Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Uoga nao ni maarifa ya kisichoeleweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Kauli ya Rais haionesho yuko upande gani.Sasa kauli yake haieleweki imesimama wapi kiasi kwamba Chawa wote wamejipa kazi ya kumsaidia Madam President kujibu waraka huku wengine wakianza mpaka kuchambana
M. A. G. O. T. IAu ni yule mfupi anavaa mapete ya majini a.ka. uganga?
"La Bandari limeisha..."?La Badari limeisha ndugu zangu.
Rais alijipa muda wa kutosha kupokea maoni na kayapokea kweli kweli maoni yetu kwa hisia na style tofauti
sasa hivi tumpe muda wa kuyachakata na hatimae kufanya maamuzi kwa maslahi ya Nchi yetu
Hata wakitaka kuvifuta wavifute tu havina maana yoyote.Vyombo vingi vya Habari vinamilikiwa na wanasiasa na wadau wa wanasiasa.
Vimebaki kuwa vyombo vya Burudani na Taarifa!
Limeisha hapo Lumumba,kwa Wananchi halijaisha.La Badari limeisha ndugu zangu.
Rais alijipa muda wa kutosha kupokea maoni na kayapokea kweli kweli maoni yetu kwa hisia na style tofauti
sasa hivi tumpe muda wa kuyachakata na hatimae kufanya maamuzi kwa maslahi ya Nchi yetu
Kufungia vyombo vya habari na kunyima uhuru wa habari. Wanataka turudi enzi za Uhuru na Jambo Leo.Ubaya unaodai wa Hayati Magufuli unaofananisha ulikuwa upi?
Walionunuliwa watavujishaje ?Wahariri wote amekosekana hata mmoja wa kuvujisha mawasiliano hayo mkuu?
Kila ubaya utalipwaKuna watu wanatafuta kwenda kuishi uhamishoni kwa nguvu.
Pengine hawajali kwani walishajiwekea ukwasi (visenti)wa ajabu huko ughaibuni.
Lakini kama wamesahau niwakumbushe. Marehemu Sani Abacha alijilimbikizia mihela lakini kwa sheria za kidunia za sasa pesa zote alizokwiba au kupata kijanja zilirudishwa na akafa kwa kihoro!
"USIMUAMSHE ALIYELALA, AKIAMKA"
Hivi petro magoti kazi yake ni nini ikulu? Nimeanza kumuona toka enzi za shujaa! Anayejua tafadhali
Ubaya wa magu unaweza pungua biblia kumi ukitajwa?Ubaya unaodai wa Hayati Magufuli unaofananisha ulikuwa upi?
a failed missionNdugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Limeisha kwa Rais kuanza mchakato wa kuamuaLimeisha hapo Lumumba,kwa Wananchi halijaisha.
Dah!.Nape yupo sahihi!!
Walikula Dola 100,000 za Mwarabu kila mhariri. Sasa wanataka tena kukiuka makubaliano?
Au wanadhani Mwarabu atatoa zingine tena? Watulie
Hiyo tabia ya kuifanya nchi ni mali ya familia mwisho wake upo karibu sana. Watanzania hawarudia kuchagua watu wa aina hiyo kuwa viongozi wao.Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!