Ni bahasa za kaki wala amna muujizaHilo biti limepigwa kupitia kitu gani kiasi wahariri wote wameshindwa kuvujisha mawasiliano hayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bahasa za kaki wala amna muujizaHilo biti limepigwa kupitia kitu gani kiasi wahariri wote wameshindwa kuvujisha mawasiliano hayo?
Uko sawasawa kichwani kweli? Umeambiwa hizo ni za ndani. Manake ndio zimevujishwa hivyo na wahusika.Wahariri wote amekosekana hata mmoja wa kuvujisha mawasiliano hayo mkuu?
hao wapumbavu ni bora wafe tu.Abslumu kibanda na yule mpuuuz deodatus balile Ni wapuuzi wa kiwango Cha lami
Mtu anayekusudia mazuri hawezi kusema nimeamua kukaa kimya, na Mswada vp?La Badari limeisha ndugu zangu.
Rais alijipa muda wa kutosha kupokea maoni na kayapokea kweli kweli maoni yetu kwa hisia na style tofauti
sasa hivi tumpe muda wa kuyachakata na hatimae kufanya maamuzi kwa maslahi ya Nchi yetu
Huyu namfananisha na mhusika mmoja kwenye vitabu vya Jamaes Hadley Chase akiitwa Vitto Ferrari. Alikuwa mfupi sana na kazi yake ilikuwa ni kuua tu ukimpa kazi ya kuua mtu anakuuliza jee unataka ionekane ni murder,suicide au accident hajawahi kukosea.Huyo mtu mfupi petroli magoloti nilisoma nae chuo. Toka siku mingi tulishamhisi ni kipenyo huyo.
Waje tuwaelekeze. Mbona rahisi tu?Hawajui pakuvujisha! Sehemu salama
Wamefanyaje mkuuAbslumu kibanda na yule mpuuuz deodatus balile Ni wapuuzi wa kiwango Cha lami
Ewe ulietimamu kichwani Unatofautishaje hili na uzushi?Uko sawasawa kichwani kweli? Umeambiwa hizo ni za ndani. Manake ndio zimevujishwa hivyo na wahusika.
Jamaa kasomea nje weye ulisomea hapo Tumaini University. Uongo utaacha lini?Huyo mtu mfupi petroli magoloti nilisoma nae chuo. Toka siku mingi tulishamhisi ni kipenyo huyo.
Watazima mitandao tena ili tusioneNdugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Na humu jf watu wamebaki kukashifiana tu na kuleta mambo ya udini udini !!Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Hata na wa mjini Da Mange anawajua vizuri sana wabongo !! 😅🙏Hivi mnahabari Kuna vijiji Bado wanajua Nyerere ni raisi?Nimefanya uchunguzi na ni rasmi ccm kutoka madarakani mtasubiri mno,Redio ya Taifa ndio inayoskizwa mno bush,hizi redio nyingine ni zenu mjini.Watu kama hawa utawashawishi Kwa njia gani kuwa mwarabu hatakiwi apewe bandari?
[emoji1787]Huyu mtu mfupi ndiye yule alimlambisha sumu mzee Mangula?