Wahadhiri kuomba kuongezewa muda wa kustaafu kutoka miaka 60 hadi 70

Wahadhiri kuomba kuongezewa muda wa kustaafu kutoka miaka 60 hadi 70

Kama wanaotoa elimu wanaogopa kujiajiri, wale wanaotamba kuwa elimu ni kitu cha maana ni kina nani? Huwa naogopa hata kusema nilifika chuo kikuu nikiona waalimu wangu wanaonyesha huu udhaifu.
 
Kama wanaotoa elimu wanaogopa kujiajiri, wale wanaotamba kuwa elimu ni kitu cha maana ni kina nani? Huwa naogopa hata kusema nilifika chuo kikuu nikiona waalimu wangu wanaonyesha huu udhaifu.
Haàaaah
 
Kama wanaotoa elimu wanaogopa kujiajiri, wale wanaotamba kuwa elimu ni kitu cha maana ni kina nani? Huwa naogopa hata kusema nilifika chuo kikuu nikiona waalimu wangu wanaonyesha huu udhaifu.
Wanasema kwenye Miti hakuna wajenzi. Labda wanaogopa wakijiajiri hadhi yao itashuka
 
Huku wengine wanataka waingie,wengine wanatafuta njia ili wabaki ili wengine wasiingie...
 
Nimemsoma mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania, OUT akimuomba makamu wa Rais, Mh Mpango awaongezee wahadhiri wa vyuo vikuu muda wa kustaafu Kutoka miaka 60 ya sasa hadi miaka 70.

Kwa kuwa umri wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 65, kuna faida yoyote kuwaongezea umri wa kustaafu wahadhiri hao?

Ni yapi madhara ya kuwaongezea umri wa kustaafu na upatikanaji wa ajira za kada hiyo katika vyuo vya Serikali?

Je, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?

Kuna madhara gani ya kuwaongezea muda wa kustaafu na kuwaacha kada nyingine wakistaafu at 60?
Waongezewe angalau wafike miaka 65, miaka 60 ni chini sana kwa Tanzania ya sasa. Nasikia majaji ni miaka 65 kwanini isiwe kwa waalimu wa vyuo vikuu na.....
 
Mtaani kugumu wanaogopa kuja kunywa sungura?
hahaha kuna mmoja alistaafu pale UDOM hata nyumba hana akaishia kukaa hotelini huku anajenga mpunga ukakata akahamia guest za 50, 30, 20, 10,,,, mpaka akashindwa kulipa akapewa kauchochoro alale hapo
ALIJIFIA NI KINGEREZA CHAKE
Ni wale pesa walitumia kweny starehe na uzinifu.
 
Miaka yao ya kustaafu ni 65.

wapumzike wahadhiri vijana washike hizo nafasi zenye posho na marupurupu.
 
Nimemsoma mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania, OUT akimuomba makamu wa Rais, Mh Mpango awaongezee wahadhiri wa vyuo vikuu muda wa kustaafu Kutoka miaka 60 ya sasa hadi miaka 70.

Kwa kuwa umri wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 65, kuna faida yoyote kuwaongezea umri wa kustaafu wahadhiri hao?

Ni yapi madhara ya kuwaongezea umri wa kustaafu na upatikanaji wa ajira za kada hiyo katika vyuo vya Serikali?

Je, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?

Kuna madhara gani ya kuwaongezea muda wa kustaafu na kuwaacha kada nyingine wakistaafu at 60?
Hawa watu wajinga ambao hawawezi kujishughulisha wanataka wafie kwenye system, wasomi wamejaa huku kitaa anataka aongewe badala ya kupunga 55
 
Nimemsoma mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania, OUT akimuomba makamu wa Rais, Mh Mpango awaongezee wahadhiri wa vyuo vikuu muda wa kustaafu Kutoka miaka 60 ya sasa hadi miaka 70.

