Wahariri wa magazeti wapigwa na kitu kizito vichwani kuhusu DP World

Wahariri wa magazeti wapigwa na kitu kizito vichwani kuhusu DP World

Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Tutakutana nao kwenye nyumba za ibada. Kama wana ubavu wakafunge na nyumba za ibada.
 
Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Hii nchi ukiongea ukweli jiandae kufa au kung'olewa meno 😭
 
Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
What is wrong is wrong, PERIOD!
 
Kuna watu wanatafuta kwenda kuishi uhamishoni kwa nguvu.

Pengine hawajali kwani walishajiwekea ukwasi (visenti)wa ajabu huko ughaibuni.

Lakini kama wamesahau niwakumbushe. Marehemu Sani Abacha alijilimbikizia mihela lakini kwa sheria za kidunia za sasa pesa zote alizokwiba au kupata kijanja zilirudishwa na akafa kwa kihoro!

"USIMUAMSHE ALIYELALA, AKIAMKA"
CCM inaamini watu wote ni wajinga
 
Hii nchi ya ajabu sana

Wametisha waandishi halafu wakamuomba sheikh alhad aiongelee na kaongea pumba na mashudu

Yani hii nchi hii Sasha mama abdul imemshinda kabisa yani hata kuchagua watu sahihi wa kumtetea kashindwa anatetewa na watu wa hovyo tu
 
Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!


Tuko nyakati za technology and social media, maelfu na mamilioni ya watanzania wanamiliki japo akaunti moja ya mtandao wa kijamii, huku kati yao ni asilimia kidogo sana ambayo bado inategemea main stream media as main source of info.


Au ndio harakati za mtanzania katika kutafuta mbuzi wa kafara?!
 
Kuna watu wanatafuta kwenda kuishi uhamishoni kwa nguvu.

Pengine hawajali kwani walishajiwekea ukwasi (visenti)wa ajabu huko ughaibuni.

Lakini kama wamesahau niwakumbushe. Marehemu Sani Abacha alijilimbikizia mihela lakini kwa sheria za kidunia za sasa pesa zote alizokwiba au kupata kijanja zilirudishwa na akafa kwa kihoro!

"USIMUAMSHE ALIYELALA, AKIAMKA"


Kauli hizi ndio zimewaumba na kuwajenga hao viongozi mnaowashutumu.


Mtu mzima hatishiwi nyau.
 
La Badari limeisha ndugu zangu.

Rais alijipa muda wa kutosha kupokea maoni na kayapokea kweli kweli maoni yetu kwa hisia na style tofauti

sasa hivi tumpe muda wa kuyachakata na hatimae kufanya maamuzi kwa maslahi ya Nchi yetu

Kinachonishangaza, hii kauli ina ugumu kiasi gani cha kushindwa kutolewa na Madam President mwenyewe?

Kauli za “nilinyama na ninaendelea kunyamaza,” hazina sauti wala mamlaka ya Urais.

Leo hii Rais anao uwezo wa kusimama na kusema “Imetosha!” Na wote tukasikia.

Kwa Nukta!
 
Ndugu zangu,

Sasa ni dhahiri kuwa sakata la 'Port Selling" inachukua mkondo mpya. Kauli ya kibabe na kiburi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu ubavu na misuli imeanza kutafsiriwa na "ofisi nyeti" kwa vitendo.

Kutoka kuwa mjadala Sasa sakata hili linaanza kuelekezwa kwenye mkono wa chuma. Ni kama utawala wa Mwendazake unaanza kufanyiwa majaribio tena. Toka sasa tegemeeni mabaya zaidi ya Magufuli maana mmeshanywea.

Leo tarehe 25/8/2023 hakuna gazeti la main stream lolote lililoandika habari ya Bandari na DP World. Lililojaribu basi habari hiyo nzito ya nchi imepewa uzito mdogo, tena kurasa za ndani.

Taarifa kutoka ndani ya vyombo hivyo vinadai kwamba Wahariri wametishwa na kusmbiwa, "achaneni na habari za Bandari imetosha". Wapo waandishi wengi waliopeleka habari za Bandari lakini Cha ajabu zote na kote hazikutoka leo.

Inaelezwa kwamba sliyesimamia hiyo show ni Nape Nnauye akipewa maelekezo kutoka kwa mtu mmoja wa karibu sana na Samia (mtu mfupi sana aliyeoa mwanamke mrefu na harusi yake ikatrendi sana).

