Wahenga wenzangu njoo tukumbushane vipindi vilivyobamba RTD enzi hizoo

Wahenga wenzangu njoo tukumbushane vipindi vilivyobamba RTD enzi hizoo

Hebu wakumbuke hawa baadhi yao waliotamba katika michezo ya redio
1.Mzee khamis Tajiri
2.Mzee Kipara
3.Mzee Jongo
4.Mama Haambiliki
Na wengine ongezea............!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi kilikuwa kinabamba na song lake cha twendeni shambani. Na kipindi cha kijaruba bila kusahau club rahaleo kwenye kipindi cha club rahaleo watangazaji niliokuwa nawakumbuka Julius nyaisanga uncle J na Enorck ngombale mhilu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah umenikumbusha kuna binamu yangu alikuwa sekondari sisi tuko msingi kilipoanza hicho kipindi akatuambia huko Tabora mwimbaji alikosea akaimba "wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawala nyama, kipindi chenu kinwala nyama. ..... basi wagonjwa wacha wakimbie hospital ikabaki nyeupe.... yaani niliamini kabisa ni kweli ilkuwa 1993 nko la nne nkaenda kuwahadithia shule walinicheka sana!kutokana na hlo tukio nkapewa na jina hadi tunamaliza la saba wananiita hilo jina. ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa huyo binamu yako alikuwa mzee wa fix

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamuacha Mke wake, mama muyaone, bwana Bomu kazidisha. Bomu Bomu eeeh........ hahaaa mchezo ulikuwa haunipiti, dokta rama, havijawa, muyaone na bwana Bomu enzi hizo
 
Back
Top Bottom