Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,058
- 1,609
Hapana wanastaafu kwa hiari wakiwa na miaka 65, lakini kwa lazima miaka 70Prof wanastaafu nadhani 75
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana wanastaafu kwa hiari wakiwa na miaka 65, lakini kwa lazima miaka 70Prof wanastaafu nadhani 75
Magu aliwaongezea hadi 65, lakini bado wanaona hiyo haitoshi.
Kuongezewa muda hadi 70 wengi watakufa kabla ya kufikia umri huo. Na hii itakuwa na madhara kwa familia zao, na hasa kuhusu mafao yao
Acha masikhara kwenye Mambo seriousMtaani kugumu wanaogopa kuja kunywa sungura?
hahaha kuna mmoja alistaafu pale UDOM hata nyumba hana akaishia kukaa hotelini huku anajenga mpunga ukakata akahamia guest za 50, 30, 20, 10,,,, mpaka akashindwa kulipa akapewa kauchochoro alale hapo
ALIJIFIA NI KINGEREZA CHAKE
Ni washenzi sn😂😂😂😂Hao wazee wakipata zile trips za kwenda nje wanajisahau sana katika umri wa ujana ,wanajiona pesa ipo mda wowote inasoma kweny account hamna noma ila mwisho wa siku ni balaa.
Hata wahadhiri Kuanzia ngazi ya waandamizi(Senior Lecturer) wao ku-retire ni 65yearsWaongezewe angalau wafike miaka 65, miaka 60 ni chini sana kwa Tanzania ya sasa. Nasikia majaji ni miaka 65 kwanini isiwe kwa waalimu wa vyuo vikuu na.....
Hata medical doctors nao wapishe nafasi,wakapambanie maujuzi yao nje ya mfumo wa ajira.Kuna vijana wengi wamemaliza vyuo hawana ajira,watumikie taaluma zao wapate uzoefu.Watakuja wengi kujitetea maana akili za utu zinawajia wakiwa 60 yrs wakianza kutepeta, wenye elimu wamejaa sana, ni upuuzi tu kuwafanya viwete wasioweza kazi zingine, watoke wakaishi taaluma zao kwa vitendo huko nje.
Watu muhimu ni hao medical doctors hao wengine wakafanye kazi zingine.
Tofauti iliyopo kati ya ELIMU na vitu vingine vyote hapa duniani ni kwamba kadri unavyozidi kuitumia elimu, ndiyo kadri inavyozidi kuongezeka. Tofauti na elimu, kadri unavyozidi kuvitumia vitu vingine vyote, ndiyo kadri vinavyozidi kupungua, au kupunguza thamani, assuming siyo perishablesJe, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?
Dhana yangu ni panapo uhitaji tuweke priority halisia, doctors na watalamu wa molecular science, na sisi wachumi na watu wa masoko taifa bado changa tupewe umuhimu.Hata medical doctors nao wapishe nafasi,wakapambanie maujuzi yao nje ya mfumo wa ajira.Kuna vijana wengi wamemaliza vyuo hawana ajira,watumikie taaluma zao wapate uzoefu.
Miaka 60 iwe ukomo wa ajira zote serikalini.
Nakubaliana na wewe,ila kwa umuhimu wao/wenu baada ya miaka 60, wangekuwa kama consultant ingesaidia zaidi vijana kukuza uzoefu wao,kuliko wazee kubakia kwenye ajira.Dhana yangu ni panapo uhitaji tuweke priority halisia, doctors na watalamu wa molecular science, na sisi wachumi na watu wa masoko taifa bado changa tupewe umuhimu.
Mimi ni mjasiliamali tu nimewasemea walimu wangu wa uchumi na masoko ni muhimu sana maana nafanya nao kazi hawa watu, I have had cases where a I normally bring in cases of merging or bridging the public band private sector initiative with the aim of simultaneous growth and development in all dimensions.Nakubaliana na wewe,ila kwa umihimu wao/wenu baada ya miaka 60,wangukuwa kama consultant ingesaidia zaidi vijana kukuza uzoefu wao,kuliko wazee kubakia kwenye ajira.
Ni mtazamo wangu
Acha kuwa unaongea mambo kama hujaenda shule. Kilichokufanya wewe ukaenda shule ni nini? Kuna mtu ambaye huwa yupo halafu hana muda? Wangapi wapo wanao muda na wanautumia kutembea mtaani hawana kazi, wakati wangependa kuwa mahali fulani wanafanya kazi? Msiwe mnavamina hoja ambazo haujui utachangia nini!Ujue Unapo ajiliwa huwa Mwajili ana nunua muda wako, na si vinginevyo, wala sio ujuzi wako hapana bali ni muda,
Huo uchumi wenu wa kutoza tozo juu ya tozo umuhimu wake ni upi? Nyie ndiyo mnatakiwa mstaafu na miaka 50 mkaanzishe biashara na nyie mjue madhara ya tozo na kodi holelaDhana yangu ni panapo uhitaji tuweke priority halisia, doctors na watalamu wa molecular science, na sisi wachumi na watu wa masoko taifa bado changa tupewe umuhimu.
Hawa wapumbavu kila siku wanasema vijana wajiajiri lakini wao hawataki kustaafu na mitaji wanayo, kwanini asiombe umri wa kustaafu upungue mpk miaka 50?Nimemsoma mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania, OUT akimuomba makamu wa Rais, Mh Mpango awaongezee wahadhiri wa vyuo vikuu muda wa kustaafu Kutoka miaka 60 ya sasa hadi miaka 70.
Kwa kuwa umri wa kuishi kwa mtanzania ni miaka 65, kuna faida yoyote kuwaongezea umri wa kustaafu wahadhiri hao?
Ni yapi madhara ya kuwaongezea umri wa kustaafu na upatikanaji wa ajira za kada hiyo katika vyuo vya Serikali?
Je, mhadhiri wa chuo ufanisi wake kikazi hauna kikomo?
Kuna madhara gani ya kuwaongezea muda wa kustaafu na kuwaacha kada nyingine wakistaafu at 60?
Very goodMimi nashauri umri ushushwe mpaka 50 kama hawawezi kukuza vijana wengi wa kushika nafasi zao basi hawatufai ni bora kabisa kama wasingeajiriwa
Ni wajinga sn hawa maprofessor uchwaraNjaa tu, wahadhiri wachache wanashindwa kujipanga kimaisha hivyo wanaishia kufukuzia part time baada ya kustaaf.