Tumbuizo Asilia - Michael Katembo , Khalid Ponera baadae Malima Ndelema
Starehe na BP - Julius Nyaisangah
Misakato - Julius Nyaisangah
Ugua pole - Walikuwa wanazunguka hospitali mbalimbali nchini kupitia wawakilishi wa mikoani na wale wa Dar
Nipe Habari - Siwatu Luanda
Mama na Mwana - Deborah Mwenda
Club Raha Leo Show - Julius Nyaisangah, Enock Ngombale na Geofrey Erneo
Kijaruba - Abdallah Mlawa
Mchana Mwema/Pokea Salamu - Christine Chokunegela na wenzake wengi
Chaguo la msikilizaji - Malima Ndelema
Mkoa kwa Mkoa - Michael Katembo, Nadhir Mayoka, Malima Ndelema
Disco Show - Julius Nyaisangah
General tyre na gari lako - Samadu Hassan
Ngano za Muziki - Salama Mfamao, Siwatu Luanda na wengine
Majira ya asubuhi na saa 3 usiku...
Watoto wetu - Watangazaji wa kike..
Mikingano - Salum Seif Nkamba 'SS Nkamba'
Mkulima wa Kisasa - Malima Ndelema
Michezo/Matangazo ya Mpira - Mshindo Mkenyenge, Omary Jongo, Ahmed Jongo 'Father', Dominick Chilambo, Mikidah Mahmoud, Charles Hillary, Juma Nkamia, Salim Mbonde, Abdallah Idrissa Majura na wengine..
Taarifa ya Habari - Julisu Nyaisangah, Charles Hillary, Betty Mkwasa, Sarh Dumba, Halima Kihemba, Jacob Tesha, Sekione Kitojo, Tido Mhando, Mikidad Mahmoud, Christine Chokunegela, Abdallah Mlawa, Abdul Ngalawa, Eddah Sanga, Aboubakary Liongo, Iddi Rashid Mchatta na wengine...
Mazungumzo baada ya Habari - Abdul Ngalawa, Mikidad Mahmoud
Pia walikuwepo wawakilishi wa Kanda/mikoa
Nyanda za Juu Kusini - Idrissa Sadallah, Martha Ngwila
Kanda ya Mashariki - Halima Kihemba , Penzi Nyamungumi, Monica Lyampawe..
Kanda ya Magharibi - Titus Philipo
Kigoma - Chisunga Stephen
Songea - Abisai Stephen
Lindi - Angalieni Mpendu
Ziwa Victoria - Dominick Chilambo, Nathan Rwehabura
Kanda ya Kati - Ben Kiko, Ahmed Kipozi, Sangi Kipozi, Hendrick Michael Libuda, Daniel Msangya, Wilson Malosha, Hellen Masele na wengine
Mtwara - Cassim Mikongoro
Kanda ya Kaskazini - Ahmed Jongo
Zanzibar - Yusuph Omary Chunda na Makame Abdallah
Hawa ni kwa uchache tu....