Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Radio One, Clouds Fm.....
Clouds ilikuwepo miaka hiyo? Tatizo sisi wengine tulikuwa pembezoni Sanaa..miaka ya 2000 nilianza kusikiliza RFA japo haikunivutia sana nilikuwa napenda miziki tuRadio One, Clouds Fm.....
Kama umesikiliza mama na mwana enzi hizo za adili na nduguze,ua jekundu....WEWE NI MHENGA...kama mimi.
Aisee...kweli ulikuwa pembezoni 2000 FM zishashika kasi RTD tudhaisahau.Clouds ilikuwepo miaka hiyo? Tatizo sisi wengine tulikuwa pembezoni Sanaa..miaka ya 2000 nilianza kusikiliza RFA japo haikunivutia sana nilikuwa napenda miziki tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimekumbuka tangazo lile sikumbuki lilikuwa linaanzaje ila mwishoni mwanamama anauliza 'sasa nifanyeje jamani'? Anajibiwa 'Sikiliza bwana umeme'
Wewe Muhenga mwenzangu aisee. Unaikumbuka ile ya "harakati/simulizi za Akajase Mbamba"? Kitambo kwelikweli...Kulikuwa na vipindi vya watoto kimoja nilikuwa kinaitwa Mama na mwana kilikuwa kinarushwa jumamosi saa nane na nusu. Nilikuwa sipitwi kabisa..
Tanzania, nakupeeenda Tanzania.... Mataifa mengi yanakumezea mate Tanzania. Mabonde mazuuri ya kilimo, mlima mrefu katika Afrika, mbuga za wanyama na mawe ya madini ya kila aina Tanzania. Lakini aah.. Ona wananchi wake, wengi wanaugua virusi vya rushwa...wanaumwa,, tena wanaumwa sana.
DuuhKuna mchezo wa redio ulikuwa sponsored na Chibuku....nakumbuka wimbo wa tangazo la chibuku...'tutumie chibuku ni pombe bora....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi muhenga wa mwendokasi. Yaani mimi sijui kwa nini hadithi zote nimezisahau majina naikumbuka binti chura tu nadhani ndo ilinisisimua sanaWewe Muhenga mwenzangu aisee. Unaikumbuka ile ya "harakati/simulizi za Akajase Mbamba"? Kitambo kwelikweli.
Yule bibi/mama alikuwa anatupiga fix...come to think of it. Sijui ninSarah Dumba yule?
Wewe sio muhenga? Nakumbuka asubuhi nikisikia Jambooo najua nishachelewa shule....moja na nusu hio