Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

Wahindi hata Kiswahili hawana haja ya kujua. Nenda India kama hujakuta wanaangalia kama kuna bunge live. Hawa jamaa wapo hapa kuchuma tu hawana interest na chochote cha jamii ya waswahili kama si kupata pesa.
 
Hata kama ofisi haina tv jamaa watajikusanya na kupiga domo.
 
Wahindi hata Kiswahili hawana haja ya kujua. Nenda India kama hujakuta wanaangalia kama kuna bunge live. Hawa jamaa wapo hapa kuchuma tu hawana interest na chochote cha jamii ya waswahili kama si kupata pesa.
hiyo jamii ndio itakulisha? Jamaa ana point bana,siasa nyingi bila mpango hazina maana,piga kazi ujijenge sio kukesha vijiwe vya siasa halafu unalalamika maisha magumu
 


Nafikiri labda tunapishana kidogo kama sio sana!

Hayo yote unayoyazungumzia ndio hoja yangu hasa na bado unaonyesha unyonge tu tulionao!

Sisi kama Watz (wenye asili ya hapa) hatupaswi kulalamika kutawaliwa na kutumiwa na watu ambao wako chini ya asilimia 1 (1%) ya watu zaidi ya milioni 40, wewe unalalamika Wahindi hawataki uowe watoto wao, kwani kuna umuhimu gani wewe kuoa Muhindi? Kwa nini kwako isiwe ni jambo la aibu kama ilivyo kwa Watu jamii nyingine kuoa nje ya jamii yao? Kwa nini wao wasilalamike kwamba Watz asilia hawawataki?

Swali ni kwamba wemewezaje kupata nguvu yote hiyo pamoja na uchache wao? Hauoni kama kuna tatizo hapo katika Upande wetu?
Hauoni kama kuna kitu hatufanyi Sawa?
Ni nini kinatuzuia kuimiliki hii nchi kwa Asilimia 100 (100%) ukichukilia SISI ndio wengi na ndio wenye asili ya hapa?
Tutalia lia na kulaumu wengine mpaka lini?
Hauoni tunapaswa kubadilika na kufanya kazi kwa umakini na Bidii ili tuweze kumiliki Kila kitu ktk nchi yetu? Yaani njia zote za Kiuchumi n.k?
 
Nilichofundishwa mimi ni kuwa; Muhindi mzuri ni yule aliyekufa! Sumu waliyonayo ni kali sana hata wangekuwa 0.5% ya idadi yao ya sasa na sisi tungekuwa 90m, ni sumu sana!

Ni hivi, wao (wahindi) ni masikini sana sana huko kwao, tena hata kutupita sisi (watanzania)! Ukitembelea nchi za arabuni, wao ndio vibarua! Tanzania ni nchi changa inayokuwa, imeanza hauta nzuri ya kujiandikia katiba yake kwa manufaa yake....na hatuhitaji tulinganishwe na yeyote! Kwa kuona "LIVE" bunge hili la katiba ni somo tosha kwa wananchi ili waiujue katiba yao mpya, wajue haki zao dhidi ya (sumu nilowataja) na wengine wa aina yao! Ingewezekana TV za kuonyesha hili bunge ziwekwe hadi vyooni, kwenye daladala na barabarani!
 

unafikiria wanamiliki hizo asilimia au umefanya utafiti? Acha uongo ndugu, labda enzi za mwalimu sio sasa!
 


Inatakiwa ujue kabisa hili swala la katiba wahindi hawajalifuraia kwani itawabana sana na manyanyaso na rushwa wanazotoa kwa viongozi wetu ivyo kusema kuwa wahindi sijui hakuna tv au hawaangalii tv haina mashiko. Mhindi hujui anafanya biashara ngapi au biashara gani. Jiulize unategemea pesa alizonazo Manji ni zake, ni pesa zako wanazochukua BOT kwa mlango wa nyuma nyuma (EPA). HALAFU leo useme Manji au Somaia afuraie bunge la katiba, hapo walipo wako mguu nje mguu ndani ndio mana wako radhi kuhonga mabilioni lakini maccm wabaki madarakani. Kuangalia tv ni haki ya kila Mtanzania bila kujali muda au wapi. Acha mawazo ya zamani
 

Basi ungepiga marufuku tv kama enzi za Nyerere
 
Kama ni wachapa kazi hivyo mbona nchi yao ya India ina maskini wengi hivyo?Wengi wao wanakimbia India kuja huku kwasababu fursa za kujiinua kiuchumi kule ni adimu sana ukilinganisha na kwetu.Wewe mleta punguza kula pilipili za Wahindi!!!!
 
