AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Je wakumbuka kipindi kilichoitwa KIJALUBA CHANGU kilikuwa kikitangazwa na Abdallah Mlawa enzi hizo.Club raha Leo show nilikuwa nakisikia japo sikuwa nakisikiliza. Kwamba nilikuwa sijazaliwa hapana labda tulikuwa hatujamiliki redio bado[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
akuuu labda unitajie ndo nimjue
Haha sio sifa jamani, uhenga unanihusu haswaa. Nilikuwa secondary at that time, upo titi?Kwendraa af unajua utoto mpaka miaka 17. Ulivyo kapenda sifa unataka kutuambia hiyo miaka tayari ulikuwa unatumia topaz...sifa zitakuua nyonyo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] je kijiji chetu?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hatariUmenikumbusha nikiwa Mdogo sana siafu waliingia ndan tukatoka nje kuota moto hukunyumewasha radio kila inafika tu SAA sita mitambo ikazimwa watu tuna hasira ya siafu nikaonda ndugu zangu wakubwa wanalalamika so wangeweka mizk tu sasa tutakesha kweli mpaka asubuhi ikabid tuchukue kanda ya kwaya siikumbuk vizur ila ni wale wa arusha nyimbo zao za kubamba sana na hiyo ikawa holaa kumbe betri zimeisha radio ikawa inaimba pole pole ukipunguza saut inaimba vizur na hamsikii [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ulikuwa mtata wewe.Haha, sasa sijui lengo la kuzima lilikuwa wafanyakazi wa kalale?
Mimi hadi leo ninayo kanda ya Jangalason nimetape baadhi ya vipindi.
Na tulishapigana na kaka yangu sababu ya kutape kanda zake hadi nikamchoma Kisu cha mguu.
Kumbe ndo ilikuwa hivyo!Nilivyokuwa nakisikia nasikia mgonjwa anaomba muziki nikajua disko linapigwa hospitali kumbe mgonjwa anasikilizishwa masikioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Edda Sanga.Mama na mwana.. cha edda sijui naniii pamoja na pwagu na pwaguzi.
Kuna pia mazungumzo baada ya habari. Ukija miaka ya 2000 kuna ule mdundo wa majira aseeh nilikuwa naupenda pamoja na utangazaji wa Ezekiel malongo kwenye mpira.
Kuna kipindi nilikuwa nachukua kanda na tape RTD. Moja ya vipindi nilivyowahi ku-tape ni cha ule mdundo majira na ule wimbo wa tunaye Rais Ben will wa Tanzania.
Ila pia kwa wale wa KBC je huu ni uungwana cha mzee mbotela kiliiteka Kenya kipindi hicho.
Waliokuwa wana act ni wale kina Pwagu na Pwaguzi
Kabla ya hapo alikuwa Debora Mwenda
Alikuwa anaitwa Edda Sanga. Hivi yupo hai huyu mama? Mazungumzo baada ya habari acha kabisa. Nakumbuka karibu na uchaguzi wa 2000 yule baba mazungumzo yake yalijikita kuponda wapinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nyie mwaka 2000 bado mlikuwa mnasikiliza RTD?!Mama na mwana.. cha edda sijui naniii pamoja na pwagu na pwaguzi.
Kuna pia mazungumzo baada ya habari. Ukija miaka ya 2000 kuna ule mdundo wa majira aseeh nilikuwa naupenda pamoja na utangazaji wa Ezekiel malongo kwenye mpira.
Kuna kipindi nilikuwa nachukua kanda na tape RTD. Moja ya vipindi nilivyowahi ku-tape ni cha ule mdundo majira na ule wimbo wa tunaye Rais Ben will wa Tanzania.
Ila pia kwa wale wa KBC je huu ni uungwana cha mzee mbotela kiliiteka Kenya kipindi hicho.
Eti mechi imechezwa hapo Kigoma inabidi msubiri saa mbili kasarobo kujua matokeo?kipindi cha michezo nilikuw navutiwa na lile jingo
Hivi ilikuwa ua jekundu au Koti jekundu... Life was good those days.chei chei shangazi na Betty Mkwasa,Mama na mwana na Deborah Mwenda,jamani those days ilikuwa raha sana.Nimekumbuka hadithi ya Binti Chura.Na ile ya Ua jekundu.
Kumbe ulishazaliwa wakati huo?Mama na mwana.. cha edda sijui naniii pamoja na pwagu na pwaguzi.
Kuna pia mazungumzo baada ya habari. Ukija miaka ya 2000 kuna ule mdundo wa majira aseeh nilikuwa naupenda pamoja na utangazaji wa Ezekiel malongo kwenye mpira.
Kuna kipindi nilikuwa nachukua kanda na tape RTD. Moja ya vipindi nilivyowahi ku-tape ni cha ule mdundo majira na ule wimbo wa tunaye Rais Ben will wa Tanzania.
Ila pia kwa wale wa KBC je huu ni uungwana cha mzee mbotela kiliiteka Kenya kipindi hicho.