri.
 
Ukitaka uhakika wa vipimo nenda hospitali za mashirika ama serikali,hivi vya watu binafs utatoka na magonjwa kibao na rundo la madawa,kwa mtindo huu AMR ni tishio.
 
Hela walikuàndikia ndefu mno,us
 
Kwahiyo ndio aandike kila mtu ana malaria 1 au 2 ah 3? ,mimi ni lab scientist huwezi kunipanga kizembe hivyo,huo ni unaa na ujuha wa kipuuzi
 
Wee unafikiri zinajiendeshaje wasipofanya hivyo..
Tena unaandikiwa na sindano 5 na kila sindano ni 5000
Mkuu tafuta hela buku 25 sio pesa yakulia ni kubwa, hiyo sindano unachoma buku 5 mnazi mmoja ni 10k,tafuta hela uepukane na fedhea za bei chee
 
T
Tafuta hela hutakuwa na muda wakuhoji gharama za vitu, hakuna kitu aghari duniani, tafuta pesa uzimiliki utanielewa
 


Wala wizara haitakusaidia, hii. Nchi pambana mwenyewe, tafuta pesa sana, kuwa makini, usimwamini hata mtume na nabii wala mkeo/mumeo, fanya sala kwa bidii, tafuta tumaini kwa kuweka tegemeo lao kwa Mungu peke yake.
 
Unafikiri serikali na wizara ya afya hawajui, na kwamba unaleta taarifa mpya?
 
Mkuu!
Daktari Bora haangalii Only Efficacy ya Dawa..
Lazma uchague dawa Yenye low side effects plus Cost Effecveness..
Unless utakuwa mfanyabiashara tu..
Lazma ujue unatibu kina nani na wana Uwezo kiasi gani kabla ya kuchagua dawa ya kuwapa
Kama hawana hela wabaki Home, au waende wanakodhani wanafanya charity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…