ndisi-jujo 2
Member
- Jul 19, 2017
- 64
- 59
Debora Sanga kama sikosei ndo alikuwa mtangazajiChei chei shangazi. Mazungumzo baada ya habar.
Sent from my Android phone
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Debora Sanga kama sikosei ndo alikuwa mtangazajiChei chei shangazi. Mazungumzo baada ya habar.
Sent from my Android phone
Mimi tena nisiwe muhenga? Shule yenu mlikuwa mnaingia saa ngapi?Wewe sio muhenga? Nakumbuka asubuhi nikisikia Jambooo najua nishachelewa shule....moja na nusu hio
Leo katika bunge...mheshimiwa spikaaaaaa......!Twende na wakati, Leo katika Bunge, Pilika pilika, Karibu Mgeni, Michezo, Majira
Sent From Kisana Kiki Iphone
Saa moja kamili tunahesabiwa namba. Then ratiba nyingine zinaendelea.
Ahaa okey nimeona umesema ikifika saa moja na nusu unajua umechekewaSaa moja kamili tunahesabiwa namba. Then ratiba nyingine zinaendelea.
Debora Mwenda...
Kweli we si mhenga...
Acha uongo babu ilikuwa hivyohivyo mheshimiwa khaaKweli we si mhenga...
Ilikuwa "Ndugu spikaaaa"
Hii ya "mheshimiwa spika" mmeisikia nyie watoto wa juzi.
Hahaa mi mwenyewe kuna vionjo vingi natamani niweke kwa sauti hapaNatamani kungekua na kisehemu cha voicenote
Niweke ile radiooo Tanzaniaaa..Daresalamu
Duuh...kumbe nawe mhenga? Sikujua
Kuna nyimbo moja hiv kaimbaHaha, sasa sijui lengo la kuzima lilikuwa wafanyakazi wa kalale?
Mimi hadi leo ninayo kanda ya Jangalason nimetape baadhi ya vipindi.
Na tulishapigana na kaka yangu sababu ya kutape kanda zake hadi nikamchoma Kisu cha mguu.
Mhenga nakuonaaaKipindi cha michezo ikifika sa moja na nusu or mbil kasoro hivi
Nilikuwa napenda sauti ya Halima Mchuka na Ezekiel Malongo beki nambari mbili( RIP)
Nakumbuka kipindi cha salamu pia Malima Ndelema ( mtangazaji sijui yupo wapi)
Kipindi cha watoto
Nyimbo" uje tena shangazi, uje tena shangazi. Tufurahi shangazi , shangazi yetu shangazi"
Hapo wakati kipindi kinaisha
Na michezo ya redio
Nakumbuka nilikuwa sharp nasikiliza yan najiona kama nipo, humo ndani
Mimi tu ile hodi uhii walikuwa wanagonga nini sijui
Pwagu ,mama haambiliki
Kingine kipindi cha mashairi
Nakumbuka tu
Hichi kipengele cha kumalizia shairi
"Bia yetu ya safarii asili yake Tanzania"
Bunge la redion
Nilikuwa napenda kusikia saut ya zakhia Meghji. Akisoma bajeti.
In ua Presence Jesus is where I belong
Yaan. Sisi wa zamani jamanMhenga nakuonaaa