stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Kumbena wewe ni Muhaya?Bila kusahau nywele zetu za singasinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbena wewe ni Muhaya?Bila kusahau nywele zetu za singasinga
mimi ni muhaya najivunia kabila langu muhayaaaWewe wa wapi SIO tapeli?
Iweeeeemimi ni muhaya najivunia kabila langu muhayaaa
Big or Slim?mimi ni muhaya najivunia kabila langu muhayaaa
hayakuhusuBig or Slim?
Wakola waituhayakuhusu
🙏Wakola waitu
Big or Slim?
Mwana nyamalaWahaya kwa kupenda mizagamuano nimewavulia kofia. Umalaya upo kwenye damu pia.
we vip umetumwa?Big or Slim?
Acha kujiendekeza, mhaya hopeless kabs ww.Wahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Hata wanaume. Tunaishi nao huku, tunawaona.Mwana nyamala
Sasa najiendekeza na nini?Acha kujiendekeza, mhaya hopeless kabs ww.
😭 yamekuwa hayo jamaniSasa najiendekeza na nini?
Hopeless mwenyewe..!
Wahaya na majibu yao,Sasa najiendekeza na nini?
Hopeless mwenyewe..!
Kaota mapembe huyo🤣😭 yamekuwa hayo jamani
Ulisikia wapi!!!!! 😳🤔Tupe maendeleo ya Mkoa wa Kagera , halafu linganisha na mikoa mingine hapa Tanzania.......👆Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
NdioKumbena wewe ni Muhaya?
Ila , Elimu ni kama kichocheo tu cha kuwa tajiri ila sio chanzo cha kuwa tajiri . Ardhini ndo kuna vyanzo vya kupata utajiri . Ardhi ya Kagera inategemea kilimo . Lakini Kuna mikoa mingine imebarikiwa Madini ardhini . Mkoa kama Geita unachangia asilimia kubwa kwenye pato la Taifa ila wananchi wa mkoa huo ni maskini.Umasikini watu wa mkoa wa Kagera kutia ndani Wahaya ni ndio umefanya Kagera kuwa miongoni mwa mikoa masikini
Huwezi kutengelanisha umasikini wa Kagera na Wahaya