Wahariri wa magazeti wapigwa na kitu kizito vichwani kuhusu DP World

Huyo ndio mshauri wa rais kwenye masuala ya siasa na chama,ukisika mkeka umetoka huyo ndio approval,ndio link ya wanaccm na serikali. Ukiachana na hoja za poison master[emoji28]
shukran mkuu! Ila nataman kujua what so special about him hadi kukamatia kitengo hicho nyeti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…