Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wilaya ya Bukoba mjini na Bukoba vijijini . Halafu sera mbovu za Ccm ndo zinasababisha umaskini wa mkoa wa Kagera na mikoa mingine . Ila Kwa mtu mmoja mmoja wahaya wako vizuri kimaisha , hata huko Bukoba vijijini watu wanaishi kwenye nyumba bora tofauti na vijiji vya mikoa mingine .Wanatokea wilaya gani?
Haya uliyoyaandika yanaonyesha ulivyo na akili ndogo.
Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogo
Hebu waza hiv.
Tanzania ni ya 29 kwa umaskini Dunia hii.lakin haimaanisha Tanzania nzima hakuna watu wenye akili.
Umeelewa my point
Kwa hiyo wagogo na wazaramo ndo Wana akili sio?Wana akili gani? Ingekuwa wana akili bukoba ingekuwa jiji kubwa sana lenye kuvutia kanda ya ziwa na mwanza ingeonekana halmashauri ya mji. Mnawakuza sana
Mikoa 3 masikini zaidi nchini kwa kipimo cha pato la mtu mmoja income per capita ni Kagera, Kigoma na SingidaWilaya ya Bukoba mjini na Bukoba vijijini . Halafu sera mbovu za Ccm ndo zinasababisha umaskini wa mkoa wa Kagera na mikoa mingine . Ila Kwa mtu mmoja mmoja wahaya wako vizuri kimaisha , hata huko Bukoba vijijini watu wanaishi kwenye nyumba bora tofauti na vijiji vya mikoa mingine .
kwa kuwa wanaitwa nshomile ndio wana akili sana? Sema wale waliwapokea wakoloni mapema kuliko wengine. Bahati nzuri wakoloni wazungu wakajenga shule maeneo yao wakawasomesha na wakaipenda elimu. Kule kwingine waliathiriwa na dini ile wakaja kushituka kuwa walipotea ni too late ndio sasa nao wameamka kielimu japo wanaigaiga kujenga shuleKwa hiyo wagogo na wazaramo ndo Wana akili sio?
Any man who must say, "I am the King", is no true king. Tywin Lannisterhata mimi ni smart najiamini saaaana
IQ kubwa zimeshindwa kuondoa umasikini kanda ya ziwa
Mkoa wa Kagera kuwa maskini haimaanishi wahaya ni maskini . Mkoa wa Kagera una wilaya nyingi na wahaya wanachukua sehemu ndogo ya mkoa wa Kagera.Mikoa 3 masikini zaidi nchini kwa kipimo cha pato la mtu mmoja income per capita ni Kagera, Kigoma na Singida
Punguza jazba. Wahaya ni waTz na hakuna cha ajabu. Wapo wachache wenye uwezo kiakili na wapo wengi wenye uwezo mdogo kama waTz wengine tu.Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogo
Hebu waza hiv.
Tanzania ni ya 29 kwa umaskini Dunia hii.lakin haimaanisha Tanzania nzima hakuna watu wenye akili.
Umeelewa my point
Umasikini watu wa mkoa wa Kagera kutia ndani Wahaya ni ndio umefanya Kagera kuwa miongoni mwa mikoa masikiniMkoa wa Kagera kuwa maskini haimaanishi wahaya ni maskini . Mkoa wa Kagera una wilaya nyingi na wahaya wanachukua sehemu ndogo ya mkoa wa Kagera.
Na mawora kwa wingiiWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
mbakasinge waituTunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogo
Hebu waza hiv.
Tanzania ni ya 29 kwa umaskini Dunia hii.lakin haimaanisha Tanzania nzima hakuna watu wenye akili.
Umeelewa my point?
mbona mimi sio tapeli!!!!!! temana na sisiNi matapeli wa kufa mtu
Mimi Sina Kabila Mhaya Mchagga wote wale walenasimama na wachaga
wahaya ni wabinafsi na hawajui wanataka nini
Wewe wa wapi SIO tapeli?mbona mimi sio tapeli!!!!!! temana na sisi
EbwanaweeHata mimi ni smart najiamini saaaana