Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wanazingua sanaNaona umewaamulia kina Nshomile
Waache wapumue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazingua sanaNaona umewaamulia kina Nshomile
Waache wapumue
Mkoa wa Kilimanjaro kieneo ni sawa na Wilaya ya Uyui Tabora huwezi linganisha na Mkoa wenye mita za mraba zaidi ya elfu 40 na Kilimanjaro yenye mita za mraba elfu 13. Rudi darasani.Kwangu kipimo cha akili cha Kabila hukipima kwa kangalia maendeleo ya Eneo husika.
Sasa huko Bukoba watu wanakufa kwa umasikini wakisubiri Serikali Iwajengee Dispensary na Shule za kata ndio unasema wana IQ kubwa?
Kwangu my role model ni Kilimanjaro..... Secondary wamejenga kila pahala; wana zaidi ya dispensary moja kwa kila kijiji; magorofa hadi huko vijijini ndani ndani; sijui wanafunzi kukaa chini, huwa wanasikia tu kwenye radio na TV, Miundo msingi mingi wanakarabati wenyewe nk nk nk na ndio sababu wanapenda kwenda kwao kila mwisho wa mwaka tofauti na makabila mengine ....
Nina jamaa mhaya ila hajaoa mhaya mwenzie nilimuuliza kwanini akaniambia ukitaka kuiona ndoa chungu muoe mhaya na afadhali yeye kuliko muhaya na kabila tofautiWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
DuuuHawa hawa wa uwanja wa fisi??
Wahaya sio wa kuoa, hilo liko wazi.Nina jamaa mhaya ila hajaoa mhaya mwenzie nilimuuliza kwanini akaniambia ukitaka kuiona ndoa chungu muoe mhaya na afadhali yeye kuliko muhaya na kabila tofauti
Kiufupi mhaya
Duuu
Kusema wana akili mi nakubali, lakini kusema tungekuwa wapi bila wahaya hii si sawa, Taifa limefika hapa lilipo kwa juhudi za makabila mengi.Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Kagera ni moja mikoa maskini zaidi Tanzania.Ndivyo wahaya tulivyojaaliwa na Mungu .
Wagamba amazima kyoma,bakuwe olubisi anga omunanasi gwa lukumi ndalipa.
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Punguza hasira mkuu. Wahaya hawajawahi kushika serikali Wala kuwa CCM.Mkoa wa Kagera ndio mkoa maskini sana Tanzania, mkoa wa mwisho kiuchumi, hizo akili wahaya watoe wapi? Au wewe ni mhaya mmojawapo kazi yenu kujisifia kumbe zero kabisa, kutwa nzima, miaka kazi yenu kujisifia na ubishi wa asili, akili hakuna, hata wewe mtoa mada uko kundi hilo..!!
Kama unafikiri maendeleo ya watu hupimwa kwa ukubwa wa eneo la mkoa, nafikiri hujatafakari vizuri;Mkoa wa Kilimanjaro kieneo ni sawa na Wilaya ya Uyui Tabora huwezi linganisha na Mkoa wenye mita za mraba zaidi ya elfu 40 na Kilimanjaro yenye mita za mraba elfu 13. Rudi darasani.
Siku nyingine anza kuandika jina la mtu kwa herufi kubwa.Muhaya Smart Mama tibaijuka tu,.wengine kama sisi tu
Mimi natokea lile kabila mnasema hatujasoma,unategemea niniSiku nyingine anza kuandika jina la mtu kwa herufi kubwa.
Mpuuzi gani kawafundisha somo la Lugha darasa la 3 nyie?
Kwenye mada;
"Kadili unavyozidi kupanua, ndivyo watu wanavyozidi kutamani"
-Anna Tibaijuka, MB.
Nimechomekea kutoka kwenye Hansard za Bunge la JMT.
ni kweli,tangu wamegundua formula ya KATERERO wamekuwa na akili sana!!Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Kwel una akili hamnaso sanaa ..sasa kama unaongelea wahaya wote walio TZ una uhakika gan kama hawajacrossbreed na makabila mengine na hizo akili zinatokea wake makabila mengine na si wahaya?Tunaongelea wahaya hapa sio mkoa. Na hakuna mkoa wa wahaya hapa Tz. Sema tukuazime akili japo kidogo
Hebu waza hiv.
Tanzania ni ya 29 kwa umaskini Dunia hii.lakin haimaanisha Tanzania nzima hakuna watu wenye akili.
Umeelewa my point
iwee ogumile kyoma wasibayotaWagamba amazima kyoma,bakuwe olubisi anga omunanasi gwa lukumi ndalipa.
Water water war inawabeba.Wahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Anapaki nini MwasibuMuhaya ukimuondolea daftari anapaki mweupe