EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Hata Maxence Melo atapata tu vitisho, kiti kimekaliwa na Nape unategemea nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama sio petro magoti naemjua mm wa ikulu. 1st degree nimesoma nae hapa bongoJamaa kasomea nje weye ulisomea hapo Tumaini University. Uongo utaacha lini?
Tutakutana nao kwenye nyumba za ibada. Kama wana ubavu wakafunge na nyumba za ibada.Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Kwakweli Balile katulizwa na DPAbslumu kibanda na yule mpuuuz deodatus balile Ni wapuuzi wa kiwango Cha lami
Hii nchi ukiongea ukweli jiandae kufa au kung'olewa meno 😭Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
What is wrong is wrong, PERIOD!Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
CCM inaamini watu wote ni wajingaKuna watu wanatafuta kwenda kuishi uhamishoni kwa nguvu.
Pengine hawajali kwani walishajiwekea ukwasi (visenti)wa ajabu huko ughaibuni.
Lakini kama wamesahau niwakumbushe. Marehemu Sani Abacha alijilimbikizia mihela lakini kwa sheria za kidunia za sasa pesa zote alizokwiba au kupata kijanja zilirudishwa na akafa kwa kihoro!
"USIMUAMSHE ALIYELALA, AKIAMKA"
Vitto FerrariAkipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
Tufungulieni Hii Code.
Umesahau Ile harusi ilo trend na Sasha akaenda Kanisani kuhudhuria pale St Joseph CathedralAkipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
Tufungulieni Hii Code.
Poisoning oficer wa chama cha mabibi na mabwanaAkipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
Tufungulieni Hii Code.
Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Kuna watu wanatafuta kwenda kuishi uhamishoni kwa nguvu.
Pengine hawajali kwani walishajiwekea ukwasi (visenti)wa ajabu huko ughaibuni.
Lakini kama wamesahau niwakumbushe. Marehemu Sani Abacha alijilimbikizia mihela lakini kwa sheria za kidunia za sasa pesa zote alizokwiba au kupata kijanja zilirudishwa na akafa kwa kihoro!
"USIMUAMSHE ALIYELALA, AKIAMKA"
La Badari limeisha ndugu zangu.
Rais alijipa muda wa kutosha kupokea maoni na kayapokea kweli kweli maoni yetu kwa hisia na style tofauti
sasa hivi tumpe muda wa kuyachakata na hatimae kufanya maamuzi kwa maslahi ya Nchi yetu
Hao wahariri wa vyombo vya habari waendelee kutishwa hivyo hivyo maana hawajitambui.
Vyombo vya habari ambavyo haviwezi kupigania uhuru wake havina maana yoyote kwa jamii.
Hata zisipoandikwa zimeshaandikwa kwenye Kili na vichwa mwa Watanzania wote.Ndugu zangu,
Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.
Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.
Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.
Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.
Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).
My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.
Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Kinachonishangaza, hii kauli ina ugumu kiasi gani cha kushindwa kutolewa na Madam President mwenyewe?
Kauli za “nilinyama na ninaendelea kunyamaza,” hazina sauti wala mamlaka ya Urais.
Leo hii Rais anao uwezo wa kusimama na kusema “Imetosha!” Na wote tukasikia.
Kwa Nukta!
Radio ya taifa ndio inayowatangazia hao wa vijijini kwamba Nyerere bado ni rais? Hakuna kijiji chochote Tz hii ambacho utandawazi haujafika jambo kwa kiwango cha chini, ila bahati mbaya yenu matokeo ya vitu vyenu vyote huwa mnayo mfukoni bt mnatafuta visababu tu vya kuyahalalisha hata km ukweli unajulikana. You can fool some people for sometimes but this will eventually come to an end.Hivi mnahabari Kuna vijiji Bado wanajua Nyerere ni raisi?Nimefanya uchunguzi na ni rasmi ccm kutoka madarakani mtasubiri mno,Redio ya Taifa ndio inayoskizwa mno bush,hizi redio nyingine ni zenu mjini.Watu kama hawa utawashawishi Kwa njia gani kuwa mwarabu hatakiwi apewe bandari?
Alisema hakuna mtu mwenye misuli na ubavu wa kuvuruga mipango ya Nchi. Na alisema akiwa na Tone ya Hasira kweli kweli.
Kwamba mpango wa DP world uko pale pale.
Ngoja tuone.
Labda Mungu wa Israeli ,Isaka na Yakobo awe ni Mwongo.
Kwa maombi tunayosali kila siku DPW haifiki popote kwa msaada wa Mwenyezi Mungu.
Mungu hatakubali machozi yetu wananchi tupate aibu.
Tutaendelea kupiga magoti tusali. Sisi hatuna nguvu tunamtegemea Mungu.
Sifa na Utukufu viwe kwa Bwana, YHWH