Japo nilikuwa Mdogo lakin nakumbuka yote nimecheka sanaaaHaha, sasa sijui lengo la kuzima lilikuwa wafanyakazi wa kalale?
Mimi hadi leo ninayo kanda ya Jangalason nimetape baadhi ya vipindi.
Na tulishapigana na kaka yangu sababu ya kutape kanda zake hadi nikamchoma Kisu cha mguu.
JamaniJamani kweli siku hazigandi. Nakumbuka enzi hizo hakuna utitiri wa redio stations ukitaka kusikiliza huna option kama kipindi kilichopo hukipendi uzime tu radio.
Hata mfumo wa vipindi ulikuwa tofauti sana na huu wa sasa...enzi hizo vipindi vililenga kutoa elimu zaidi kuliko burudani. Kama kipindi ni cha kutoa elimu kuhusu masuala ya umeme let's say, hakuna porojo ni elimu tu mwanzo mwisho.
Nakumbuka ilikuwa miaka ya tisini mwishoni hivi, kuna vipindi nilikuwa sipitwi kabisa hata kama nilikuwa kucheza muda huo ntafanya juu chini niwepo
Kulikuwa na vipindi vya watoto kimoja nilikuwa kinaitwa Mama na mwana kilikuwa kinarushwa jumamosi saa nane na nusu. Nilikuwa sipitwi kabisa....kulikuwa na hadithi zilikuwa zinasimuliwa naikumbuka moja tu ya Binti Chura.
Kuna kipindi kingine kilikuwa kinaitwa Twende na wakati ulikuwa mchezo wa kuigiza unarushwa kila jumamosi saa mbili na nusu usiku. Nilikuwa nafuatilia hatua kwa hatua maana ulikuwa haurudiwi ukipitwa ndo tuonane next episode.
Karibu mdau tukumbushane wewe ulikuwa unapenda vipindi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee JangalaHebu wakumbuke hawa baadhi yao waliotamba katika michezo ya redio
1.Mzee khamis Tajiri
2.Mzee Kipara
3.Mzee Jongo
4.Mama Haambiliki
Na wengine ongezea............!
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaa!!!!!!Chei chei shangazi. Mazungumzo baada ya habar.
Sent from my Android phone
Huyu mzee namkumbuka sana,nakumbuka mzee julius alimjengea nyumba pale dodoma, kuna nyimbo alikuwa anaimba zilitumika redioni wakati huo kama huu"Tuache kazi ya miradi tutakula kwako" ene ujangili magendo na rushwa dini" MZEE Mwinamila akiburudisha katikati ya kipindi cha Mikingamo
Kuna mwaka Mei Mosi ilifanyika Shinyanga basi Kulikuwa na kibwagizo kinaimbwa kuelekea siku hiyo. Wasukuma sahihisheni nilipokosea....
"Utakwilima....Bana ba Shinyanga mwaka ugu ba shile kabisa. Ukulima gwa kisasa gwaleni gwangazile gwange kuyupa ni mbolela mala ku ga beche,
Sidanganyi bana[emoji23] [emoji23] acha hizo basi unadanganya kwa faida ya nani?
Ngoja niambatanishe birth certificate yako hapa ndio utaingia uvunguni mzima mzima [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unadanganya
Hapo kwa RSA siyo Moses Mkandawile bali ni Duncan Kandawile na wenzake Francis Chandiona, William Joranji na Boston Caleja Kaunda.Mama na mwana mtangazaji alikuwa Eda Sanga ukiacha hadithi ya binti chura ilikuwepo hadithi ya Adili na nduguze,nakumbuka kulikuwa na idhaa ya biashara ilikuwa inafunguliwa saa kumi baada ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku inafuata mazungumzo baada ya habari yalikuwa yanasomwa na Abdul Ngalawa saa mbili na robo kipindi cha vijana Leo mtangazaji alikuwa Julias Nyaisanga ukipenda anko J,nakumbuka mbali sana ilikuwa mida ya jioni unajiunga na radio RSA Hapo utamsikia Moses Mkandawile,UJERUMANI, Hapo utamsikia Umani Heri,mabingwa wa salamu namkumbuka Kondo Ali Kondo,Zakaria Ndefoo mwinda tembo,chivalavala wa chivalavala wa mahuta newala nisimalize utamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi kiliitwa "Wakati wa Kazi".SAA 5asubuhi kipnd cha wafanyakaz SAA 6 mchana mwemaaa
Jpl ugua pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Uje tena shangazi, shangazi shangazi enhe! Mchana utasikia wimbo ule hivi sasa ni lunch time... Na mwisho wa mwezi kulikuwa na wimbo wake wa kasim kama hana pesa nyumbani hatoki......!Chei chei shangazi ilinifundisha kila walipokuja shangazi zng ndo ulikuwa wimbo wangu wa kuwapokea
Sent using Jamii Forums mobile app