Kwa kuwa umri wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 65, kuna faida yoyote kuwaongezea umri wa kustaafu wahadhiri hao?

Ni yapi madhara ya kuwaongezea umri wa kustaafu na upatikanaji wa ajira za kada hiyo katika vyuo vya Serikali?

Je, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?

Kuna madhara gani ya kuwaongezea muda wa kustaafu na kuwaacha kada nyingine wakistaafu at 60?
Life expectancy ya mtanzania ni 60 kwann kustaafu iwe 70,🤣🤣🤣
Madhara makubwa ni wanakua wamechoka sana
 
Nimemsoma mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania, OUT akimuomba makamu wa Rais, Mh Mpango awaongezee wahadhiri wa vyuo vikuu muda wa kustaafu Kutoka miaka 60 ya sasa hadi miaka 70.

Kwa kuwa umri wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 65, kuna faida yoyote kuwaongezea umri wa kustaafu wahadhiri hao?

Ni yapi madhara ya kuwaongezea umri wa kustaafu na upatikanaji wa ajira za kada hiyo katika vyuo vya Serikali?

Je, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?

Kuna madhara gani ya kuwaongezea muda wa kustaafu na kuwaacha kada nyingine wakistaafu at 60?
Wawapishe na WENGINE wakipewa 70 Bado Wataomba Wapewe 100
 
Watakuja wengi kujitetea maana akili za utu zinawajia wakiwa 60 yrs wakianza kutepeta, wenye elimu wamejaa sana, ni upuuzi tu kuwafanya viwete wasioweza kazi zingine, watoke wakaishi taaluma zao kwa vitendo huko nje.

Watu muhimu ni hao medical doctors hao wengine wakafanye kazi zingine.
 
Kikawaida ujuzi huwa hauzeeki ila kinacho pungua ni efficiency, hivyo kama ulikuwa unatumie Dakika 50 kusahihisha mitihani ya wanafunzi 50 kuba wakati utafika utayumia Dakika 100 na zaidi kusahihisha hio mitihani.

Ujue Unapo ajiliwa huwa Mwajili ana nunua muda wako, na si vinginevyo, wala sio ujuzi wako hapana bali ni muda, Sasa kuna wakati unafika Muda wako unakiwa ni hasara kwa mwajili wako, ila still bado una ujuzi make ujuzi hauzeeki. Kinacho zeeka ni muda.

Nikangalia experience ya walimu Wazee waliokuwa FoE, hakuna haja ya kuwapa muda, wengi wao wanakuwa hawafundishi vitu vipya, wanafudisha vitu vya 70's. Hata hawahudhurii classes, hata kusahihisha mitihani ni shida.
Reference ni Walimu wazee wa FoE up to year 2000 (Nisingependa kuwataja)
 
Nimemsoma mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania, OUT akimuomba makamu wa Rais, Mh Mpango awaongezee wahadhiri wa vyuo vikuu muda wa kustaafu Kutoka miaka 60 ya sasa hadi miaka 70.

Kwa kuwa umri wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 65, kuna faida yoyote kuwaongezea umri wa kustaafu wahadhiri hao?

Ni yapi madhara ya kuwaongezea umri wa kustaafu na upatikanaji wa ajira za kada hiyo katika vyuo vya Serikali?

Je, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?

Kuna madhara gani ya kuwaongezea muda wa kustaafu na kuwaacha kada nyingine wakistaafu at 60?
ni uoga wa maisha tu. mtu ameishi kwa kutegemea mshahara hata asipotimiza wajibu wake, akiwaza kuingia mtaani kuanza maisha mapya anachanganyikiwa
 
Kwanza hii idea ni nzuri Kwa serikali maana wengi wanakufa kabla ya huo muda, ni ujinga kukubali wazo hilo, hawa watu wanatakiwa wakajenge bond na wajukuu na watoto zao, as most of them wanashinda ofisini na safarini.
 
Back
Top Bottom