My take: Kimbilio pekee ni JamiiForums. Kwa niaba ya wanajamii wote humu naomba mmiliki wa JF simama na wananchi maana hata redio za kijamii zimetishwa. Tulipofikia Sasa ni ubavu na misuli ya "muuzaji" wa nchi.

Yesu akiteswa alisema, "msinililie mimi, jililieni ninyi na watoto wenu", tumekwisha. Mex Mello Mungu akulinde unapotulinda. Never give up!
Hata zisipoandikwa zimeshaandikwa kwenye Kili na vichwa mwa Watanzania wote.
 
Alisema hakuna mtu mwenye misuli na ubavu wa kuvuruga mipango ya Nchi. Na alisema akiwa na Tone ya Hasira kweli kweli.

Kwamba mpango wa DP world uko pale pale.

Ngoja tuone.

Labda Mungu wa Israeli ,Isaka na Yakobo awe ni Mwongo.

Kwa maombi tunayosali kila siku DPW haifiki popote kwa msaada wa Mwenyezi Mungu.
Mungu hatakubali machozi yetu wananchi tupate aibu.

Tutaendelea kupiga magoti tusali. Sisi hatuna nguvu tunamtegemea Mungu.

Sifa na Utukufu viwe kwa Bwana, YHWH
Kinachonishangaza, hii kauli ina ugumu kiasi gani cha kushindwa kutolewa na Madam President mwenyewe?

Kauli za “nilinyama na ninaendelea kunyamaza,” hazina sauti wala mamlaka ya Urais.

Leo hii Rais anao uwezo wa kusimama na kusema “Imetosha!” Na wote tukasikia.

Kwa Nukta!
 
Hivi mnahabari Kuna vijiji Bado wanajua Nyerere ni raisi?Nimefanya uchunguzi na ni rasmi ccm kutoka madarakani mtasubiri mno,Redio ya Taifa ndio inayoskizwa mno bush,hizi redio nyingine ni zenu mjini.Watu kama hawa utawashawishi Kwa njia gani kuwa mwarabu hatakiwi apewe bandari?
Radio ya taifa ndio inayowatangazia hao wa vijijini kwamba Nyerere bado ni rais? Hakuna kijiji chochote Tz hii ambacho utandawazi haujafika jambo kwa kiwango cha chini, ila bahati mbaya yenu matokeo ya vitu vyenu vyote huwa mnayo mfukoni bt mnatafuta visababu tu vya kuyahalalisha hata km ukweli unajulikana. You can fool some people for sometimes but this will eventually come to an end.
 
Alisema hakuna mtu mwenye misuli na ubavu wa kuvuruga mipango ya Nchi. Na alisema akiwa na Tone ya Hasira kweli kweli.

Kwamba mpango wa DP world uko pale pale.

Ngoja tuone.

Labda Mungu wa Israeli ,Isaka na Yakobo awe ni Mwongo.

Kwa maombi tunayosali kila siku DPW haifiki popote kwa msaada wa Mwenyezi Mungu.
Mungu hatakubali machozi yetu wananchi tupate aibu.

Tutaendelea kupiga magoti tusali. Sisi hatuna nguvu tunamtegemea Mungu.

Sifa na Utukufu viwe kwa Bwana, YHWH

Nilisikia ile hotuba, yale majibu kwa Mzee Shoo, ‘kaka yake’.

Kwa haraka utasema Rais amejibu Kibabe sana na ndio inavyotakiwa lakini ukipata nafasi ya kulionja na kulitafuna kwa ubongo neno baada ya neno katika hotuba ile, mwangwi wa mamlaka utauona kwa macho ya nyama.

Waandika ule waraka wa TEC wanajua aina ya reaction waliokua wanaitaka toka kwake.

What if the strategy was to provoke such a reaction halafu waachie ‘watazamaji’ wa kitaifa na kimataifa waamue nini kiendelee?

Binafsi ni muumini wa Falsafa ya Hoja hujibiwa kwa hoja na sio vioja au vitisho.

Sasa kauli yake haieleweki imesimama wapi kiasi kwamba Chawa wote wamejipa kazi ya kumsaidia Madam President kujibu waraka huku wengine wakianza mpaka kuchambana!

It’s total chaos that would have been avoided kama Rais angeamua.

Au pengine kiti chake na wadau wa kiti chake wameona opportunity ya ku play within the chaos na kuibukia upande wa kumalizia?

Inachanganya sana.
 
Back
Top Bottom