We endelea kupalilia
kibarua chako kwa wahindi.. suala la Katiba ya Tanzania tuachie sisi
wazawa.. Hao wahindi ndiyo wakwepa kodi wakubwa nchini...

Mapateli ndio walianzisha ufisadi nchi hii
 
Unakaribia kuwa chizi na vitafiti uchwara,unatakiwa ujiulize ni kwa kiasi gani kwanza serikali ina uzalendo wa kuwawezesha watu wake wamiliki uchumi thn ndo uje hapa uweke uwalo wako,kama akina mama ntilie wanakopa ili wajikimu biashara zao alafu serikali inakuja kuwamwagia vyakula vyao na kuwanyang'anya sufuria zao hapo unasemaje wahindi wanamiliki uchumi?
Je! watz wanatendewa sawa??

Vipi wabunge kutokulipa kodi lakini muuza kioski ana kodi lundo haujiulizi kama watz walio wengi wananyang'anywa uchumi?
 
Uchumi wao mzuri hao Wahindi kwa sababu ni wanachama waaminifu wa CCM..ukijiunga na CCM maisha yanakuwa boraa kabisa hivyo wafanyabiashara wa KIHINDI wanatumia fursa hiyo. Mkianza ugomvi huyooo CANADA!!
 
kijakazi wa II bado unatapatapa, jibu swali la utafiti umeufanyia wapi? Samples ya utafiti weka hapa, huwezi kuibuka tu na kusema wahindi Tanzania wako 300,000 halafu pia ukasema wameshika uchumi kwa asilimia 85, kwanza hiyo takwimu niya kufikirika, ungeshusha data hapa uchumi wetu umeshikiliwa na wananchi kwa asilimia ngapi na katika huo miradi kadhaa yenye kubeba asilimia kadhaa ni ya wahindi angalau kidogo ningekubali.. hivi unajua uchumi wetu umebebwa kwa asilimia kubwa na makampuni ya nje!
 
Hilo mbona kawaida tu, kama umesoma hata Bailojia ya Shule ya msingi usingeshangazwa na hilo! Kuwashwa ni kitu cha kawaida sana maadamu mwili haujafa bado, hivyo sielewi unamaanishia nini!

Kama kuwashwa ni kawaida njoo nikukune basi na libolo.
 

Braza hebu jaribu kumuelewa vizuri alicho kiandika mleta mada, yeye sio kama ana watetea amejaribu kufanya comparison ya seriousness katika kazi kati ya waswahili na wahindi....
 

crdb mlimani branch kuna TV,ecobank mnazi mmoja kuna TV,kuna MTU kataja Barclays pia INA maana humo watu hawafanyi kazi.Najua unafahamu banks ni miongoni mwa taasisi ambazo zipo smart kimaamuzi na mambo mengine.
 
Uchumi wao mzuri hao Wahindi kwa sababu ni wanachama waaminifu wa CCM..ukijiunga na CCM maisha yanakuwa boraa kabisa hivyo wafanyabiashara wa KIHINDI wanatumia fursa hiyo. Mkianza ugomvi huyooo CANADA!!

Na wewe jiunge na ccm basi ili uwe tajiri.
 
Hapo Jirani upo na wanzuki nini?Sasa wahindi kwani kwao hapa wale wakuja tuu kiswahili chenyewe tabu au ndugu unaendesha kagari kapremji mtaa wa India posta nini?Yaani kama ni pumba leo umetupa yaani wewe akili zako inaonesha umeshikiwa na Wahindi.Kwani ukiangalia TV huwezi fanya kazi lione kwanza...........:embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 
Wahindi sio WAZALENDO...ma tv yao wanaangalia chupke chupke na cricket baaas!
 


1.hizi takwimu za >85% umezipata wapi?na sisi tuzione?
2.wapapotuuzia hivyo vitu sisi tunapata wapi hela?au anaeweza kununua hamiliki uchumi?
MAJIBU YA HOJA YAKO.
Wahindi ni wawekezaji walowezi,kwakua wao ni wafanya biashara kikubwa wanachohitaji ni POLITICAL STABILITY NA USALAMA WA MALI ZAO.wengi wao hapa sio kwao ndomana hawana vigezo/wanashindwa kujihusisha na siasa.thus ukitokea mlipuko wa mabomu watafatilia,sisi wenye nchi lazima tufatilie siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…