Wahariri wa magazeti wapigwa na kitu kizito vichwani kuhusu DP World

Wahariri wa magazeti wapigwa na kitu kizito vichwani kuhusu DP World

Wewe uliyeandika hii habari una shida, labda nikuulize, kwani wamekuwa wanaandika nini? Na nani anasoma hayo makaratasi ambayo thaman yake kwa sasa ni vifungashio vya vitumbua?
 
Mkuu chuma cha mjerumani,Magazeti hayaja pitwa na wakati sema "citizen journalism";imekuwa changamoto kwenye tasnia ya habari for both Electronic media na print media.

Vyombo vyote vya habari vinahofia kuandika Hard news hivyo kupenda soft news (yellow stories) ambazo ni normal ndio maana watu wengi wamepotesa interest kufuatilia habari.

Siku hizi kupata investigative stories imekuwa ngumu sana Tanzania pia sheria zetu za vyombo vya habari sio rafiki kabisa.
 
La Badari limeisha ndugu zangu.

Rais alijipa muda wa kutosha kupokea maoni na kayapokea kweli kweli maoni yetu kwa hisia na style tofauti

sasa hivi tumpe muda wa kuyachakata na hatimae kufanya maamuzi kwa maslahi ya Nchi yetu
Mtu anayekusudia mazuri hawezi kusema nimeamua kukaa kimya, na Mswada vp?
 
Huyo mtu mfupi petroli magoloti nilisoma nae chuo. Toka siku mingi tulishamhisi ni kipenyo huyo.
Huyu namfananisha na mhusika mmoja kwenye vitabu vya Jamaes Hadley Chase akiitwa Vitto Ferrari. Alikuwa mfupi sana na kazi yake ilikuwa ni kuua tu ukimpa kazi ya kuua mtu anakuuliza jee unataka ionekane ni murder,suicide au accident hajawahi kukosea.
 
Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Watazima mitandao tena ili tusione

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Na humu jf watu wamebaki kukashifiana tu na kuleta mambo ya udini udini !!
Vita vya panzi furaha ya Kunguru !!
Bongo kweli ni Bongo lala !!
 
Hivi mnahabari Kuna vijiji Bado wanajua Nyerere ni raisi?Nimefanya uchunguzi na ni rasmi ccm kutoka madarakani mtasubiri mno,Redio ya Taifa ndio inayoskizwa mno bush,hizi redio nyingine ni zenu mjini.Watu kama hawa utawashawishi Kwa njia gani kuwa mwarabu hatakiwi apewe bandari?
 
Hivi mnahabari Kuna vijiji Bado wanajua Nyerere ni raisi?Nimefanya uchunguzi na ni rasmi ccm kutoka madarakani mtasubiri mno,Redio ya Taifa ndio inayoskizwa mno bush,hizi redio nyingine ni zenu mjini.Watu kama hawa utawashawishi Kwa njia gani kuwa mwarabu hatakiwi apewe bandari?
Hata na wa mjini Da Mange anawajua vizuri sana wabongo !! 😅🙏
 
Back
Top Bottom